Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Uchaguzi umeisha ,kura zimeibiwa live, kila mtu kaona kura zimeibiwa na Chadema hawajakubaliana na huu wizi , sasa kitu gani au hatua gani zitachukuliwa? mpaka sasa hivi sijui kwamba DR ametoa kauli yoyote baada ya NEC kukataa ombi lake na hatimaye wamemtangaza mtu wao wanayemtaka. so what next...maoni yako please!!!