Nini maana ya dhana Tunataka Mabadiliko?

Nini maana ya dhana Tunataka Mabadiliko?

Kijana, unaongea sana. Mambo unayoongea ni Yale Yale yaliyokataliwa na wananchi ya kumpa raisi mamlaka juu ya sheria.

Akina mkapa walizima na Jk alikana kuwa pesa za Escrow hazikuwa za UMA.

Je unawezaje kumshitaki rais ikiwa yeye atakuwa anahusika Kwa namna moja ama nyingine kuhujumu uchumi?

Mabadiriko tunayoyazungumza ni hayo unayoyatafsiri Kwa upana kabisa.
But nani atayaleta, au ni taasisi gani inaonyesha kuyasaka kuqnzia nje na ndani ya bunge?

Serikali ya ccm hujaona ilivyokuwa inakataa maoni mazuri ya wabunge wa upinzani Kwa maksudi?

We need to change the part. Kuweka chama kinachokubali maoni na matakwa ya wananchi.

Kijana umeelewa?
So unafikiri tatizo la tanzania ni chama kutokubali matwaka ya wananchi tu??????
Mnazidi kunifanya nimtafakari zaidi Dr. Watson
 
haya majitu yanafikiri yanaijua vizur tanzania na wananchi wake.
Tanzania ni nchi maskini kiuchumi japo tunao utajiri wa rasilimali ambao unawanufaisha wachache... akina kinaner na magaidi wenzake.
wananchi wengi wanajitokeza kuisupport UKAWA kwasababu CCM wamekuwa waongo wakupindukia... walafi... wazembe mno.. ahadi zenu tuliambiwa na dk. slaa hazitekelezeki tukakaid, mkatupeleka puta kwa miaka mitano mingine migumu tokea wakati ule mliotuletea kofia za bure na t-shirt zilizoandikwa maisha bora kwa kila mtanzania...

Sasa tunataka mabadiliko na mabadiliko yenyewe ni kuitoa ccm na kuiweka UKAWA..tunafanya hivyo kwa sababu ya msingi kabisa... kwanza cuf na chadema wamekuwa wakihubiri njia maridhawa za kujenga uchumi njia ambazo kisayansi zinamake sense na mifano ipo mingi.

kwa mfano kukuza uchumi wa nchi na wananchi kwa kufanya mapinduzi ya viwanda. ccm wao walichokifanya hapa ni kuuwa viwanda karibia vyote ambavyo vilikuwa vinatija kwa taifa na vilikua vinauwezo mkubwa wa kutatua tatizo la ajira na kupunguza mfumuko wa bei..... sasa ni nani asiyejua ya kwamba viwanda vimechangia mataifa mengi kukua kiuchumi? sasa nyie endeleen kuja hapa na sera mkaa muone..nikuwachinjilia baharin tu...
Kukuza uchumi kwa kwa kufanya mapinduzi ya viwanda kwamikakati ipi na funds za wapi ili tuone tofauti kati yake na mipango ya CCM ili tuyatarajie kweli hayo mabadiriko????
Kama kusema kukuza uchumi kwa mapinduzi ya viwanda hata wewe unaweza sema hapo.
 
So unafikiri tatizo la tanzania ni chama kutokubali matwaka ya wananchi tu??????
Mnazidi kunifanya nimtafakari zaidi Dr. Watson

endelea kumtafakari ukimaliza nyumaaa geukaa, mbeelleeee tembeaa mpaka lumbumba ukachkue buku saba mia tano yako ukalale..
 
Katiba ya wananchi ccm hamuitaki.

Au magifuli ataileta?
Mikataba mibovu ya Gesi ndiyo mabadiriko mnayotuletea?

Sikia,
KAMA MLIIPINDUA TANU AMBAYO ILITULETEA UHURU, MKAONA MABADIRIKO YA CHAMA YALIKUWA BORA BADALA YA SERA, BASI NA SISI LEO TUNAWATOA CCM ILI TUPATE CHAMA KINACHOBEBA MAKUSUDIO YETU WANANCHI.

Funga mada.
 
endelea kumtafakari ukimaliza nyumaaa geukaa, mbeelleeee tembeaa mpaka lumbumba ukachkue buku saba mia tano yako ukalale..
kama ninashida na hela ndugu yangu hujasikia kuwa kwa lowassa ziko za kumwaga???? Sina haja na hela za mtu yeyote na kama nataka hela ningekuwa nimeshanunuliwa na kundo la lowassa na kumjengea sifa uchwara humu kama mnavofanya wengi wenu??? Tujadili hoja ili tuweze kuisaidia jamii hii ya tanzania kwa sababu tusipofanya hivi tutakuja hukumiwa mbinguni.
 
Ubinafsishaji, kuuza Nyumba za serial I n.k
Muulizeni mgombea wenu nyumba yake ya masaki alijenga???? Muulizeni swaiba yake Chenge ile nyumba anayoishi sasa masaki alijenga??? Muulizeni swahiba wake toka nitoke Makongoro Mahanga ile nyumba anayorekebisha regest estate mikocheni alinunua wapi?????
Alafu tafakari kama utapata hayo mabadiliko kupitia Lowassa.

Mi naendelea tu kumtafakari Dr Watson hapa.
 
Basi kama ni hivo Dr. Watson yuko sahihi sana kuwa akili na mtu mweusi ina walakini.

Dr Watson anakuzungumzia wewe. Na wewe mtu mweusi unakubali akili yako ina walakini. Halafu unataka tujadili mambo uliyoyafikiri na hiyo akili yako yenye walakini. GRRRRRRRRR! Sijui hata kwanini napoteza muda wangu kuchangia kwenye huu uzi.....
 
Katiba ya wananchi ccm hamuitaki.

Au magifuli ataileta?
Mikataba mibovu ya Gesi ndiyo mabadiriko mnayotuletea?

Sikia,
KAMA MLIIPINDUA TANU AMBAYO ILITULETEA UHURU, MKAONA MABADIRIKO YA CHAMA YALIKUWA BORA BADALA YA SERA, BASI NA SISI LEO TUNAWATOA CCM ILI TUPATE CHAMA KINACHOBEBA MAKUSUDIO YETU WANANCHI.

Funga mada.
Umelishwa maneno na vyombo vya Media Tycoon muwezeshaji mwingine wa Lowassa anayetegemea Lowassa akichukua tu ikulu akabidhiwe vitalu Lindi na Mtwara unakuja kuropoka hapa. Embu taja au leta huo mkataba hapa tuujadili kwa uwazi hapa.

Unanifanya nimtafakari zaidi Dr. Watson kwa huu upeo wako unaozidi kuudhihirisha hapa.
 
Dr Watson anakuzungumzia wewe. Na wewe mtu mweusi unakubali akili yako ina walakini. Halafu unataka tujadili mambo uliyoyafikiri na hiyo akili yako yenye walakini. GRRRRRRRRR! Sijui hata kwanini napoteza muda wangu kuchangia kwenye huu uzi.....
Kwa ulichosema alafu umekuja kuchangia unanifanya nimtafakari zaidi Dr. Watson
 
Siku zote hapa duniani binadamu anaongozwa na hisia ktk kufanya jambo au kutoa ushauri/wazo-idea/tafakari.hisia zinazotokana na mapenzi na kitu/jambo fulani,elimu na mazingira yanayokuzunguka.pia hisia hizo hizo zinaweza kubadilika kutokana na mazingira.eg mtu kama Prof.kitila kwa sasa akitoa hoja yoyote ya kisiasa lazima atakuwa biased hvyo hvyo kwa mtu kama zito ingawa kwa nafsini mwake atajitahidi asiwe biased bt huwezi kushindana na hisi kwa wakati huo kama kuna mazingira yamesabisha uamini jambo fulani.
Utajua upo sahihi au haupo sahihi pale utakapo endana na wengi katika mawazo bt not always.
Bt kwa wewe mtoa mada your totaly wrong unaongozwa na mapenzi ya ccm ktk kujenga hoja mwanzoni amejaribu kutoonyesha bt kwenye maelezo unajichanganya mwenyewe.
 
Siku zote hapa duniani binadamu anaongozwa na hisia ktk kufanya jambo au kutoa ushauri/wazo-idea/tafakari.hisia zinazotokana na mapenzi na kitu/jambo fulani,elimu na mazingira yanayokuzunguka.pia hisia hizo hizo zinaweza kubadilika kutokana na mazingira.eg mtu kama Prof.kitila kwa sasa akitoa hoja yoyote ya kisiasa lazima atakuwa biased hvyo hvyo kwa mtu kama zito ingawa kwa nafsini mwake atajitahidi asiwe biased bt huwezi kushindana na hisi kwa wakati huo kama kuna mazingira yamesabisha uamini jambo fulani.
Utajua upo sahihi au haupo sahihi pale utakapo endana na wengi katika mawazo bt not always.
Bt kwa wewe mtoa mada your totaly wrong unaongozwa na mapenzi ya ccm ktk kujenga hoja mwanzoni amejaribu kutoonyesha bt kwenye maelezo unajichanganya mwenyewe.
Nitafakari vizuri tu ndugu usiendeshwe na upenzi, ninachokifanya ni kujaribu kuonyesha kuwa ni nini maana ya Mabadiliko na je tunayapata kweli au ni ushabiki, kutofikiri sawa na mihemko tu bila kusahau tamaa ya fedha ndo vinatupelekesha.
 
Kitila, Muhongo, Ulimwengu, Polepole nao ni watu weusi, kwa hiyo kwa theory yako hiyo wana matatizo ya akili ! Na wewe ingawa sikufahamu, naamini ni mtanzania na ni mtu mweusi vile vile.......kwa theory unayoiamini, wewe utakuwa na matatizo ya akili.....

Change ni neno la kiingereza (mabadiliko kwa kiswahili) lilikuwepo kabla ya Obama na Nyerere hawajazaliwa !. Linaweza likatumika kwenye maeneo mengine ambayo sio ya kisiasa au linaweza likatumika kwa namna tofauti katika siasa. Obama
aliamu a kulitumia kwa namna hiyo na Nyerere naye kama ulivyoeleza. Wao hawalimiliki hili neno, na hivyo haina maana kwamba yeyote anayetaka kulitumia basi lazima alitumie au amaanishe kile alichokisema Obama au Nyerere.....

Kwa members wengi tu wa UKAWA (sio wote), wanapolitumia hili neno wana maana kuiondoa CCM madarakani, hivyo kwa sasa hivi na kwa uchaguzi huu, Change kwao ni kubadili chama kilichopo madarakani (CCM) na kuwaweka UKAWA (CHADEMA kwa JMT na CUF kwa upande wa Zanzibar). Kama unaona wamekosea kutumia neno hilo, hebu wewe sema watumie neno gani ambalo linafit zaidi.....

Kitu ambacho, mimi binafsi ningependa kwa Tz, ni sisi wananchi waTz tuwe na uwezo ambao uko wazi kabisa wa kuiwajibisha serikali yetu au viongozi wetu. Itakapofika mahali ambapo, kila mtu anajua kabisa kwamba kura yake ina-count then hapo mimi nitaridhika..... Hili bado ni tatizo hapa kwetu (kura ina-count kwa sehemu tu, ila uchakachuaji una nafasi pia) na hata kwa nchi nyingine za kiafrika !. Tukiwa na uwezo huo, then viongozi watakuwa na discipline na watawajibika kwa wananchi kwani watakuwa wanajua kwamba mamlaka yao yanatokana na wananchi na wakiboa wananchi watawaweka kando....

Nilifarijika tulipoanza mchakato wa katiba, nikitegemea at least tungeweka msingi wa kuelekea kuwapa wananchi mamlaka yao, lakini CCM wakavuruga mchakato na kuamua kwamba mawazo yao ndio mawazo ya watanzania...

Mimi nataka UKAWA wachukue nchi kwa sababu ninaamini wataweza kutupatia vitu vifuatavyo vya msingi katika nchi yetu....

1. Katiba mpya yenye maoni ya wananchi
2. Kuimarishwa kwa mifumo ambayo itasaidia kukuza demokrasia hapa nchini
- Tume huru ya uchaguzi
- Mahakama
- Bunge
etc

With CCM, ni mambo yale yale, hakutakuwa na chochote kipya.......Hawatufai, inabidi wakae kando !

well said mkuu,hasa hapo kwa wananchi kutambua thamani ya kura yake na kuiwajibisha serekali.
 
Kijana, wakati mijadara ya kawaida hapo bungeni wewe huwa unakuwa nje ya nchi kaka?

Ni vyama gani vimekuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya nchi?

Ninaimani unajua ukweli na unajua unachokifanya. Waache wananchi waamue kutokana na wanachokifahamu.
 
Kijana, wakati mijadara ya kawaida hapo bungeni wewe huwa unakuwa nje ya nchi kaka?

Ni vyama gani vimekuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya nchi?

Ninaimani unajua ukweli na unajua unachokifanya. Waache wananchi waamue kutokana na wanachokifahamu.
Hii ni mada nyingine inayoitaji uchambuzi wake wa tofauti na haiusiani na mada inayojadiliwa hapa.
 
ACT sio chama cha kubeba huyo mtu hata kidogo kutokana na misismamo ya Mwenyekiti na Azimio lao kuu la Tabora.,hata CCM ilijua ni tataizo ila ikajua anainfluence kubwa,ila kwa kumkata CCM imabekia kuwa chama hai chenye sera nzuri.
Chadema imejivua kuwa Mpinzani wa kweli mwenye sera mbadala na kuwa mshirika wa kweli wa Mafisadi wa CCM kupitia fitina ili mradi CCM itoke madarakani. CHADEMA sio ajabu mkimpokea wale washirika wake wote
 
Kijana, wakati mijadara ya kawaida hapo bungeni wewe huwa unakuwa nje ya nchi kaka?

Ni vyama gani vimekuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya nchi?

Ninaimani unajua ukweli na unajua unachokifanya. Waache wananchi waamue kutokana na wanachokifahamu.

Ukawa iliyokuwa inatetea maslahi ya wananchi bungeni siyo ukawa hii ya sasa inayomilikiwa na Taasisi ya Lowasa.
 
Mh lowassa hivi kaingia tu bila kitu fulani na chadema wakakubali kumtelekeza katibu mkuu kwa mtu mgeni wa kuja hivihivi???
Mbowe alisema kuwa kuna vingi wanataka kwa huyo mzee.....
Mie napata jibu kuu moja hela hela hela...hivi mgao walipata ngapi?
 
Kitila, Muhongo, Ulimwengu, Polepole nao ni watu weusi, kwa hiyo kwa theory yako hiyo wana matatizo ya akili ! Na wewe ingawa sikufahamu, naamini ni mtanzania na ni mtu mweusi vile vile.......kwa theory unayoiamini, wewe utakuwa na matatizo ya akili.....

Change ni neno la kiingereza (mabadiliko kwa kiswahili) lilikuwepo kabla ya Obama na Nyerere hawajazaliwa !. Linaweza likatumika kwenye maeneo mengine ambayo sio ya kisiasa au linaweza likatumika kwa namna tofauti katika siasa. Obama
aliamu a kulitumia kwa namna hiyo na Nyerere naye kama ulivyoeleza. Wao hawalimiliki hili neno, na hivyo haina maana kwamba yeyote anayetaka kulitumia basi lazima alitumie au amaanishe kile alichokisema Obama au Nyerere.....

Kwa members wengi tu wa UKAWA (sio wote), wanapolitumia hili neno wana maana kuiondoa CCM madarakani, hivyo kwa sasa hivi na kwa uchaguzi huu, Change kwao ni kubadili chama kilichopo madarakani (CCM) na kuwaweka UKAWA (CHADEMA kwa JMT na CUF kwa upande wa Zanzibar). Kama unaona wamekosea kutumia neno hilo, hebu wewe sema watumie neno gani ambalo linafit zaidi.....

Kitu ambacho, mimi binafsi ningependa kwa Tz, ni sisi wananchi waTz tuwe na uwezo ambao uko wazi kabisa wa kuiwajibisha serikali yetu au viongozi wetu. Itakapofika mahali ambapo, kila mtu anajua kabisa kwamba kura yake ina-count then hapo mimi nitaridhika..... Hili bado ni tatizo hapa kwetu (kura ina-count kwa sehemu tu, ila uchakachuaji una nafasi pia) na hata kwa nchi nyingine za kiafrika !. Tukiwa na uwezo huo, then viongozi watakuwa na discipline na watawajibika kwa wananchi kwani watakuwa wanajua kwamba mamlaka yao yanatokana na wananchi na wakiboa wananchi watawaweka kando....

Nilifarijika tulipoanza mchakato wa katiba, nikitegemea at least tungeweka msingi wa kuelekea kuwapa wananchi mamlaka yao, lakini CCM wakavuruga mchakato na kuamua kwamba mawazo yao ndio mawazo ya watanzania...

Mimi nataka UKAWA wachukue nchi kwa sababu ninaamini wataweza kutupatia vitu vifuatavyo vya msingi katika nchi yetu....

1. Katiba mpya yenye maoni ya wananchi
2. Kuimarishwa kwa mifumo ambayo itasaidia kukuza demokrasia hapa nchini
- Tume huru ya uchaguzi
- Mahakama
- Bunge
etc

With CCM, ni mambo yale yale, hakutakuwa na chochote kipya.......Hawatufai, inabidi wakae kando !

Mabadiliko chanya huletwa na watu waadilifu wenye nia njema kwa maslahi ya watu wote. Kama tunakubaliana kwamba katiba iliyopendekezwa haifai kwa sababu ya kuchakachua maoni ya wananchi lakini pia kwa ushiriki wa Chenge? Basi itakua ni sahihi kwamba perspective ya mabadiliko kwa mujibu wa UKAWA ina walakini kwa kuongozwa na Lowassa asiye mwadilifu. Nadhani mlete mada hajagusia jambo hili, lakini kwa jinsi alivyowasilisha nadhani amelenga kuonyesha Watanzania wanashida kutolitambua jambo hili. Ikiwa lengo ni kuing'oa CCM madarakani hata ikimaanisha wanaofuata watafanya hovyo zaidi ya CCM, basi kweli tutakua waafrika wengi tuna shida vichwani mwetu. Mashabiki ni wengi na si wavumilivu. Kwa wanaopenda kuangalia match za mpira wa miguu hasa za Ulaya, mara nyingi kunakua na wasaa wa pre match analysis. Wasaa huu hutoa mweleko wa nani atashinda na namna gani kwa kuzingatia kikosi kinachocheza kati ya timu mbili. Wasaa huu unafaa pia utumike kwenye siasa zetu ili tupate yupi wa kumuunga mkono na tuweze kushinda vita dhidi ya UFISADI, KUMOMONYOKA KWA MAADILI na mengine mengi.
 
Mabadiliko chanya huletwa na watu waadilifu wenye nia njema kwa maslahi ya watu wote. Kama tunakubaliana kwamba katiba iliyopendekezwa haifai kwa sababu ya kuchakachua maoni ya wananchi lakini pia kwa ushiriki wa Chenge? Basi itakua ni sahihi kwamba perspective ya mabadiliko kwa mujibu wa UKAWA ina walakini kwa kuongozwa na Lowassa asiye mwadilifu. Nadhani mlete mada hajagusia jambo hili, lakini kwa jinsi alivyowasilisha nadhani amelenga kuonyesha Watanzania wanashida kutolitambua jambo hili. Ikiwa lengo ni kuing'oa CCM madarakani hata ikimaanisha wanaofuata watafanya hovyo zaidi ya CCM, basi kweli tutakua waafrika wengi tuna shida vichwani mwetu. Mashabiki ni wengi na si wavumilivu. Kwa wanaopenda kuangalia match za mpira wa miguu hasa za Ulaya, mara nyingi kunakua na wasaa wa pre match analysis. Wasaa huu hutoa mweleko wa nani atashinda na namna gani kwa kuzingatia kikosi kinachocheza kati ya timu mbili. Wasaa huu unafaa pia utumike kwenye siasa zetu ili tupate yupi wa kumuunga mkono na tuweze kushinda vita dhidi ya UFISADI, KUMOMONYOKA KWA MAADILI na mengine mengi.
Thanks mkuu, umemalizia nilipopasahau. Ubarikiwe sana.
 
Hivi kumbe huko Lumumba bado wanawalipa hiyo 7500? By the way sijui Dr Watson umemsoma lini. Kuna watu wanaitwa Uncle Tom and that is what you are. Wakikaa na wazungu siku mbili wanajiona kama na wao rangi inabadilika.
 
Back
Top Bottom