Malengo halisi ya mtihani Wa kidato cha enzi zetu yalikuwa ni kuwachuja wanafunzi. Mtihani huu ulijulikana kwa jina la "FORM TWO NATIONAL EXAMINATION".
Huu mtihani nakumbuka tuliuheshimu sana kwa kuhofia kurudia darasa!
Lakini sasa hivi mambo ni tofauti kabisa, mtihani huu hauna nguvu tena. Sasa hata sielewi kwanini wameamua kuupa jina hili jipya "FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT".
********************************
Sasa Mayai Visa tuyakusanya wenyewe halafu tunakuja kuyatumbulia form six! Hili ni Bomu tunaliandaa kubwa kuliko hata tungewapunguza hukuhuku chini;
Faida ya kuwapunguza wanafunzi Kwa kuwachuja
1. Tutaepuka kuwapotezea mda.
2. Tunauwa vipaji vyao, wengine wangejua mapema kuwa shule hawaiwezi basi wangejiajiri na kuanza mikakati mingine mapema kama kilimo, mziki na ujasiliamali n.k (wengi wanaofika Form six na kufel huona aibu kufanya shughuli kama hizi tena)
3. Gharama kubwa ya kusomesha vila.**za inachangia umasikini katika familia na taifa..ambapo Pesa nyingi zinatumika wakati zingetumika Kwa wachache wenye faida na kuwahudumia vizuri.
4. Lundo kubwa la wanaotemwa ni janga kiusalama wanaweza kuwa vibaka.
Naomba kuwasilisha.
Huu mtihani nakumbuka tuliuheshimu sana kwa kuhofia kurudia darasa!
Lakini sasa hivi mambo ni tofauti kabisa, mtihani huu hauna nguvu tena. Sasa hata sielewi kwanini wameamua kuupa jina hili jipya "FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT".
********************************
Sasa Mayai Visa tuyakusanya wenyewe halafu tunakuja kuyatumbulia form six! Hili ni Bomu tunaliandaa kubwa kuliko hata tungewapunguza hukuhuku chini;
Faida ya kuwapunguza wanafunzi Kwa kuwachuja
1. Tutaepuka kuwapotezea mda.
2. Tunauwa vipaji vyao, wengine wangejua mapema kuwa shule hawaiwezi basi wangejiajiri na kuanza mikakati mingine mapema kama kilimo, mziki na ujasiliamali n.k (wengi wanaofika Form six na kufel huona aibu kufanya shughuli kama hizi tena)
3. Gharama kubwa ya kusomesha vila.**za inachangia umasikini katika familia na taifa..ambapo Pesa nyingi zinatumika wakati zingetumika Kwa wachache wenye faida na kuwahudumia vizuri.
4. Lundo kubwa la wanaotemwa ni janga kiusalama wanaweza kuwa vibaka.
Naomba kuwasilisha.