Nini maana halisi ya kuzini (You shall not commit adultery)

Wazee wake waliomlea umekubaliana nao usex na mtoto wao kama demu wako?
 
Wewe zinaa imekukolea mpka kisogoni..
Unajaribu kuhalalisha haramu.
Shauri yako
 
Tutajie hayo madhara kama matatu tu(kwa wasio wanandoa)
1) inarithika kwa kizazi chako..ukizini na binti wa mtu ujue na mama ako atavuliwa chupi na mwanaume asie mumewe,Dada ako,mkeo,mwanao wa kike n.k
2) Amri ya Mwenyezi Mungu..
3) kumnyima haki za msingi mtoto anaepatikana kwa tendo hilo..e.g hamrithi baba
 
Wewe zinaa imekukolea mpka kisogoni..
Unajaribu kuhalalisha haramu.
Shauri yako
Hapo haliitwi uzinzi. Ni tendo la ndoa. Uzinzi unakuja baada ya tendo la ndoa kutendwa na wasio wanandoa.
 
Hata mababu zetu walikua na mfumo mzuri tu wa maisha na wala walikua hawalali na mama zao
Hujachaguliwa cha kufuata.
Umezaliwa peke yako na utaenda kaburini peke yako.
 
Tatizo una judge vtu kwa mtazamo wako.
Wakati dini imekuja kumpa mwanadam mfumo kamili wa maisha.
Ingekua maisha ni kuamua,basi watu wangelala na mama zao,Dada zao n.k
Hata kulala na mama yako pia sio kosa hasa ukiondoa sheria za dini na za kiserikali na imani pamoja na maadili ,

na unaweza ukazin na mama au dada yako au mtoto wako wa kumzaa na kisitokee chochote na maisha yakaendelea, nimesha shuhudia mtu na dada yake tumbo moja wakiwa wapenzi lakin pia songea kule mtu na mama yake walikuwa wapenzi na wanashiriki tendo la ndoa na kwenye vyombo vya habari vililipoti lakin pia kuna baba mmoja alikuwa na desturi ya kufanya mapenzi na bint zake ,

lakin pia kuna kabila fulan bikra ya mabint hutolewa na baba zao wazazi pekee kabla ya kuolewa, hivyo hofu ya hayo ipo kwenye mazoea na iman tu lakin waweza fanya na hakuna lolote lakukuta

Kama ilivyo mimi kwa mila yetu binamu yangu ni ndugu wa damu kabisa tena ni kaka au dada kabisa wa ndani na kuzin naye inaonekana kama laana na mnatengwa na ukoo ,maana ni ndugu wa damu kabisa maana wazazi wenu ni damu moja ndivyo ilivyo kwetu lakin ukanda wa pwani na baadhi ya maeneo binamu yako mnakulana fuleshi bila shida.na maisha yanasonga hivyo hayo yote ni mila tu na imani na mazoea tu kinyume na hapo mnakulana changanyikeni tu kama wanyama wenzetu wengine kina mbuzi ,ng'ombe nk. Huo ndio ukweli mchunguuuuu!

Laki n pia hata mwanamke aliye olewa au mume aliye oa awe mzee au kijana mtoto ama vinginevyo hakuna kosa kufanya mapenzi na yeyote yule awe mke wake au mume wake ama sio mke wala mume hayo makosa yamewekwa na sheria tulizo jiwekea ,iman zetu na makatazo yake, na ile hali ya maadili tuliyo jiwekea wenyewe lakin sisi ni typical wanyama yaan ni changanyikeni tuu na haina shida wa jambo lolote maana kuna wanao ishi hivyo na maisha yanaendelea huo ndio ukweli nje ya ujio wa dini na imani hizi

NB: Ni mawazo mepesi tu lakin yana ukweli nje ya iman na dini zetu na makatazo yake
Pia KUNIELEWA HAOPA NI LAZIMA MISIMAMO YA DINI ,IMANI MIIKOMYA KIKABILANUWEKE PEMBENI KWANZA NA UELEWE KATIKA UHALISI KABISA
 
Uko usingizini Mungu akusaidie
 
Mmmhhh aisee..
Kua uyaone,hayo yako nayaskia leo.
Kwani nani alisema adhabu za maovu yetu lazma ziwe duniani?!!!,mbona watu wanaiba na maisha yao yanasonga,watu wanatoa mimba kila kukicha na bado wakiolewa wanapata vzazi maisha yao yanaendelea.,wanandoa wanazini na kuleta watoto wa nje kwenye ndoa mbona maisha yanasonga?!
Au mpaka tupate gharika au tsunami ndo tutaziona hasira za Mungu waziwazi?!???
 
Adultery kwa at least one is married, na ikiwa wote ni unmarried huitwa fornicator (adv english) na wote ni wakosaji
 
Bado unarud kwenye hoja yangu maana ukisha mtaja mungu tayar upo upande wa imani ambayo ina makatazo mengi na tuna yazingatia na ndio maana nimesema hayo niliyo yaandika hapo hapo ni nje ya iman ,hebu rudia uzi wangu kuusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…