Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 55,015
- 54,168
Mmefunga ndoa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kama anakuzingua MUACHE AENDE.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji126] [emoji126] [emoji126][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Vumilia mpaka mwisho
Kaa chini ongea na mwenzio tafuteni chanzo cha tatizo fanyieni kazi hilo tatizo Mungu akusaidie maana wewe ndiye kichwa cha nyumba sasa ukivurugika wewe hakuna kitakachoendelea ndani ya nyumba yako .Usikimbilie kuvunja ndoa au kuachanaMimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
una mtazamo chanya sana..vema.. ila wote kuwa in one parralel line!!!! MUNGU tusaidie.maana yake ni kumtafuta mwenza na kuunganisha nguvu kusukuma kwa pamoja gurudumu la maisha... mnaungana na kuwa kitu kimoja kwa kila kitu..hata mtazamo wenu unatakiwa kuwa mmoja, malengo, matumaini, misimamo na kadha wa kadha... hio ndio maana nzima ya kuoana kwa mtazamo wangu.
Ukuni ulioko darini unacheka ukuni ulioko jikoniHumo jera ya ndoa kuna nyapara!!!
Pole mkuu yataisha tu. Hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho. Ni muda tu ndio utaongea.Mimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
Be blessed Mkuu , Umenena Vyema Sana.Ndoa ni muunganiko mwema na wenye furaha tele kwa kipindi chote cha maisha yako endapo utaangukia katika mikono sahihi ya mtu anayejua nini maana ya ndoa na aliyekuwa tayari kuoa au kuolewa kwa wakati huo.......
Ndoa ni tukio kubwa sana katika maisha ya mwanadamu kwa hiyo linataka utayari wa nafsi na mwili vile vile na kiuchumi.....uamuapo kuoa ni lazima ukubali kubadilika kwani huwezi kuishi kama zamani kwani haupo peke yako tena.......
Unapofikiria kuoa au kuolewa huna budi kukaa pekee yako na kusema na nafsi yako je upo tayari kwa tukio hilo...???
Kuna watu wanaoa au kuolewa wakichochewa na mihemko ya balehe na ngono.....bila ya kujua kuwa ndoa ni kifungo cha maisha...
Wengine wanaoa au kuolewa kwa ajili ya mali hawa wote lazima ndoa wazione chungu na zenye kukera kwani kuna tofauti kubwa kuishi na mwenzio na kuishi peke yako.......kuishi maisha ya ndoa kunataka hekima ya hali ya juu sana ...kitu ambacho vijana wengi wamekikosa.....pia uvumilivu ni silaha kubwa kwenye maisha ya ndoa....kwani unakwenda kutumia kipindi chote cha maisha yako na mtu mwenye tabia na fikra tofauti na zako.....kuna tabia unaweza ukamuweka sawa na akakuelewa na kuna baadhi itabidi umvumilie kwani ni ngumu kubadilika.......
Vijana wanapotarajia kuoa au kuolewa inabidi wajiulize kuwa wapo tayari kwa tukio hilo kubwa....??
ila ni ngumu xna kuwa hivyo wanawake mmekuwa wajuaji xna.maana yake ni kumtafuta mwenza na kuunganisha nguvu kusukuma kwa pamoja gurudumu la maisha... mnaungana na kuwa kitu kimoja kwa kila kitu..hata mtazamo wenu unatakiwa kuwa mmoja, malengo, matumaini, misimamo na kadha wa kadha... hio ndio maana nzima ya kuoana kwa mtazamo wangu.
ukiona hivyo basi hata wewe utakuwa ni mjuaji... kwani wanasema wahenga Mafahali wawili hawawezi kuishi zizi moja...kujishusha mara zote ni kwa upande wote... na muda mwingine unajishusha ili kuokoa hali yawezekana hata kosa sio lako...ila ili kuleta amani kwa wakati huo unajishusha.. halafu unaweza kuliongea hilo jambo wakati mwingine mkiwa mmekaa sawa...tena ukaongelea kwa utani mmhh siku ile sijui ulipatwa na nini.. mtaongea mtamaliza hapo. lakini ukitaka kujifanya kila kitu wewe kwa vile ndio mwanaume uko juu utakuja kufail tu.ila ni ngumu xna kuwa hivyo wanawake mmekuwa wajuaji xna.
ukiona hivyo basi hata wewe utakuwa ni mjuaji... kwani wanasema wahenga Mafahali wawili hawawezi kuishi zizi moja...kujishusha mara zote ni kwa upande wote... na muda mwingine unajishusha ili kuokoa hali yawezekana hata kosa sio lako...ila ili kuleta amani kwa wakati huo unajishusha.. halafu unaweza kuliongea hilo jambo wakati mwingine mkiwa mmekaa sawa...tena ukaongelea kwa utani mmhh siku ile sijui ulipatwa na nini.. mtaongea mtamaliza hapo. lakini ukitaka kujifanya kila kitu wewe kwa vile ndio mwanaume uko juu utakuja kufail tu.
Ukuni ulioko darini unacheka ukuni ulioko jikoni