Bodi ya mikopo, hiki ni nini?

CORONAZ

Senior Member
Apr 26, 2020
181
337
Safari hii naona mmeamua kufuata kanuni mnaozijua ninyi maana kila tulichoaminishwa hamfanyi.

1. Mwanafunzi wa div 1 ya A zote anakosa scholarship ya SAMIA na mkopo hakupata. Sasa hizo kauli zenu vipi?

2. Mwanachuo anasomea " degree za kipaumbele" anakosa mkopo kwa 0%. Hata mia. Udaktari, ualimu nk. Sasa mnawapa akina nani?

3. Muelewe wapo wanafunzi wanaosomeshwa na wafadhili kwa kiwango cha sekondari. Ninyi mkiona tu jina la shule ya private.. hakuna mkopo.

4. Wengine wamesoma sekondari za kata mwanzo mwisho. Nao hakuna mkopo. Sasa mnatumia vigezo gani?

5. Mnapokataa maombi ya mkopo wa mwanafunzi...mpeni sababu ya kukataliwa badala ya kukaa kimya kama hamjapokea maombi. Kama sababu zenu ni za msingi zitajeni ili uwe msingi wa kukata rufaa.

6. Sasa mwanafunzi anakataje rufaa wakati hamjampa sababu ya kukataliwa ombi lake la mkopo?

7. Tunahitaji uwazi kwenye bodi..majina yawekwe wazi kwenye ukurasa wa bodi tujue nani kapewa. Hili ni muhimu kwani mwanafunzi anaweza pewa mkopo na chuo kikakaa kimya au akamwambia mzazi hajapewa mkopo. Ndo maana vyuoni wanafunzi wana matumizi makubwa mpaka unashangaa.
Siri ya nini?

8. Mwanafunzi anapopewa mkopo, wadhamini wake wajulishwe na kiasi cha mkopo kila mwaka badala ya kuwahusisha wadhamini wakati wa kudai deni la mkopo....huu ni udhaifu wa kimfumo.
 
5. Mnapokataa maombi ya mkopo wa mwanafunzi...mpeni sababu ya kukataliwa badala ya kukaa kimya kama hamjapokea maombi. Kama sababu zenu ni za msingi zitajeni ili uwe msingi wa kukata rufaa.

6. Sasa mwanafunzi anakataje rufaa wakati hamjampa sababu ya kukataliwa ombi lake la mkopo?
Hapa nakazia. Watoe sababu za kumnyima mkopo.
 
Safari hii naona mmeamua kufuata kanuni mnaozijua ninyi maana kila tulichoaminishwa hamfanyi.

1. Mwanafunzi wa div 1 ya A zote anakosa scholarship ya SAMIA na mkopo hakupata. Sasa hizo kauli zenu vipi?

2. Mwanachuo anasomea " degree za kipaumbele" anakosa mkopo kwa 0%. Hata mia. Udaktari, ualimu nk. Sasa mnawapa akina nani?

3. Muelewe wapo wanafunzi wanaosomeshwa na wafadhili kwa kiwango cha sekondari. Ninyi mkiona tu jina la shule ya private.. hakuna mkopo.

4. Wengine wamesoma sekondari za kata mwanzo mwisho. Nao hakuna mkopo. Sasa mnatumia vigezo gani?

5. Mnapokataa maombi ya mkopo wa mwanafunzi...mpeni sababu ya kukataliwa badala ya kukaa kimya kama hamjapokea maombi. Kama sababu zenu ni za msingi zitajeni ili uwe msingi wa kukata rufaa.

6. Sasa mwanafunzi anakataje rufaa wakati hamjampa sababu ya kukataliwa ombi lake la mkopo?

7. Tunahitaji uwazi kwenye bodi..majina yawekwe wazi kwenye ukurasa wa bodi tujue nani kapewa. Hili ni muhimu kwani mwanafunzi anaweza pewa mkopo na chuo kikakaa kimya au akamwambia mzazi hajapewa mkopo. Ndo maana vyuoni wanafunzi wana matumizi makubwa mpaka unashangaa.
Siri ya nini?

8. Mwanafunzi anapopewa mkopo, wadhamini wake wajulishwe na kiasi cha mkopo kila mwaka badala ya kuwahusisha wadhamini wakati wa kudai deni la mkopo....huu ni udhaifu wa kimfumo.
Amesoma wapi? Most of time kama umesoma shule ambayo ada ya mwaka mmoja ni ghali kuliko ada ya miaka yote unayosoma chuo unaweza kunyimwa mkopo.

Unaweza ukasoma Guidelines hapa
 
Ni kigezo cha kijinga sana.
Wengine walifadhiliwa na ufadhili una kikomo
Sio Cha kijinga mkuu, ukiangalia hivyo vigezo kama ulifadhiliwa unatakiwa uambatanishe Ushahidi ili uingie kwenye Needy group.

Imagine mwanafunzi kasoma kijijini, kaenda shule ya kata mpaka form 6 kajitahidi katoboa, nyumbani Hali mbaya halafu asipate mkopo.

Then Kuna mwengine anaenda shule anapelekwa na gari, kasoma shule ada milioni 5 ama zaidi halafu apewe mkopo.

Mkopo upo kwa ajili ya kuwasaidia wenye mahitaji na sio kuwazidishia wenye kipato.
 
Sio Cha kijinga mkuu, ukiangalia hivyo vigezo kama ulifadhiliwa unatakiwa uambatanishe Ushahidi ili uingie kwenye Needy group.

Imagine mwanafunzi kasoma kijijini, kaenda shule ya kata mpaka form 6 kajitahidi katoboa, nyumbani Hali mbaya halafu asipate mkopo.

Then Kuna mwengine anaenda shule anapelekwa na gari, kasoma shule ada milioni 5 ama zaidi halafu apewe mkopo.

Mkopo upo kwa ajili ya kuwasaidia wenye mahitaji na sio kuwazidishia wenye kipato.
Umeandika kwa chuki mpaka nikashangaa...
 
Safari hii naona mmeamua kufuata kanuni mnaozijua ninyi maana kila tulichoaminishwa hamfanyi.

1. Mwanafunzi wa div 1 ya A zote anakosa scholarship ya SAMIA na mkopo hakupata. Sasa hizo kauli zenu vipi?

2. Mwanachuo anasomea " degree za kipaumbele" anakosa mkopo kwa 0%. Hata mia. Udaktari, ualimu nk. Sasa mnawapa akina nani?

3. Muelewe wapo wanafunzi wanaosomeshwa na wafadhili kwa kiwango cha sekondari. Ninyi mkiona tu jina la shule ya private.. hakuna mkopo.

4. Wengine wamesoma sekondari za kata mwanzo mwisho. Nao hakuna mkopo. Sasa mnatumia vigezo gani?

5. Mnapokataa maombi ya mkopo wa mwanafunzi...mpeni sababu ya kukataliwa badala ya kukaa kimya kama hamjapokea maombi. Kama sababu zenu ni za msingi zitajeni ili uwe msingi wa kukata rufaa.

6. Sasa mwanafunzi anakataje rufaa wakati hamjampa sababu ya kukataliwa ombi lake la mkopo?

7. Tunahitaji uwazi kwenye bodi..majina yawekwe wazi kwenye ukurasa wa bodi tujue nani kapewa. Hili ni muhimu kwani mwanafunzi anaweza pewa mkopo na chuo kikakaa kimya au akamwambia mzazi hajapewa mkopo. Ndo maana vyuoni wanafunzi wana matumizi makubwa mpaka unashangaa.
Siri ya nini?

8. Mwanafunzi anapopewa mkopo, wadhamini wake wajulishwe na kiasi cha mkopo kila mwaka badala ya kuwahusisha wadhamini wakati wa kudai deni la mkopo....huu ni udhaifu wa kimfumo.
Elimu ya kibongo ni biashara kama ilivyo biashara nyingine baina ya serikali na bodi ya mikopo
 
Elimu ya kibongo ni biashara kama ilivyo biashara nyingine baina ya serikali na bodi ya mikopo
Na kwenye kujisajili kwenye mfumo wa HESLB si uwa kuna malipo ya shilingi ngapi sijui. Hicho kiasi zidisha kwa idadi ya waombaji. Bado malipo ya uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa huko RITA kwa kila mhitaji wa mkopo. Kwa nini uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa kwenye mfumo wa HESLB usiwe automatic tu kwenye kama mhitaji wa mkopo kaweka cheti genuine? Naona serikali utumia maombi ya mkopo kama chanzo kingine cha mapato.
 
Na kwenye kujisajili kwenye mfumo wa HESLB si uwa kuna malipo ya shilingi ngapi sijui. Hicho kiasi zidisha kwa idadi ya waombaji. Bado malipo ya uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa huko RITA kwa kila mhitaji wa mkopo. Kwa nini uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa kwenye mfumo wa HESLB usiwe automatic tu kwenye kama mhitaji wa mkopo kaweka cheti genuine? Naona serikali utumia maombi ya mkopo kama chanzo kingine cha mapato.
Ndio nikakuamnia ni Biashara. Imagine umesoma chuo cha serikali na umemaliza na chet wakakupa, wakati unaomba kazi unaambiwa unabidi uka certified vyeti vyako mkuu, seriously?

Hiyo tena ni source ya income ya serikali,

Kuna milolongo mingi ya kodi ambazo zinaishia kwenye mifumo ya watu na sii serikali
 
Safari hii naona mmeamua kufuata kanuni mnaozijua ninyi maana kila tulichoaminishwa hamfanyi.

1. Mwanafunzi wa div 1 ya A zote anakosa scholarship ya SAMIA na mkopo hakupata. Sasa hizo kauli zenu vipi?

2. Mwanachuo anasomea " degree za kipaumbele" anakosa mkopo kwa 0%. Hata mia. Udaktari, ualimu nk. Sasa mnawapa akina nani?

3. Muelewe wapo wanafunzi wanaosomeshwa na wafadhili kwa kiwango cha sekondari. Ninyi mkiona tu jina la shule ya private.. hakuna mkopo.

4. Wengine wamesoma sekondari za kata mwanzo mwisho. Nao hakuna mkopo. Sasa mnatumia vigezo gani?

5. Mnapokataa maombi ya mkopo wa mwanafunzi...mpeni sababu ya kukataliwa badala ya kukaa kimya kama hamjapokea maombi. Kama sababu zenu ni za msingi zitajeni ili uwe msingi wa kukata rufaa.

6. Sasa mwanafunzi anakataje rufaa wakati hamjampa sababu ya kukataliwa ombi lake la mkopo?

7. Tunahitaji uwazi kwenye bodi..majina yawekwe wazi kwenye ukurasa wa bodi tujue nani kapewa. Hili ni muhimu kwani mwanafunzi anaweza pewa mkopo na chuo kikakaa kimya au akamwambia mzazi hajapewa mkopo. Ndo maana vyuoni wanafunzi wana matumizi makubwa mpaka unashangaa.
Siri ya nini?

8. Mwanafunzi anapopewa mkopo, wadhamini wake wajulishwe na kiasi cha mkopo kila mwaka badala ya kuwahusisha wadhamini wakati wa kudai deni la mkopo....huu ni udhaifu wa kimfumo.
Swala LA mkopo,lingekuwa inatolewa kwa kila mwenye kuhitaji, wale wanaosema kuwa kama mtoto kasoma English medium, na private, asipewe mkopo, je kwa mfano wakati anasoma primary na secondary, wazazi/walezi walikuwa na uwezo,amefika chuo,wazazi wamefirisika, hawana uwezo wa kulipa, ukimnyima mkopo, kwa kigezo cha uwezo waliookuwa nao wazazi, wake, utakuwa humtendei haki.
Vigezo vya umaskini, na kuuliza eti nyumba yenu ni ya paa LA bati au nyasi,havina uhalisia, uwezi, kuthibitisha,
Na kama Mimi mzazi, nimemsomesha mtoto wangu tangu kindergarten mpaka kidato cha Sita kwa kulipa milioni tatu! Kila mwaka, ukimpa mtoto wangu mkopo sawa na mtoto mwingine aliyesoma st kayumba tangu LA kwanza, inakuwa sio sawa.
Vigezo vya kutumia, iwe kiwango cha ufaulu, kwa masomo ya kimkakati, sayansi, afya, tekinolojia, na uamuzi Uwe computerised, algorithm, sio mijitu inakaa, inajiamulia yenyewe.
 
Swala LA mkopo,lingekuwa inatolewa kwa kila mwenye kuhitaji, wale wanaosema kuwa kama mtoto kasoma English medium, na private, asipewe mkopo, je kwa mfano wakati anasoma primary na secondary, wazazi/walezi walikuwa na uwezo,amefika chuo,wazazi wamefirisika, hawana uwezo wa kulipa, ukimnyima mkopo, kwa kigezo cha uwezo waliookuwa nao wazazi, wake, utakuwa humtendei haki.
Vigezo vya umaskini, na kuuliza eti nyumba yenu ni ya paa LA bati au nyasi,havina uhalisia, uwezi, kuthibitisha,
Na kama Mimi mzazi, nimemsomesha mtoto wangu tangu kindergarten mpaka kidato cha Sita kwa kulipa milioni tatu! Kila mwaka, ukimpa mtoto wangu mkopo sawa na mtoto mwingine aliyesoma st kayumba tangu LA kwanza, inakuwa sio sawa.
Vigezo vya kutumia, iwe kiwango cha ufaulu, kwa masomo ya kimkakati, sayansi, afya, tekinolojia, na uamuzi Uwe computerised, algorithm, sio mijitu inakaa, inajiamulia yenyewe.
Kuna kufiwa na wazazi jamani halafu tuwe wakweli ukilipa million 3 shule kumbuka mtoto anakula huko huko shule chuo unalipa ada,Kuna kula,kuna assignment,vocha,kuvaa,pedi nk.
Gharama ni nyingi na kutumia kama kigezo Cha kumnyima mtu si sawa basi tu
 
7. Tunahitaji uwazi kwenye bodi..majina yawekwe wazi kwenye ukurasa wa bodi tujue nani kapewa. Hili ni muhimu kwani mwanafunzi anaweza pewa mkopo na chuo kikakaa kimya au akamwambia mzazi hajapewa mkopo. Ndo maana vyuoni wanafunzi wana matumizi makubwa mpaka unashangaa.
Siri ya nini?
Mkuu usipende kufatilia maisha ya watu na matumizi yao. Pole kwa kukosa mkopo
 
Sio Cha kijinga mkuu, ukiangalia hivyo vigezo kama ulifadhiliwa unatakiwa uambatanishe Ushahidi ili uingie kwenye Needy group.

Imagine mwanafunzi kasoma kijijini, kaenda shule ya kata mpaka form 6 kajitahidi katoboa, nyumbani Hali mbaya halafu asipate mkopo.

Then Kuna mwengine anaenda shule anapelekwa na gari, kasoma shule ada milioni 5 ama zaidi halafu apewe mkopo.

Mkopo upo kwa ajili ya kuwasaidia wenye mahitaji na sio kuwazidishia wenye kipato.
Hehehehe mkuu umeandika kwa uchungu sana sema mm naishukuru serikali nimesoma Huku nafanya kazi na mkopo juu nikaongezea ongezea nikavuta zangu IST
 
Bodi ya mikopo mnawalaumu Bure tu ,Kila mtanzania anayelipa Kodi mtoto wake anastahili kupata mkopo kwani sio msaada Cha msingi kafaulu tu maisha yenyewe ndio haya pamoja na kusoma kote ajira hamna.Kupata A zote sio kigezo au guarantee kwamba unastahili kuliko wengine inategemea tu na mazingira uliyokulia,magonjwa au shule uliyosomea nothing special maana Kuna shule za serikali mfano Tabora boys na kibaha sio za kitoto asee ukienda pale japokuwa ni serikali kutokana na culture yake tu kufeli ni ngumu.
 
Bodi ya mikopo mnawalaumu Bure tu ,Kila mtanzania anayelipa Kodi mtoto wake anastahili kupata mkopo kwani sio msaada Cha msingi kafaulu tu maisha yenyewe ndio haya pamoja na kusoma kote ajira hamna.Kupata A zote sio kigezo au guarantee kwamba unastahili kuliko wengine inategemea tu na mazingira uliyokulia,magonjwa au shule uliyosomea nothing special maana Kuna shule za serikali mfano Tabora boys na kibaha sio za kitoto asee ukienda pale japokuwa ni serikali kutokana na culture yake tu kufeli ni ngumu.
Hao Bodi wasenge tu 🖕🏽🖕🏽🖕🏽
 
Hehehehe mkuu umeandika kwa uchungu sana sema mm naishukuru serikali nimesoma Huku nafanya kazi na mkopo juu nikaongezea ongezea nikavuta zangu IST
Wapo watu wa hivyo, tumesoma nao, mtu hata Cafeteria haijui ipoje, anakula mlo mmoja ama miwili Tena kwa mama ntililie ambaye yupo nje ya chuo,

Watu ni selfish
 
Back
Top Bottom