Nini maana ya dhana Tunataka Mabadiliko?

Nini maana ya dhana Tunataka Mabadiliko?

Siamini mtu mwenye common sense ya kawaida tu anaweza kubadili mawazo yake kwa kutumia hiyo sababu niliyoiwekea red hapo chini achia mbali msomi wa chuo kikuu anayejitambua....labda kuwe na force nyingine zaidi ya hiyo sababu....

Hauna ulazima wa kuamini ninachosema. Mimi niliamua kumtolea mdau hapo hiyo mifano baada ya yeye kusema kwamba hakuna mtu anayejielewa atakayesupport UKAWA......by the way, nilio-waconvince ni co-workers na kiwango changu cha elimu kinafanana au kukaribiana na cha kwao.....

October 25 sio mbali, tuvute subira.

Hebu tuwekee hizo argument ulizotumia kuwashawishi hao wasomi, isije ikawa ndo zilezile za siku zote kwamba Lowasa ana wafuasi wengi bila kujali athali ambayo taifa litapata. Na naomba utuambie hayo yanayosababisha overall effect ya Lowasa kuhammia Chadema kuwa positive.

Nirudie msemo wa mleta maada kuwa Lowasa ni Taasisi, ambayo imeamua kusaka mwanya wa kuendelea kuhodhi uchumi wa Tanzania kwa kutumia Chadema. Ni kujidanganya kwa hali ya juu kufikilia kwamba Chadema itamcontrol Lowasa atakapokuwa raisi, unless hamumjui Lowasa na hamjui mamlaka ya rais.
 
Hakuna kitu kibaya na shida kubwa kama mdhaifu kifkra, mji.ga kiufahamu na mwoga wa kujiamini, ni shida kubwa. Kwa kukusaidia hakujawahi kuwepo mamlaka ya Rais yaliyo juu ya mamlaka ya wananchi (wenye nchi), ikiwa hivyo basi tafiti na haya yatakuwa dhahiri:-
1. Jamii ya wajinga
2. Jamii ya waoga
3. Jamii iliyo dhaifu (of your kind)

Kukusaidia zaidi ili uelewe; mamlaka ya Rais haikupenda katiba mpya, mamlaka ya wananchi/wenyenchi ikashinda, mamlaka ya Rais ilipinga wizi thru EPA mamlaka ya wananchi ikashinda, mamlaka Rais ilikataa Escrow scandal mamlaka ya wananchi ikashinda, mamlaka ya Rais ilitaka kura ya maoni dhidi ya katiba bubu ya CCM mamlaka ya wananchi ikashinda. JARIBU KUJITAMBUA, UTANIELEWA IWAPO HAUTAKI KUENDELEA KUWA RAIA MJI.GA NA DHAIFU.


Katika kuleta maendeleo ya nchi, wananchi wanamchango wao na rais ana mchango wake. Si busara kuweka rais mwenye tuhuma za kukumbatia ufisadi, na mwenye marafiki (wachangia pesa) ambao ni vinara wa ufisadi kwa kutegemea eti hawataweza kutekeleza maazimio yao kwa sababu ya mamlaka ya wananchi.

Upende usipende ni kwamba rais ana mamlaka makubwa, inapofikia hatua ya kutumia mamlaka ya wananchi against rais hali huwa imehalibika kupita kiasi.

Bahati mbaya sana kwenye jamii ya kitanzania ni kuwa kuhoji ni ujinga na udhafu. Kama chama kinaweza kuchukua genge la wabadhilifu ndiyo kipate kick hiyo si ndiyo kujiona dhaifu? Tumeshindwa nini kusimama na misingi yetu katika uchaguzi? Tutatoa wapi mamlaka ya kukemea ufisadi iwapo hao hao mafisadi ndo tunawakabidhi nchi?

By the way, hapo kwenye red, wahusika wakuu na kadhia ulizotaja ni Chenge, Rostam nk ambao ndiyo marafiki wakubwa wa mgombea wa ukawa.
 
Basi kama ni hivo Dr. Watson yuko sahihi sana kuwa akili na mtu mweusi ina walakini.

Haya mabadiliko yanakujaje kwa kuwa na mtu aliyetoka upande huo huo wa pili? Tena hajatoka muda mrefu, ni juzi tu baada ya kukatwa. Kweli mwenye maada amepatia. Watanzania ni wa kusaidia kwa maombi maana wanakata tawi la mti walilokalia wenyewe
 
Ccm siasa nying sana maneno kibao hv hv hammaliz tu kutuongopea,kwa upende wangu hata mngesema nn utoe ufafanuz mpaka kesho lakin kwa ss tunawaomba tu mupumzike,hebu kuwen na nyny upinzan
 
Woe to you for dwelling in darkness that long....!!

To sum up your long essay:
1. Sera zipo
2. Mikakati ya mabadiliko kisiasa na kiuchumi ipo
3. Nyenzo na rasilimali watu, vyote vipo.
4. Nia ipo
5. Uwezo upo

Haya yamefafanuliwa sana na kwa kina kwa miaka mingi nenda rudi na hata humu JF yapo ndio maana umekopi na kupesti yale yale kama ambavyo Polepole anarudia yale yale yaliyokwisha kufafanuliwa. Inasikitisha sana kuona mna TATIZO KUBWA SANA la UFAHAMU MDOGO SANA WA MAMBO. Bahati mbaya hamjitambui mnabaki kulalama tu eti mnawasikitikia watanzania badala ya kujisikitikia kwa fikra finyu zisizojipanua kung'amua mambo.

Kwa kukusaidia wewe na wengine wachache, nimekurahisishia kubainisha maeneo machache kwa ufupi ambayo yapo na yanathibitika. Ni kipi hakipo? Ni execution or implementation platform/stage. Hii maanake nini, ni kuwa na mamlaka ya maamuzi na utekelezaji wa mipango iliyoko tayari. Hii ni mamlaka ya kidola na si vinginevyo. Obama alipokuwa akihubiri mabadiliko uliyofikiri japo kwa ufinyu sana alitaka apewe dola ili ayatekeleze, ikimaanisha kushika mamlaka ya kuamua na kutenda.

Watanzania unaowabeza kwa kuunga mkono CDM, hususani UKAWA wanatambua nini hatua inayotakiwa kwa sasa. Ni kuiondoa CCM iliyoshindwa na kusimika dola mpya yenye muono wa mabadiliko halisi yenye tija katika kuleta maendeleo ktk nyanja zote muhimu. Nyie hatua tuliyopo hamujui, eti mnataka tushughulike na yale tuliyokwisha kuyakamilisha. Kwa wakati huu, miezi hii miwili ndo maadalizi ya hayo unayosema yafanyike??? Oooh!! My godness! Mna kich.aa au mmerogwa akili nyinyi??!! Kalagabao.......
Nafikiri ndugu hunajielewa kitu kipi hasa nilichokuwa ninachomaanisha na umekurupuka tu kuja kunijibu alafu unaanza kuhoji uwezo wangu. Nikusaidie tu Maana halisi ya neno mabadiliko kwenye siasa ni mapinduzi na mabadiliko ya kisera kama nilivoelezea kwenye mada ambavyo vote vina dhumuni kuu la kubadirisha maisha ya kawaida ya mwananchi wa kawaida na taifa kwa ujumla. Tatizo lenu kubwa mnahubiri kuwa mabadiliko ni kuitoa CCM madarakani na eti mnasema wamekaa mda mrefu wamechoka kwa iyo saivi lazima mabadiliko yafanyikew kwa kuwatoa madarakani, hapo ndo tatizo lilipo.
Mkiwa mnahubiri mabadiriko muje na izo sera zenu na mikakati yenu ya kisera na muaeleze wananchi kuwa mnatakiwa mpate mabadiriko kwenye kitu fulani kupitia kwetu kwa sababu hawa wanafanya hivi na hivi na wanatumia mikakati hii na hii, ila sie tuna kitu hichi ambacho tutakifanikisha kwa njia moja mbili tatu na tutapata funds kutoka kwenye njia moja mbili tatu na siku ya mwisho kutokana na takwimu fulani impact yake kwenye maisha yenu itakuwa kitu hiki.
Sio mnasema watanzania wanataka mabadiriko ya kuitoa CCM then what????? what if kama na nyie mna sera za kiuchumi zile zile za CCM????? what if kama sera zenu za kiuchumi ni worse zaidi ya hizi za CCM???????

UNAPOSEMA MABADILIKO HAPO LAZIMA UMAANISHE MAPINDUZI YA KISERA YENYE NIA YA KUBORESHA MAISHA YA MTU WA KAWAIDA NA KUIFANYA NCHI IENDE MBELE ZAIDI NA WALA SIO MABADILIKO YA KUKIONDOA CHAMA FULANI NA KUKIWEKA CHAMA FULANI.
Ngoja nikusaidie kitu unielewe vizuri kwa siasa zilizoendelea hata CCM wanaweza wakaja na sera ya mabadiliko kwa muktadha niliuelezea mie na kusema kuwa mwanzo tulikuwa na sera fulani tulizozisimamia kwa mikakati fulani lakini saivi tunakuja na mapinduzi katika sera zetu ambazo tunakuja na sera 1,2,3,4,5 zenye mikakati 1,2,3,4,5 tutakazo zilekeleza kwa funds zinazotoka kwenye vyanzo fulani na fulani alafu kwa utafiti tuliofanya hapa impact yake itakuwa kitu fulani. Hapo kisiasa wako sawa na wala hawakosei ila nyie mnaosema kuwa mabadiliko ni kuiondoa CCM madarakani mtakuwa ndo vilaza wa mwisho zaidi duniani.

Kwa kukusaidia zaidi ndugu ingawa vyama vyote vinataka kuingia madarakani yaani kushika dola ila kitu kikubwa na dhumuni kuu la kushika dola sio kutawala tu bali ni kuwatumikia wananchi kwa mipango mizuri na sera nzuri ambazo zinauisha maisha ya wananchi na taifa kwa ujumla. Sasa basi kama mabadiliko yangekuwa ni kubadiri vyama tu bila kuangalia maana halisi ya mabadiiko kisiasa basi nchi zote duniani kusingekuwa na haja ya watru kushindana kwenye sera na mikakati ya kuboresha maisha ya wananchi kwa sababu wangekuwa wanajua tu hawa wanatawala wanamaliza na tutaingia sie tutatawala na kumaliza.
 
Ccm siasa nying sana maneno kibao hv hv hammaliz tu kutuongopea,kwa upende wangu hata mngesema nn utoe ufafanuz mpaka kesho lakin kwa ss tunawaomba tu mupumzike,hebu kuwen na nyny upinzan
Nafikiri wewe ndugu ni sample tosha ya Dr Watson. ( Sorry kama nimeku offend)
 
Akili mpya ni ipi sasa mkuu?

wew kama umetumwa na mabwana zako kuja kumchafua lowassa imekula kwako tena ni bora tu ukarudisha hela za watu ukakaaa kimya.

mafisadi wako ccm na kama ni hyo unamsema fisadi una ushahidi??mkamate mfunguilie mashtaka mpeleke jela.other wise unatumika kama con...dom.

LOWASSA NDIYE RAIS WAKO KAFIE MBALI.WE NEED CHANGES.
 
Hakuna kitu kibaya na shida kubwa kama mdhaifu kifkra, mji.ga kiufahamu na mwoga wa kujiamini, ni shida kubwa. Kwa kukusaidia hakujawahi kuwepo mamlaka ya Rais yaliyo juu ya mamlaka ya wananchi (wenye nchi), ikiwa hivyo basi tafiti na haya yatakuwa dhahiri:-
1. Jamii ya wajinga
2. Jamii ya waoga
3. Jamii iliyo dhaifu (of your kind)

Kukusaidia zaidi ili uelewe; mamlaka ya Rais haikupenda katiba mpya, mamlaka ya wananchi/wenyenchi ikashinda, mamlaka ya Rais ilipinga wizi thru EPA mamlaka ya wananchi ikashinda, mamlaka Rais ilikataa Escrow scandal mamlaka ya wananchi ikashinda, mamlaka ya Rais ilitaka kura ya maoni dhidi ya katiba bubu ya CCM mamlaka ya wananchi ikashinda. JARIBU KUJITAMBUA, UTANIELEWA IWAPO HAUTAKI KUENDELEA KUWA RAIA MJI.GA NA DHAIFU.
Tatizo la watu weusi sie ndo hili na ndo mana nasema kuwa Dr. Watson alifikiri mbali sana hadi kutoa that statement.
Hivi wewe umekaririshwa au unajua ulichoongea????? Tatizo la ngozi nyeusi wengi tunajitengenezeaga nadharia zetu bila tathmini yakinifu bila kufanya research inayoendana na mazingira yako alafu unakuja kuropoka humu.

Hivi unajua nguvu za maraisi kwenye context za nchi za kiafrika????? Au unaongea tu???? Usifananishe mambo ya jamii zilizostaarabika tena za magharibi na mambo ya huku Africa au hata ulaya mashariki tu hapo(urusi)
Unatolea mifano ambayo hata huna uhakika nayo na unazidi kujiaibisha humu, hivi nikupe mfano kama Kikwete angekataa kuanzisha mchakato wa katiba mpya nani angemfanya nini????? hivi hujui hadi haop ukawa unaowaamini wanakiri kuwa mvchakato wa katiba mpya ni matokea ya utashi na busara za kikwete????? Embu niambie mamlaka gani ya wananchi ilimlazimisha kikwete akubari katiba mpya????? Acha kujidhalilisha humu.

Unaongelea epa, esrcow hivi unadhani raisi angeamua kuzima mijadala kama alivokuwa akiizima mkapa kungekuwa na matokeo yeyote ile???? Watu wanaposema kikwete ni mpole sana na ana unyenyekevu sana hapa ndo inapothibitika.
Unaongelea nguvu ya raisi sasa ngoja nikupe mfano wa bara lako la Africa hili hili hasa upande huu wa kusini mwa jangwa la sahara, Unakumbuka Joyce Banda alifanya nini aliposhika madaraka kwa chama chake???? Unajua ugomvi wa wanachama wa chama tawala cha Sudan kusini na unajua hali yao ikoje huko????
Tunaposema Lowassa ni taasisi inayojitosheleza tunajua tunaloliongea na ngoja nikwambie, Kama kungekuwa na muda wa kuanzisha chama chake na kugombea uraisi Lowassa angefanya ivo, anachotaka Lowassa na genge lake ni kushika madaraka ili watimize malengo yao na ndo mana unaona saivi timu yake inamfuata pale anapoenda(yaani kila siku unasikia fulani aliyekuwa timu ya lowassa kaamia chadema) sasa maana yake ni nini, hii team inahama kwenda kushika nafasi zao huko alipokuwa boss wao na kama ikitokea wakishika madaraka ndo mtaanza kuona nguvu ya taasisi ya Lowassa na hapo mkiwazingua tu watajitoa na kuanzisha chama chao na unajua mtu akiwa amiri jeshi mkuu hapa Africa mashariki nani anaweza kumwambia kitu???????

Ngoja nikwambie kitu, Lowassa na taasisi wanataka kushika nchi, baada ya kushindwa CCM walikuwa hawana plan B zaidi ya kuamia Chadema, walishindwa kuanzisha chama chao kwa sababu muda haukuwa pamoja nao na wameamua kuitumia tu Chadema/ukawa kufanikisha azma yao, nauhakika na ninachokisema kwenye taasisi ya Lowassa hamna anayeamini kwenye serikali 3, kuanzia chenge,gunidita,rostam, kingunge, mahanga, karamagi, msindai na wengineo wote ikiwamo kina gachuma. Wao they need power to accomplish their goals wakiwa na wafanyabiashara wengine wanaowaunga mkono akiwemo media tycoon,na wakipata power kupitia iyo ukawa mnayoiamini nyie(God Forbid) ndo mtaona maana halisi ya hayo mabadiriko mnayoaminishwa nyie.
 
kuna watu kama huyu mtoa post sjui anamaslah gani na ccm????unafaidika na nn ndani ya ccm??
we need changes na kama unaservive kwa mgongo wa ccm imekula kwako
 
kuna watu kama huyu mtoa post sjui anamaslah gani na ccm????unafaidika na nn ndani ya ccm??
we need changes na kama unaservive kwa mgongo wa ccm imekula kwako
Kwa akili hii uliyonayo seriously Dr Watson yupo sahihi sana. No wonder sometimes wazungu wanatuitaga jina la yule mnyama, our thinking capacity ina walakini sana. Endelea kutafuta mabadiliko kwa Kumuweka Mobutu se seko wa Tanzania.
 
Kijana, unaongea sana. Mambo unayoongea ni Yale Yale yaliyokataliwa na wananchi ya kumpa raisi mamlaka juu ya sheria.

Akina mkapa walizima na Jk alikana kuwa pesa za Escrow hazikuwa za UMA.

Je unawezaje kumshitaki rais ikiwa yeye atakuwa anahusika Kwa namna moja ama nyingine kuhujumu uchumi?

Mabadiriko tunayoyazungumza ni hayo unayoyatafsiri Kwa upana kabisa.
But nani atayaleta, au ni taasisi gani inaonyesha kuyasaka kuqnzia nje na ndani ya bunge?

Serikali ya ccm hujaona ilivyokuwa inakataa maoni mazuri ya wabunge wa upinzani Kwa maksudi?

We need to change the part. Kuweka chama kinachokubali maoni na matakwa ya wananchi.

Kijana umeelewa?
 
Kwa kuwa hakuwa na Makundi wala hajahonga.... MAGUFULI ndiye mleta mabadiliko ya kweli.... Nje ya hapo nchi tutaiuza kwa wafanyabiashara
 
kwenye bold hapo, nani kakuambia kura sera za ccm ni mbaya? nitajie japo sera moja tu ya ccm ambayo ni mbaya.

Ubinafsishaji, kuuza Nyumba za serial I n.k
 
haya majitu yanafikiri yanaijua vizur tanzania na wananchi wake.
Tanzania ni nchi maskini kiuchumi japo tunao utajiri wa rasilimali ambao unawanufaisha wachache... akina kinaner na magaidi wenzake.
wananchi wengi wanajitokeza kuisupport UKAWA kwasababu CCM wamekuwa waongo wakupindukia... walafi... wazembe mno.. ahadi zenu tuliambiwa na dk. slaa hazitekelezeki tukakaid, mkatupeleka puta kwa miaka mitano mingine migumu tokea wakati ule mliotuletea kofia za bure na t-shirt zilizoandikwa maisha bora kwa kila mtanzania...

Sasa tunataka mabadiliko na mabadiliko yenyewe ni kuitoa ccm na kuiweka UKAWA..tunafanya hivyo kwa sababu ya msingi kabisa... kwanza cuf na chadema wamekuwa wakihubiri njia maridhawa za kujenga uchumi njia ambazo kisayansi zinamake sense na mifano ipo mingi.

kwa mfano kukuza uchumi wa nchi na wananchi kwa kufanya mapinduzi ya viwanda. ccm wao walichokifanya hapa ni kuuwa viwanda karibia vyote ambavyo vilikuwa vinatija kwa taifa na vilikua vinauwezo mkubwa wa kutatua tatizo la ajira na kupunguza mfumuko wa bei..... sasa ni nani asiyejua ya kwamba viwanda vimechangia mataifa mengi kukua kiuchumi? sasa nyie endeleen kuja hapa na sera mkaa muone..nikuwachinjilia baharin tu...
 
Amani iwe nanyi wadau,
Kwa kipindi sasa kuna jambo limekuwa likiniwazisha sana hasa Kwa wapenzi wa Chadema, ukawa na baadhi ya washabiki wao pale wanapolitumia kwenye kujenga ushawishi neno Tunataka mabadiliko. Hili ni neno ambalo wamekuwa wakilisema kwa kipindi sasa wakiwa wanatarget kuwa wanapolisema tu basi maana yake kuu ni kuiondoa CCM madarakani.

Napenda kutoa historia fupi ya umaarufu wa hili neno ambayo najua wengi wenu humu mnaifahamu. Neno hili kwa lugha nyingine CHANGE lilipata umaarufu hasa pale raisi wa sasa wa Marekani Barack Obama alipolichagua kama kaulimbiu yake kwenye mchakato wake wa kisiasa katika kuutafuta uraisi wa Marekani mnamo mwaka 2008. Neno hili alilichagua na kulitumia akiwa hamaanishi kuwa wamarekani wanataka change ya kubadiri chama kwa sababu alianza kulitumia tangu kwenye mchakato wa ndani wa chama chake yaani Democrats akiwa anamaanisha wamarekani wanaitaji mabadiriko ya kisera za kiuchumi, kijamii, kiulinzi na usalama na hata za kimaisha. Huu ndo msingi wa neno CHANGE/MABADILIKO KWENYE SIASA. Hata mwalimu Nyerere aliposema watanzania wanataka mabadiriko wasipoyapata CCM watayapata nje ya CCM ukiangalia ile hotuba kuna vitu aliviongelea na vilikuwa vinne kikiwemo Rushwa na vingine vitatu, na ndo baadae akasema kuwa watanzania wanaitaji mabadiriko kwenye ivo vitu wa wasipovipata CCM watavitafuta nje ya CCM. Hii inamaanisha mabadiliko kwenye siasa sio kubadirisha vyama.

Nimeamua kutoa haya maelezo mafupi nikiwa naionea huruma jamii hii ya watanzania huku nikiwa nawaza mawazo ya Yule Dr wa kizungu anayejulikana kama Dr. Watson aliyesemaga kuwa ana wasiwasi na akili ya mtu mweusi.
Ninasema haya kwa sababu kwa jinsi wafuasi, wapenzi na wanachama wa Chadema wanapolitumia hili neno wao wanachowaza kikubwa ni kuwa maana ya mabadiriko ni kukiondoa chama kinachotawala madarakani wakati kiuhalisia hali haiko ivo. Inaniuma zaidi eti wanaposema hawa wamekaa miaka 50 na sasa tuweke wengine as if uongozi ni kujaribu hasa wan chi. Kweli Africa we have a long way to go.

Dhana ya mabadiliko/ change inapotumika kisiasa inamaanisha ni mabadiriko KWENYE SERA HASA ZA KIUCHUMI, KIJAMII NA KISIASA, INAMAANISHA MABADIRIKO KWENYE MTINDO WA KUENDESHA MAMBO HASA YA KIUTAWALA ILI JAMII IONE KITU TOFAUTI HASA KWENYE MAISHA YAO YA KILA SIKU NA SIO KUHUSU KUBADIRI CHAMA TU.

Kuna watu watatu nimewasikiliza wiki hii, wa kwanza ni Ndugu Humphrey Polepole na wa pili na Dr Kitila Mkumbo na wa tatu ni Jenerali Ulimwengu ambaye nimemsoma kwenye gazeti la leo la Raia Mwema. Humphrey amezungumzia kwa mapana sana tangu wiki iliyopita na hadi wiki hii na kusema kweli nimefarijika sana kuona jamii ya Tanzania ina mtu mwingine mwenye upeo wa tofauti na ulio mbali kama wake(wa kwanza kwangu ni Prof Muhongo) huyu mtu bila kumung’unya maneno ameweza kuelezea kwenye vipindi alivoalikwa kinagaubaga kuwa Tanzania inaitaji mtu wa aina Fulani na mwenye uwezo Fulani. Kwa Dr Kitila alisema wazi kuwa vyama vya upinzani vinaonekana kuwa dhumuni lao kuu ni kushika madaraka tu yaani kukamata dola ndo mana wanasema tutumie silaha yeyote ile( kwa hapa nikapata picha kuwa kumbe hawa viongozi lengo kuu sio kuja na sera mbadala zinazoonyesha ni kwa jinsi gani watamkomboa mtanzania na nchi yetu mama Tanzania). Kwa Jenerali Ulimwengu amegusia kwa jinsi gani ushabiki usio na maono na upenzi wenye kupapalikia mambo unaoliangamiza taifa letu na siku ya mwisho hatupati kitu tunachotakiwa kupata.

Hawa wachambuzi watatu wameugusa sana moyo wangu na kwa uzoefu wangu nimegundua kuwa nchi hii inaharibiwa na wanasiasa kwa sababu fikra zao ndo zinaiharibu wafuasi wao ambao ni sehemu ya jamii ya watanzania. U chambuzi wa hawa watu umenifanya nitafakari sana maneno ya Dr Watson kuwa mtu mweusi ana matatizo Fulani kwenye akili yake. Kwa sababu kiuhalisia Chadema/Ukawa hawajajipambanua kisera, Lowassa hajajipambanua kisera hasa kujibu how question yaani atafanya nini na kivipi na hata fedha atapata wapi zaidi ya kusema tu Fulani kakuta sukari bei Fulani, kakuta kitu Fulani bei Fulani na sasa ivi kaacha kikiwa bei Fulani alafu wapenzi wake wanashangilia tu raisi raisi raisi bila kupembenua vizuri ni nini kasema ni kwa nini iwe yeye kwa sera zake/utekelezaji wake tofauti na mwingine.

Kitu kinachoniumiza zaidi ni pale ninapojiuliza kama tatizo kuu la nchi hii ni ufisadi, utumiaji mbaya wa madaraka, uvivu, porojo, kuabudu wenye mali, wizi, porojoporojo na unafiki hivi mtu ambaye kwa miaka yake tuliyomfahamu na kumuona kuwa ana mambo mengi sana ambayo ni matatizo kwa Tanzania yet u ndo huyu apewe nchi yetu aiongoze?????? Kama jibu ndio basi kweli Dr Watson atakuwa yuko sahihi asilimia 100 kuwa ana matatizo na akili ya mtu mweusi.

Nawatakia siku mpya njema wadau.
Mungu awabariki.
[h=3]UKOO WA CHADEMA BUNGENI WAANIKWA: GAZETI LA UHURU[/h]






BAADHI ya wabunge wameiumbua CHADEMA, wakieleza kuwa chama hicho ndicho kinaongozwa kwa utawala wa kifalme.


"Lissu kaja na dada yake. Ukienda kwa Mwenyekiti wa Chama ana ndugu watatu, Slaa kuna mke wake, nani ana utawala wa kifalme? Ndesamburo amekuja na mtoto wake na mkwe wake, Samahani Mh. Ndesamburo"

Akichangia juzi, muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa mwaka 2011,
Assumpter Mshama (Nkenge –CCM), alisema utawala wa kifalme upo CHADEMA.

“Mfadhili wao amekuja na mtoto wake, kuna mdogo wake, ukienda kwa Lissu kaja na dada yake. Ukienda kwa mwenyekiti wa chama ana ndugu watatu, nani ameleta ufalme zaidi,” alihoji.

Aliongeza: “Slaa kuna mke wake, nani ana utawala wa kifalme, Ndesamburo amekuja na mtoto wake na mkwe wake, samahani mheshimiwa Ndesamburo.

“CCM ilitengeneza utaratibu wa kupata viongozi wa viti maalumu, wao si kifalme tu, tuseme ni kaskazini tu, nawashangaa watu wanaojiita CHADEMA, wenzako wako bungeni huulizi wamepatikanaje.”

Kwa upande wake, Livingstone Lusinde
(Mtera-CCM), akichangia jana, alisema CHADEMA ndiyo yenye tabia ya kupeana madaraka kwa kufuata unasaba.

Alisema viti maalumu vimetolewa kwa unasaba, na kama hilo lingefanywa na CCM ingekuwa wimbo kila siku.

“Ndiyo maana humu ndani wamo wakwe, dada, kaka, ingekuwa ni kwa CCM ingekuwa wimbo kila siku. Nashangaa wanaposema rais anaongoza kifalme,” alisema.

Lusinde alisema wanaotoa vitisho vya kuandamana na kwamba wapo tayari kufa kwa ajili ya katiba waachwe wafanye hivyo kwani wa kuzuia fujo wapo.

“Wanaotaka kufanya vurugu waachwe tu, wengine wanasema wapo tayari kufa kwa ajili ya katiba. Mimi sipo tayari nataka nione katiba mpya, ambayo Watanzania wamekuwa wakiitaka kwa muda mrefu,” alisema.

Lusinde aliohoji busara ya wazee wa CHADEMA ambao wameshindwa kutoa kauli baada ya vijana wao kuchafua hali ya hewa.

Mbunge huyo alisema CHADEMA inafanya hivyo kutokana na ahadi ya fedha waliyopewa na Ujerumani.

CHADEMA imesusa kujadili muswada huo unaohitimishwa leo, baada ya kujadiliwa kwa siku nne, kwa kile wanachodai umekosa uhalali kwa kukiuka Kanuni za Bunge.

Hata hivyo, CHADEMA imekuwa ikijibu hoja zinazojadiliwa na wabunge bungeni, kupitia mikutano na waandishi wa habari inayofanyika kila siku mchana, ambapo katika mkutano wa jana imeliomba bunge kutopitisha muswada huo.

Mikutano hiyo imekuwa ikiitishwa na viongozi wa CHADEMA, John Mnyika (Ubungo) na Tundu Lissu (Singida Mashariki), ambaye Jumatatu wiki hii aliwasilisha maoni ya Kambi ya Upinzani Bungeni, kuhusu muswada huo.

Katika maoni hayo, alipendekeza baadhi ya mambo kwenye muswada huo na pia aliwachefua wabunge kutokana na hoja zake kuhusu Muungano na pia kutamka kuwa Tanzania ina urais wa kifalme.

John Lwanji (Manyoni Magharibi-CCM), alisema wanachofanya CHADEMA ni sawa na kiini macho katika mazingaombwe, akitumia neno abrakadebra.

Benardetha Mushashu (Viti Maalumu-CCM), alihoji CHADEMA walitoka bungeni kwa kanuni gani na mbona hawachukuliwi hatua.

“Wanawalaghai wananchi, Lissu alichangia muswada. Wanaharakati wanatangaza kufanya maandamano yasiyo na kikomo kama kwamba hakuna serikali, wakijaribu wataona,” alisema.

Alisema kinachoendelea Arusha ni matokeo ya maandamano ya kila siku, ambayo hivi sasa yameanza kushamiri Mwanza, ambapo watu wanapigwa mabomu ya machozi.

“Libya walianza na maandamano, Gaddafi ameuawa, lakini hivi sasa wanauana,” alisema.

Wakati huo huo, Spika wa Bunge, Anne Makinda, amesema hamlazimishi mbunge kuingia kwenye kamati, bali anachofanya ni kufuata Kanuni za Bunge na Katiba.

Alisema hayo bungeni jana, kutokana na malalamiko yanayotolewa na CHADEMA na NCCR-Mageuzi kwamba, spika alilazimisha wabunge kuingia katika Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, kujadili muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa mwaka 2011.

Spika Anne alisema CHADEMA hawakutumia busara kutoka ndani ya ukumbi wa bunge, bali wangewasilisha hoja zao, na endapo wangeshindwa, basi wangeshindwa kishujaa.















Tunataka haya hapa........................
 
Kwa akili hii uliyonayo seriously Dr Watson yupo sahihi sana. No wonder sometimes wazungu wanatuitaga jina la yule mnyama, our thinking capacity ina walakini sana. Endelea kutafuta mabadiliko kwa Kumuweka Mobutu se seko wa Tanzania.

watu kama nyie hua hamkosekani... mm huwa nawaita kenge tu... hata Kenya wakati wanafanya maamuzi magumu kwa maslah ya taifa lao watu kama nyie walikuwepo walijitahidi kumchafua Uhuru na walishindwa na sasa kinya inapaa..
 
wew kama umetumwa na mabwana zako kuja kumchafua lowassa imekula kwako tena ni bora tu ukarudisha hela za watu ukakaaa kimya.

mafisadi wako ccm na kama ni hyo unamsema fisadi una ushahidi??mkamate mfunguilie mashtaka mpeleke jela.other wise unatumika kama con...dom.

LOWASSA NDIYE RAIS WAKO KAFIE MBALI.WE NEED CHANGES.

Sample nyingine hii hapa mkuu, mtu hana hoja ye n lowassa tu na kejeli.
 
Back
Top Bottom