Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,636
Nipo hapa nasoma katiba ya chama cha mapinduzi toleo la 2012!Nimekutana na neno ''hatamu''naomba wajuvi mniambie lina maana gani?
sawa,asante mkuuwatafute wataalam wa hiyo katiba ya chama wakusaidie wapo lumumba
asante,nashukuru kwa kunijibuHatamu =zile kamba mbili za kumuongozea farasi.
nimekuelewa,ni kama kusema government machineries yani dola.Hatamu ni zile kamba za kumuongozea farasi...hivyo mwalimu nyerere alitumia hilo neno Hatamu kipindi akiachia madaraka kwa mzee mwinyi...alisema sasa imefika wakati wa kuachia Hatamu za uongozi. Akiwa na maana kiongozi ndiye mshika Hatamu za nchi, ndiye anaelekeza mambo yaende wapi na kwa namna gani kama mwendesha farasi anavyofanya.
Nafikiri kidogo imekusaidia mkuu