julius nashon
Member
- Mar 1, 2020
- 10
- 3
Nini maana ya makadirio?
Na nini maana ya kumwambia Mteja aende akakadiriwe wakati hata akijitetea vipi
kodi iko palepale, tena kauli inayotumika
Eti hiyo imeisha tunaomba uachie wengine nafasi tuwasikilize
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nini maana ya kumwambia Mteja aende akakadiriwe wakati hata akijitetea vipi
kodi iko palepale, tena kauli inayotumika
Eti hiyo imeisha tunaomba uachie wengine nafasi tuwasikilize
Sent using Jamii Forums mobile app