Nini maana ya dhana Tunataka Mabadiliko?

Nini maana ya dhana Tunataka Mabadiliko?

Amani iwe nanyi wadau,
Kwa kipindi sasa kuna jambo limekuwa likiniwazisha sana hasa Kwa wapenzi wa Chadema, ukawa na baadhi ya washabiki wao pale wanapolitumia kwenye kujenga ushawishi neno Tunataka mabadiliko. Hili ni neno ambalo wamekuwa wakilisema kwa kipindi sasa wakiwa wanatarget kuwa wanapolisema tu basi maana yake kuu ni kuiondoa CCM madarakani.

Napenda kutoa historia fupi ya umaarufu wa hili neno ambayo najua wengi wenu humu mnaifahamu. Neno hili kwa lugha nyingine CHANGE lilipata umaarufu hasa pale raisi wa sasa wa Marekani Barack Obama alipolichagua kama kaulimbiu yake kwenye mchakato wake wa kisiasa katika kuutafuta uraisi wa Marekani mnamo mwaka 2008. Neno hili alilichagua na kulitumia akiwa hamaanishi kuwa wamarekani wanataka change ya kubadiri chama kwa sababu alianza kulitumia tangu kwenye mchakato wa ndani wa chama chake yaani Democrats akiwa anamaanisha wamarekani wanaitaji mabadiriko ya kisera za kiuchumi, kijamii, kiulinzi na usalama na hata za kimaisha. Huu ndo msingi wa neno CHANGE/MABADILIKO KWENYE SIASA. Hata mwalimu Nyerere aliposema watanzania wanataka mabadiriko wasipoyapata CCM watayapata nje ya CCM ukiangalia ile hotuba kuna vitu aliviongelea na vilikuwa vinne kikiwemo Rushwa na vingine vitatu, na ndo baadae akasema kuwa watanzania wanaitaji mabadiriko kwenye ivo vitu wa wasipovipata CCM watavitafuta nje ya CCM. Hii inamaanisha mabadiliko kwenye siasa sio kubadirisha vyama.

Nimeamua kutoa haya maelezo mafupi nikiwa naionea huruma jamii hii ya watanzania huku nikiwa nawaza mawazo ya Yule Dr wa kizungu anayejulikana kama Dr. Watson aliyesemaga kuwa ana wasiwasi na akili ya mtu mweusi.
Ninasema haya kwa sababu kwa jinsi wafuasi, wapenzi na wanachama wa Chadema wanapolitumia hili neno wao wanachowaza kikubwa ni kuwa maana ya mabadiriko ni kukiondoa chama kinachotawala madarakani wakati kiuhalisia hali haiko ivo. Inaniuma zaidi eti wanaposema hawa wamekaa miaka 50 na sasa tuweke wengine as if uongozi ni kujaribu hasa wan chi. Kweli Africa we have a long way to go.

Dhana ya mabadiliko/ change inapotumika kisiasa inamaanisha ni mabadiriko KWENYE SERA HASA ZA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA, INAMAANISHA MABADIRIKO KWENYE MTINDO WA KUENDESHA MAMBO HASA YA KIUTAWALA ILI JAMII IONE KITU TOFAUTI HASA KWENYE MAISHA YAO YA KILA SIKU NA SIO KUHUSU KUBADIRI CHAMA TU.

Kuna watu watatu nimewasikiliza wiki hii, wa kwanza ni Ndugu Humphrey Polepole na wa pili na Dr Kitila Mkumbo na wa tatu ni Jenerali Ulimwengu ambaye nimemsoma kwenye gazeti la leo la Raia Mwema. Humphrey amezungumzia kwa mapana sana tangu wiki iliyopita na hadi wiki hii na kusema kweli nimefarijika sana kuona jamii ya Tanzania ina mtu mwingine mwenye upeo wa tofauti na ulio mbali kama wake(wa kwanza kwangu ni Prof Muhongo) huyu mtu bila kumungunya maneno ameweza kuelezea kwenye vipindi alivoalikwa kinagaubaga kuwa Tanzania inaitaji mtu wa aina Fulani na mwenye uwezo Fulani. Kwa Dr Kitila alisema wazi kuwa vyama vya upinzani vinaonekana kuwa dhumuni lao kuu ni kushika madaraka tu yaani kukamata dola ndo mana wanasema tutumie silaha yeyote ile( kwa hapa nikapata picha kuwa kumbe hawa viongozi lengo kuu sio kuja na sera mbadala zinazoonyesha ni kwa jinsi gani watamkomboa mtanzania na nchi yetu mama Tanzania). Kwa Jenerali Ulimwengu amegusia kwa jinsi gani ushabiki usio na maono na upenzi wenye kupapalikia mambo unaoliangamiza taifa letu na siku ya mwisho hatupati kitu tunachotakiwa kupata.

Hawa wachambuzi watatu wameugusa sana moyo wangu na kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa nchi hii inaharibiwa na wanasiasa kwa sababu fikra zao ndo zinaiharibu wafuasi wao ambao ni sehemu ya jamii ya watanzania. U chambuzi wa hawa watu umenifanya nitafakari sana maneno ya Dr Watson kuwa mtu mweusi ana matatizo Fulani kwenye akili yake. Kwa sababu kiuhalisia Chadema/Ukawa hawajajipambanua kisera, Lowassa hajajipambanua kisera hasa kujibu how question yaani atafanya nini na kivipi na hata fedha atapata wapi zaidi ya kusema tu Fulani kakuta sukari bei Fulani, kakuta kitu Fulani bei Fulani na sasa ivi kaacha kikiwa bei Fulani alafu wapenzi wake wanashangilia tu raisi raisi raisi bila kupembenua vizuri ni nini kasema ni kwa nini iwe yeye kwa sera zake/utekelezaji wake tofauti na mwingine.

Kitu kinachoniumiza zaidi ni pale ninapojiuliza kama tatizo kuu la nchi hii ni ufisadi, utumiaji mbaya wa madaraka, uvivu, porojo, kuabudu wenye mali, wizi, porojoporojo na unafiki hivi mtu ambaye kwa miaka yake tuliyomfahamu na kumuona kuwa ana mambo mengi sana ambayo ni matatizo kwa Tanzania yet u ndo huyu apewe nchi yetu aiongoze?????? Kama jibu ndio basi kweli Dr Watson atakuwa yuko sahihi asilimia 100 kuwa ana matatizo na akili ya mtu mweusi.

Nawatakia siku mpya njema wadau.
Mungu awabariki.

Watanzania bado si waelewa wa nini wanachohitaji, watakipataje na changamoto za kufikia maendeleo. Wamekaririshwa nyimbo kuimba "tunataka mabadiliko" bila hata kuelezwa sera za kufikia mabadiliko.
 
Tunataka mabadiliko CCM itoke madarakani akili mpya ziingie madarakani....akili za kuanzia mwaka 77 zimechoka, zimelewa, zinadharau na kutuona sisi kama vinyago.
 
una mawazo mazur lkn nafkir hautambui kuwa tatizo sio kuwa na sera nzur kwakuwa Tanzania ni miongon mwa nchi ambazo zina sera nzur lkn implementation ndio tatizo...Tuna wachambuz wa siasa wanaochambua siasa kwa kuegemea itikad zao mfano wewe mwenyewe kwasababu unataka utuaminishe sisi kwamba wapinzani hawawez kuleta mabadiliko it means ccm wanaweza kutuletea mabadiliko...Hujui politics hata kidogo ingawa unafuatilia politics na hufai kuwa mchambuz wa siasa.leo hii ccm ina kaz ngumu ktk kuwaelewesha watanzania kwamba kwanini sera zao hazijakamilishwa kwa kias kikubwa mfano MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA then waweze kutafuta njia za kupondea upande wa upinzan kwakuwa magifuli alienda juz Mtwara alichozungumza hujaweka kwenye thread yako.Politics determine who has power not who has the truth
 
hatuwez kudanganya kwa sasa kwakuwa manifesto yetu haijatoka,,,nafkir hata viongoz wetu wanapoongea hamuwasikiliz,,refer to honourable mbatia alichokiongea siku za karbun then mulete porojo zenu
 
Basi kama ni hivo Dr. Watson yuko sahihi sana kuwa akili na mtu mweusi ina walakini.
Bila shaka wewe siyo mweusi, na kama ni mweusi kauli hiyo inakuhusu regardless ya wewe kuwa na mtazamo tofauti na weusi wenzio juu ya siasa za Tanzania. Mkuu kwa sasa nipo Igunga tangu mwaka 2011, wilaya hii inachangamoto nyingi sana lakini kubwa zaidi ni ya uhaba wa maji. Tatizo huwa kubwa hasa kuanzia mwezi wa sita hadi wa kumi na mbili. Dakika hii dumu la lita 20 linauzwa hadi sh. 2000!,hii ni bei ya igunga mjini huko vijijini hali ni mbaya zaidi kaskazini mwa wilaya. Kuna mabwawa yenye maji moja wapo likiwa kinatumiwa na idara ya maji kwa wakazi mjini, maji hayawafikii kwa sababu ya umeme
kukatika kwa muda mrefu na mara kwa mara.
Nirudi nyuma kidogo wakati wa uchaguzi Mdogo 2011 kuna kijiji kimoja cha kata ya isakamaliwa waligoma live kuichagua CCM na sababu ikiwa ni tatizo la maji la kujirudia rudia, Stephen Wasira alihamisha wafanya kazi woote wa idara ya maji pamoja na resources zilizo kuwepo wakazika mabomba kijijini hapo watu wakaambiwa maji yataanza kutoka ndani ya miezi 2, na ccm ikapata kuchaguliwa. Huu ni mwaka wa nne mabomba yale hayakuwahi kutoa maji!.kwa mfano huo hai, kwanini niichague ccm?. Tunacho sikia ni ni wizi wa pesa nyingi nyingi kama eskroo,..... Mkuu kwa utendaji wa ccm, kuendelea kuwepo madarakani hadi dakika hii tukiwa tume waangalia jinsi wanavyo boronga, ile dhana yako na mzungu wako inaweza kutuhusu.
 
Wanaambiwa eti watapata maisha lakini wanasahau maisha siyo zawadi ya kuletewa, maisha ni juhudi zako na Mwl. alitufundisha vizuri katika hilo, tusiwe legelege na kupenda vya bure lakini inashangaza leo vijana wamegeuka legelege wanangojea waketewe zawadi ya maisha yao ..wamekuwa maskini mpaka kimawazo na wala hawafikirii wala kujibu maswali magumu kisa wanataka mabadiliko, mabadiliko gani yasiyohusisha brain? mabadiliko gani yasiyohusisha maswali magumu?
 
Bila shaka wewe siyo mweusi, na kama ni mweusi kauli hiyo inakuhusu regardless ya wewe kuwa na mtazamo tofauti na weusi wenzio juu ya siasa za Tanzania. Mkuu kwa sasa nipo Igunga tangu mwaka 2011, wilaya hii inachangamoto nyingi sana lakini kubwa zaidi ni ya uhaba wa maji. Tatizo huwa kubwa hasa kuanzia mwezi wa sita hadi wa kumi na mbili. Dakika hii dumu la lita 20 linauzwa hadi sh. 2000!,hii ni bei ya igunga mjini huko vijijini hali ni mbaya zaidi kaskazini mwa wilaya. Kuna mabwawa yenye maji moja wapo likiwa kinatumiwa na idara ya maji kwa wakazi mjini, maji hayawafikii kwa sababu ya umeme
kukatika kwa muda mrefu na mara kwa mara.
Nirudi nyuma kidogo wakati wa uchaguzi Mdogo 2011 kuna kijiji kimoja cha kata ya isakamaliwa waligoma live kuichagua CCM na sababu ikiwa ni tatizo la maji la kujirudia rudia, Stephen Wasira alihamisha wafanya kazi woote wa idara ya maji pamoja na resources zilizo kuwepo wakazika mabomba kijijini hapo watu wakaambiwa maji yataanza kutoka ndani ya miezi 2, na ccm ikapata kuchaguliwa. Huu ni mwaka wa nne mabomba yale hayakuwahi kutoa maji!.kwa mfano huo hai, kwanini niichague ccm?. Tunacho sikia ni ni wizi wa pesa nyingi nyingi kama eskroo,..... Mkuu kwa utendaji wa ccm, kuendelea kuwepo madarakani hadi dakika hii tukiwa tume waangalia jinsi wanavyo boronga, ile dhana yako na mzungu wako inaweza kutuhusu.
Mimi ni mweusi kaka lakini nashukuru ni mmoja kati ya wale ambao Mungu katujaalia kuona tofauti na kufikiri na kupembua kwa umakini kabla ya kutenda. Siko peke yangu katika jamii yetu ya weusi tupo wengi pia ila tatizo ni kuwa majority ya weusi wenzetu wana huu walakini mkubwa kwenye bongo zao.
Nikirudi kwa ulichokisema hapo kuhusu igunga hapo ninapata picha mbili, moja ni kuwa jamaa walikuwa na sera nzuri ila hawakuwa serious kwenye utekelezaji na pili waliahidi na wakaanza kufanya ila kwenye level ya watendaji hawakuwa serious.
Sasa hapo pia kwenye kuamua kuna mawili, kwenye uchaguzi huu wa wabunge/diwani inawezekana ikapigwa kura ya kuwaadhibu wale waliokuwepo ili kuwafundisha lakini kikubwa ni kuwa inatakiwa ipigwe kwa kumtathimini kwa makini yule mnaeamua kumpa, inatakiwa asikilizwe na apimwe kwa akili zilizo sawa na sio jazba na mihemko kwa sababu mkiendeshwa na mihemko na jazba mnaweza kushangaa huyu mliomchagua mpya ni worse kuliko hata yule aliyekuwepo awali.
 
hatuwez kudanganya kwa sasa kwakuwa manifesto yetu haijatoka,,,nafkir hata viongoz wetu wanapoongea hamuwasikiliz,,refer to honourable mbatia alichokiongea siku za karbun then mulete porojo zenu
Sasa anaposema priority itakuwa bodaboda, mama ntilie na wamachinga ivo kavitoa wapi????? Alafu akisema tu mnalipuka kwa shangwe wakati hata hajaelezea kivipi na atafanya nini na funds za kuwafanyia ivo atatoa wapi. Tutafakari pamoja ndugu kauli na Dr. Watson kuna kitu hapa hasa ukiiangalia jamii hii ya watanzania.
 
una mawazo mazur lkn nafkir hautambui kuwa tatizo sio kuwa na sera nzur kwakuwa Tanzania ni miongon mwa nchi ambazo zina sera nzur lkn implementation ndio tatizo...Tuna wachambuz wa siasa wanaochambua siasa kwa kuegemea itikad zao mfano wewe mwenyewe kwasababu unataka utuaminishe sisi kwamba wapinzani hawawez kuleta mabadiliko it means ccm wanaweza kutuletea mabadiliko...Hujui politics hata kidogo ingawa unafuatilia politics na hufai kuwa mchambuz wa siasa.leo hii ccm ina kaz ngumu ktk kuwaelewesha watanzania kwamba kwanini sera zao hazijakamilishwa kwa kias kikubwa mfano MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA then waweze kutafuta njia za kupondea upande wa upinzan kwakuwa magifuli alienda juz Mtwara alichozungumza hujaweka kwenye thread yako.Politics determine who has power not who has the truth
Nafikiri hujaelewa mada ndugu. Naomba uisome tena na uielewe kwanza ndo uanze kuchangia.
Sio fulani anaweza kuleta mabadiriko na fulani hawezi kuleta mabadiliko, kinachozungumzwa hapa ni nini maana ya neno mabadiliko katika muktadha wa siasa( yaani linapotumiwa kwenye siasa huwa wanamaanisha nini???).
Ukielewa hapo tutaenda sawa ndugu.
 
Mkuu Abunuas umesoma Tosamaganga...? Hilo neno nyumbu tumelitumiaga sanaaa Tosaa ndugu umenikumbusha mbali sanaa teh teh
 
Last edited by a moderator:
Woe to you for dwelling in darkness that long....!!

To sum up your long essay:
1. Sera zipo
2. Mikakati ya mabadiliko kisiasa na kiuchumi ipo
3. Nyenzo na rasilimali watu, vyote vipo.
4. Nia ipo
5. Uwezo upo

Haya yamefafanuliwa sana na kwa kina kwa miaka mingi nenda rudi na hata humu JF yapo ndio maana umekopi na kupesti yale yale kama ambavyo Polepole anarudia yale yale yaliyokwisha kufafanuliwa. Inasikitisha sana kuona mna TATIZO KUBWA SANA la UFAHAMU MDOGO SANA WA MAMBO. Bahati mbaya hamjitambui mnabaki kulalama tu eti mnawasikitikia watanzania badala ya kujisikitikia kwa fikra finyu zisizojipanua kung'amua mambo.

Kwa kukusaidia wewe na wengine wachache, nimekurahisishia kubainisha maeneo machache kwa ufupi ambayo yapo na yanathibitika. Ni kipi hakipo? Ni execution or implementation platform/stage. Hii maanake nini, ni kuwa na mamlaka ya maamuzi na utekelezaji wa mipango iliyoko tayari. Hii ni mamlaka ya kidola na si vinginevyo. Obama alipokuwa akihubiri mabadiliko uliyofikiri japo kwa ufinyu sana alitaka apewe dola ili ayatekeleze, ikimaanisha kushika mamlaka ya kuamua na kutenda.

Watanzania unaowabeza kwa kuunga mkono CDM, hususani UKAWA wanatambua nini hatua inayotakiwa kwa sasa. Ni kuiondoa CCM iliyoshindwa na kusimika dola mpya yenye muono wa mabadiliko halisi yenye tija katika kuleta maendeleo ktk nyanja zote muhimu. Nyie hatua tuliyopo hamujui, eti mnataka tushughulike na yale tuliyokwisha kuyakamilisha. Kwa wakati huu, miezi hii miwili ndo maadalizi ya hayo unayosema yafanyike??? Oooh!! My godness! Mna kich.aa au mmerogwa akili nyinyi??!! Kalagabao.......


Amani iwe nanyi wadau,
Kwa kipindi sasa kuna jambo limekuwa likiniwazisha sana hasa Kwa wapenzi wa Chadema, ukawa na baadhi ya washabiki wao pale wanapolitumia kwenye kujenga ushawishi neno Tunataka mabadiliko. Hili ni neno ambalo wamekuwa wakilisema kwa kipindi sasa wakiwa wanatarget kuwa wanapolisema tu basi maana yake kuu ni kuiondoa CCM madarakani.

Napenda kutoa historia fupi ya umaarufu wa hili neno ambayo najua wengi wenu humu mnaifahamu. Neno hili kwa lugha nyingine CHANGE lilipata umaarufu hasa pale raisi wa sasa wa Marekani Barack Obama alipolichagua kama kaulimbiu yake kwenye mchakato wake wa kisiasa katika kuutafuta uraisi wa Marekani mnamo mwaka 2008. Neno hili alilichagua na kulitumia akiwa hamaanishi kuwa wamarekani wanataka change ya kubadiri chama kwa sababu alianza kulitumia tangu kwenye mchakato wa ndani wa chama chake yaani Democrats akiwa anamaanisha wamarekani wanaitaji mabadiriko ya kisera za kiuchumi, kijamii, kiulinzi na usalama na hata za kimaisha. Huu ndo msingi wa neno CHANGE/MABADILIKO KWENYE SIASA. Hata mwalimu Nyerere aliposema watanzania wanataka mabadiriko wasipoyapata CCM watayapata nje ya CCM ukiangalia ile hotuba kuna vitu aliviongelea na vilikuwa vinne kikiwemo Rushwa na vingine vitatu, na ndo baadae akasema kuwa watanzania wanaitaji mabadiriko kwenye ivo vitu wa wasipovipata CCM watavitafuta nje ya CCM. Hii inamaanisha mabadiliko kwenye siasa sio kubadirisha vyama.

Nimeamua kutoa haya maelezo mafupi nikiwa naionea huruma jamii hii ya watanzania huku nikiwa nawaza mawazo ya Yule Dr wa kizungu anayejulikana kama Dr. Watson aliyesemaga kuwa ana wasiwasi na akili ya mtu mweusi.
Ninasema haya kwa sababu kwa jinsi wafuasi, wapenzi na wanachama wa Chadema wanapolitumia hili neno wao wanachowaza kikubwa ni kuwa maana ya mabadiriko ni kukiondoa chama kinachotawala madarakani wakati kiuhalisia hali haiko ivo. Inaniuma zaidi eti wanaposema hawa wamekaa miaka 50 na sasa tuweke wengine as if uongozi ni kujaribu hasa wan chi. Kweli Africa we have a long way to go.

Dhana ya mabadiliko/ change inapotumika kisiasa inamaanisha ni mabadiriko KWENYE SERA HASA ZA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA, INAMAANISHA MABADIRIKO KWENYE MTINDO WA KUENDESHA MAMBO HASA YA KIUTAWALA ILI JAMII IONE KITU TOFAUTI HASA KWENYE MAISHA YAO YA KILA SIKU NA SIO KUHUSU KUBADIRI CHAMA TU.

Kuna watu watatu nimewasikiliza wiki hii, wa kwanza ni Ndugu Humphrey Polepole na wa pili na Dr Kitila Mkumbo na wa tatu ni Jenerali Ulimwengu ambaye nimemsoma kwenye gazeti la leo la Raia Mwema. Humphrey amezungumzia kwa mapana sana tangu wiki iliyopita na hadi wiki hii na kusema kweli nimefarijika sana kuona jamii ya Tanzania ina mtu mwingine mwenye upeo wa tofauti na ulio mbali kama wake(wa kwanza kwangu ni Prof Muhongo) huyu mtu bila kumung’unya maneno ameweza kuelezea kwenye vipindi alivoalikwa kinagaubaga kuwa Tanzania inaitaji mtu wa aina Fulani na mwenye uwezo Fulani. Kwa Dr Kitila alisema wazi kuwa vyama vya upinzani vinaonekana kuwa dhumuni lao kuu ni kushika madaraka tu yaani kukamata dola ndo mana wanasema tutumie silaha yeyote ile( kwa hapa nikapata picha kuwa kumbe hawa viongozi lengo kuu sio kuja na sera mbadala zinazoonyesha ni kwa jinsi gani watamkomboa mtanzania na nchi yetu mama Tanzania). Kwa Jenerali Ulimwengu amegusia kwa jinsi gani ushabiki usio na maono na upenzi wenye kupapalikia mambo unaoliangamiza taifa letu na siku ya mwisho hatupati kitu tunachotakiwa kupata.

Hawa wachambuzi watatu wameugusa sana moyo wangu na kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa nchi hii inaharibiwa na wanasiasa kwa sababu fikra zao ndo zinaiharibu wafuasi wao ambao ni sehemu ya jamii ya watanzania. U chambuzi wa hawa watu umenifanya nitafakari sana maneno ya Dr Watson kuwa mtu mweusi ana matatizo Fulani kwenye akili yake. Kwa sababu kiuhalisia Chadema/Ukawa hawajajipambanua kisera, Lowassa hajajipambanua kisera hasa kujibu how question yaani atafanya nini na kivipi na hata fedha atapata wapi zaidi ya kusema tu Fulani kakuta sukari bei Fulani, kakuta kitu Fulani bei Fulani na sasa ivi kaacha kikiwa bei Fulani alafu wapenzi wake wanashangilia tu raisi raisi raisi bila kupembenua vizuri ni nini kasema ni kwa nini iwe yeye kwa sera zake/utekelezaji wake tofauti na mwingine.

Kitu kinachoniumiza zaidi ni pale ninapojiuliza kama tatizo kuu la nchi hii ni ufisadi, utumiaji mbaya wa madaraka, uvivu, porojo, kuabudu wenye mali, wizi, porojoporojo na unafiki hivi mtu ambaye kwa miaka yake tuliyomfahamu na kumuona kuwa ana mambo mengi sana ambayo ni matatizo kwa Tanzania yet u ndo huyu apewe nchi yetu aiongoze?????? Kama jibu ndio basi kweli Dr Watson atakuwa yuko sahihi asilimia 100 kuwa ana matatizo na akili ya mtu mweusi.

Nawatakia siku mpya njema wadau.
Mungu awabariki.
 
Dhana ina maana nyingi hivyo husikariri aina moja ya dhana siyo lazima mabadiliko yawe kama ya Obama na marekani siyo lazima yawe kama ya kagame na Rwanda ninaposema Rwanda hata wao wamefanya mabadiliko ili kagame aendelee kutawala.

hivyo watanzania wameona na wao wayatafute kwa dhana yao. swala la kusema lowasa atawafanyia nini watanzania subiri kampeni ianze sasa ndipo tutajua hawa ambao wanaubiri mabadiliko watafanyaje ili kukidhi matakwa ya watanzania.
 
Amani iwe nanyi wadau,
Kwa kipindi sasa kuna jambo limekuwa likiniwazisha sana hasa Kwa wapenzi wa Chadema, ukawa na baadhi ya washabiki wao pale wanapolitumia kwenye kujenga ushawishi neno Tunataka mabadiliko. Hili ni neno ambalo wamekuwa wakilisema kwa kipindi sasa wakiwa wanatarget kuwa wanapolisema tu basi maana yake kuu ni kuiondoa CCM madarakani.

Napenda kutoa historia fupi ya umaarufu wa hili neno ambayo najua wengi wenu humu mnaifahamu. Neno hili kwa lugha nyingine CHANGE lilipata umaarufu hasa pale raisi wa sasa wa Marekani Barack Obama alipolichagua kama kaulimbiu yake kwenye mchakato wake wa kisiasa katika kuutafuta uraisi wa Marekani mnamo mwaka 2008. Neno hili alilichagua na kulitumia akiwa hamaanishi kuwa wamarekani wanataka change ya kubadiri chama kwa sababu alianza kulitumia tangu kwenye mchakato wa ndani wa chama chake yaani Democrats akiwa anamaanisha wamarekani wanaitaji mabadiriko ya kisera za kiuchumi, kijamii, kiulinzi na usalama na hata za kimaisha. Huu ndo msingi wa neno CHANGE/MABADILIKO KWENYE SIASA. Hata mwalimu Nyerere aliposema watanzania wanataka mabadiriko wasipoyapata CCM watayapata nje ya CCM ukiangalia ile hotuba kuna vitu aliviongelea na vilikuwa vinne kikiwemo Rushwa na vingine vitatu, na ndo baadae akasema kuwa watanzania wanaitaji mabadiriko kwenye ivo vitu wa wasipovipata CCM watavitafuta nje ya CCM. Hii inamaanisha mabadiliko kwenye siasa sio kubadirisha vyama.

Nimeamua kutoa haya maelezo mafupi nikiwa naionea huruma jamii hii ya watanzania huku nikiwa nawaza mawazo ya Yule Dr wa kizungu anayejulikana kama Dr. Watson aliyesemaga kuwa ana wasiwasi na akili ya mtu mweusi.
Ninasema haya kwa sababu kwa jinsi wafuasi, wapenzi na wanachama wa Chadema wanapolitumia hili neno wao wanachowaza kikubwa ni kuwa maana ya mabadiriko ni kukiondoa chama kinachotawala madarakani wakati kiuhalisia hali haiko ivo. Inaniuma zaidi eti wanaposema hawa wamekaa miaka 50 na sasa tuweke wengine as if uongozi ni kujaribu hasa wan chi. Kweli Africa we have a long way to go.

Dhana ya mabadiliko/ change inapotumika kisiasa inamaanisha ni mabadiriko KWENYE SERA HASA ZA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA, INAMAANISHA MABADIRIKO KWENYE MTINDO WA KUENDESHA MAMBO HASA YA KIUTAWALA ILI JAMII IONE KITU TOFAUTI HASA KWENYE MAISHA YAO YA KILA SIKU NA SIO KUHUSU KUBADIRI CHAMA TU.

Kuna watu watatu nimewasikiliza wiki hii, wa kwanza ni Ndugu Humphrey Polepole na wa pili na Dr Kitila Mkumbo na wa tatu ni Jenerali Ulimwengu ambaye nimemsoma kwenye gazeti la leo la Raia Mwema. Humphrey amezungumzia kwa mapana sana tangu wiki iliyopita na hadi wiki hii na kusema kweli nimefarijika sana kuona jamii ya Tanzania ina mtu mwingine mwenye upeo wa tofauti na ulio mbali kama wake(wa kwanza kwangu ni Prof Muhongo) huyu mtu bila kumung’unya maneno ameweza kuelezea kwenye vipindi alivoalikwa kinagaubaga kuwa Tanzania inaitaji mtu wa aina Fulani na mwenye uwezo Fulani. Kwa Dr Kitila alisema wazi kuwa vyama vya upinzani vinaonekana kuwa dhumuni lao kuu ni kushika madaraka tu yaani kukamata dola ndo mana wanasema tutumie silaha yeyote ile( kwa hapa nikapata picha kuwa kumbe hawa viongozi lengo kuu sio kuja na sera mbadala zinazoonyesha ni kwa jinsi gani watamkomboa mtanzania na nchi yetu mama Tanzania). Kwa Jenerali Ulimwengu amegusia kwa jinsi gani ushabiki usio na maono na upenzi wenye kupapalikia mambo unaoliangamiza taifa letu na siku ya mwisho hatupati kitu tunachotakiwa kupata.

Hawa wachambuzi watatu wameugusa sana moyo wangu na kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa nchi hii inaharibiwa na wanasiasa kwa sababu fikra zao ndo zinaiharibu wafuasi wao ambao ni sehemu ya jamii ya watanzania. U chambuzi wa hawa watu umenifanya nitafakari sana maneno ya Dr Watson kuwa mtu mweusi ana matatizo Fulani kwenye akili yake. Kwa sababu kiuhalisia Chadema/Ukawa hawajajipambanua kisera, Lowassa hajajipambanua kisera hasa kujibu how question yaani atafanya nini na kivipi na hata fedha atapata wapi zaidi ya kusema tu Fulani kakuta sukari bei Fulani, kakuta kitu Fulani bei Fulani na sasa ivi kaacha kikiwa bei Fulani alafu wapenzi wake wanashangilia tu raisi raisi raisi bila kupembenua vizuri ni nini kasema ni kwa nini iwe yeye kwa sera zake/utekelezaji wake tofauti na mwingine.

Kitu kinachoniumiza zaidi ni pale ninapojiuliza kama tatizo kuu la nchi hii ni ufisadi, utumiaji mbaya wa madaraka, uvivu, porojo, kuabudu wenye mali, wizi, porojoporojo na unafiki hivi mtu ambaye kwa miaka yake tuliyomfahamu na kumuona kuwa ana mambo mengi sana ambayo ni matatizo kwa Tanzania yet u ndo huyu apewe nchi yetu aiongoze?????? Kama jibu ndio basi kweli Dr Watson atakuwa yuko sahihi asilimia 100 kuwa ana matatizo na akili ya mtu mweusi.

Nawatakia siku mpya njema wadau.
Mungu awabariki.

Thank you so much for the brilliant explanation.We share the same intrest.BIG UP for telling the naked truth.
 
Acha naye huyu, ze.zeta nafikiri hawezi hata kukuelewa.

Ndo wale waliosoma lakini akajifunza kukariri na kuelewa ila kufikiri hawezi. Akiulizwa ndege kumi kwenye mti wamerushiwa jiwe akafa mmoja, je wamebaki wangapi kwenye mti, anajumlisha anatoa anasema tisa. Mtabishana hadi mnazeeka, maana hafikiri ila ameelewa upande mmoja tu basi.

Dhana ina maana nyingi hivyo husikariri aina moja ya dhana siyo lazima mabadiliko yawe kama ya Obama na marekani siyo lazima yawe kama ya kagame na Rwanda ninaposema Rwanda hata wao wamefanya mabadiliko ili kagame aendelee kutawala.

hivyo watanzania wameona na wao wayatafute kwa dhana yao. swala la kusema lowasa atawafanyia nini watanzania subiri kampeni ianze sasa ndipo tutajua hawa ambao wanaubiri mabadiliko watafanyaje ili kukidhi matakwa ya watanzania.
 
Hakuna mwanasiasa asiyetaka madaraka duniani !.

Sera zetu zinasukwa mkuu, subiri tu kidogo wakati wa campaign kila kitu kitakuwa wazi na hapo utaamini kwamba tupo very very serious !

Mimi ninajielewa na ninafahamu watu wengi tu wanaojielewa na wanaunga mkono UKAWA......Ni kweli kwa namna fulani Lowassa ameleta some negative effect kwetu, lakini overall effect aliyoilta ni positive, ni swala la mahesabu tu. Kuna wanaoamini kwamba tumekosea kumwacha agombee na hata mimi mwanzoni nilifikiri tumefanya makosa na ukisoma posts zangu za nyuma utaona nilivyopinga kwa nguvu kubwa.

Sasa hivi naamini uamuzi huo ni sahihi na nime-waconvince watu wanaojielewa na wana elimu zao kubwa tu (wawili masters na mmoja Phd). Watu hawa kama mimi hapo mwanzoni, walipinga Lowassa kupeperusha bendera ya UKAWA, lakini sasa nimewa-convince na wamebadili mtizamo. Mtu mmoja wa karibu kwangu ambaye mpaka sasa hivi nimeshindwa kubadilisha mtazamo wake ni mke wangu (kwa ubunge na udiwani yupo UKAWA ila urais amehama baada ya kumsimamisha Lowassa). Ninaamini nitafanikiwa kubadili mtizamo wake kabla ya uchaguzi...

Kama nilivyosema, ninaamini uamuzi huu wa UKAWA ni sahihi....whether niko right or wrong itathibitika october 25, tuvute subira...

Hebu tuwekee hizo argument ulizotumia kuwashawishi hao wasomi, isije ikawa ndo zilezile za siku zote kwamba Lowasa ana wafuasi wengi bila kujali athali ambayo taifa litapata. Na naomba utuambie hayo yanayosababisha overall effect ya Lowasa kuhammia Chadema kuwa positive.

Nirudie msemo wa mleta maada kuwa Lowasa ni Taasisi, ambayo imeamua kusaka mwanya wa kuendelea kuhodhi uchumi wa Tanzania kwa kutumia Chadema. Ni kujidanganya kwa hali ya juu kufikilia kwamba Chadema itamcontrol Lowasa atakapokuwa raisi, unless hamumjui Lowasa na hamjui mamlaka ya rais.
 
Hakuna kitu kibaya na shida kubwa kama mdhaifu kifkra, mji.ga kiufahamu na mwoga wa kujiamini, ni shida kubwa. Kwa kukusaidia hakujawahi kuwepo mamlaka ya Rais yaliyo juu ya mamlaka ya wananchi (wenye nchi), ikiwa hivyo basi tafiti na haya yatakuwa dhahiri:-
1. Jamii ya wajinga
2. Jamii ya waoga
3. Jamii iliyo dhaifu (of your kind)

Kukusaidia zaidi ili uelewe; mamlaka ya Rais haikupenda katiba mpya, mamlaka ya wananchi/wenyenchi ikashinda, mamlaka ya Rais ilipinga wizi thru EPA mamlaka ya wananchi ikashinda, mamlaka Rais ilikataa Escrow scandal mamlaka ya wananchi ikashinda, mamlaka ya Rais ilitaka kura ya maoni dhidi ya katiba bubu ya CCM mamlaka ya wananchi ikashinda. JARIBU KUJITAMBUA, UTANIELEWA IWAPO HAUTAKI KUENDELEA KUWA RAIA MJI.GA NA DHAIFU.


Hebu tuwekee hizo argument ulizotumia kuwashawishi hao wasomi, isije ikawa ndo zilezile za siku zote kwamba Lowasa ana wafuasi wengi bila kujali athali ambayo taifa litapata. Na naomba utuambie hayo yanayosababisha overall effect ya Lowasa kuhammia Chadema kuwa positive.

Nirudie msemo wa mleta maada kuwa Lowasa ni Taasisi, ambayo imeamua kusaka mwanya wa kuendelea kuhodhi uchumi wa Tanzania kwa kutumia Chadema. Ni kujidanganya kwa hali ya juu kufikilia kwamba Chadema itamcontrol Lowasa atakapokuwa raisi, unless hamumjui Lowasa na hamjui mamlaka ya rais.
 
Kinachotusumbua watanzania ni uvivu wa kufikiri. Siwezi kuwa shabiki wa chama chochote ila ntapiga kura. Nasema hivyo na kumuunga mkono mtoa mada wetu. Mimi najiuliza hivi hao CDM wamekaa bungeni miaka mingapi na wamebadilisha sera ngapi mpaka sasa. Heri ya mzee wa ACT-Zitto naweza kusema amefanya mambo mengi ya msingi na anayependa kusimamia kwa kile anachokiamini ni sahihi. sintoipigia kula ukawa. Ntampigia mtu nnayemwamini. Tujifunze na kujiuliza,Je katika Afrika kuna Chama chochote kilichoipindua chama tawala na kikaongoza nchi ikafanikisha kile ilichokisimamaia.
Mfano hai ni Libya chini ya Muamal Ghadaf. . Tafakari mtanzania,kijana mwenzangu,mzee na watu wanaojitambua. Si wakati wa mabadiliko,ni wakati wa kujitambua na kufanya maamuzi sahihi Oktoba 2015.:frown::usa2::majani7::A S-devil4:
 
Unaweza kuendelea ku believe in Dar Watson lakini haitazuia mabadiliko. Wewe kama unaona mabadiliko ni kumchagua makufuli ruksa
 
[hebu tujaribu msiogope. mbona kawaida tu jamani? tnaribuQUOTE=jebibay;13608780]Kitila, Muhongo, Ulimwengu, Polepole nao ni watu weusi, kwa hiyo kwa theory yako hiyo wana matatizo ya akili ! Na wewe ingawa sikufahamu, naamini ni mtanzania na ni mtu mweusi vile vile.......kwa theory unayoiamini, wewe utakuwa na matatizo ya akili.....

Change ni neno la kiingereza (mabadiliko kwa kiswahili) lilikuwepo kabla ya Obama na Nyerere hawajazaliwa !. Linaweza likatumika kwenye maeneo mengine ambayo sio ya kisiasa au linaweza likatumika kwa namna tofauti katika siasa. Obama
aliamu a kulitumia kwa namna hiyo na Nyerere naye kama ulivyoeleza. Wao hawalimiliki hili neno, na hivyo haina maana kwamba yeyote anayetaka kulitumia basi lazima alitumie au amaanishe kile alichokisema Obama au Nyerere.....

Kwa members wengi tu wa UKAWA (sio wote), wanapolitumia hili neno wana maana kuiondoa CCM madarakani, hivyo kwa sasa hivi na kwa uchaguzi huu, Change kwao ni kubadili chama kilichopo madarakani (CCM) na kuwaweka UKAWA (CHADEMA kwa JMT na CUF kwa upande wa Zanzibar). Kama unaona wamekosea kutumia neno hilo, hebu wewe sema watumie neno gani ambalo linafit zaidi.....

Kitu ambacho, mimi binafsi ningependa kwa Tz, ni sisi wananchi waTz tuwe na uwezo ambao uko wazi kabisa wa kuiwajibisha serikali yetu au viongozi wetu. Itakapofika mahali ambapo, kila mtu anajua kabisa kwamba kura yake ina-count then hapo mimi nitaridhika..... Hili bado ni tatizo hapa kwetu (kura ina-count kwa sehemu tu, ila uchakachuaji una nafasi pia) na hata kwa nchi nyingine za kiafrika !. Tukiwa na uwezo huo, then viongozi watakuwa na discipline na watawajibika kwa wananchi kwani watakuwa wanajua kwamba mamlaka yao yanatokana na wananchi na wakiboa wananchi watawaweka kando....

Nilifarijika tulipoanza mchakato wa katiba, nikitegemea at least tungeweka msingi wa kuelekea kuwapa wananchi mamlaka yao, lakini CCM wakavuruga mchakato na kuamua kwamba mawazo yao ndio mawazo ya watanzania...

Mimi nataka UKAWA wachukue nchi kwa sababu ninaamini wataweza kutupatia vitu vifuatavyo vya msingi katika nchi yetu....

1. Katiba mpya yenye maoni ya wananchi
2. Kuimarishwa kwa mifumo ambayo itasaidia kukuza demokrasia hapa nchini
- Tume huru ya uchaguzi
- Mahakama
- Bunge
etc

With CCM, ni mambo yale yale, hakutakuwa na chochote kipya.......Hawatufai, inabidi wakae kando ![/QUOTE]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom