hawa voda wamefanya ujinga sana. Sijui ni customer care gani hii hata taarifa kwa wateja hakuna. Binafsi sijui nitawaamini lini tena na hela. Au magamba wameshakopa na huku?
Ni hela ya mawazo sawa lkn combined savings za walalahoi zilizohifadhiwa mpesa v.com ni zaidi ya combined savings za CRDB . NMB na NBC. unaweza usiamini lkn ukweli ndio huo.
kama una mtu pale voda switch muulize hela iliyopo pale na utashangaa mkuu.
Nasikia wameformat computer zao Mkwanja wote ukapotea kama ndege ya malaysia. Pole sana Mkuu(nakutania)Vodacom watuambie nini shida jaman..............
yaani hapa hata sielewi
Nasikia wameformat computer zao Mkwanja wote ukapotea kama ndege ya malaysia. Pole sana Mkuu(nakutania)
Nipe habari wangu, Miss u much love. mia
Ukiona hivi ujue jamaa wa voda wameshavuna vya kutosha na sasa wamekimbia. Yale yale ya shoprite!!
Poa poa. miautaacha nizirai kwa presha husband nimeshtuka wakat nasoma hapo mwanzo
ngoja nikucheck
Voda washenzi sana. wanatuelekeza jinsi ya kuweka pesa mpesa na sasa m pawa lakini hawatuambii jinsi ya kuchukua hizo savings za mpawa. yaani tuweke tuu kwenye benki tena ya kigeni ? VODA TUMESTUKA. LABDA MUNIIBIE HIZO ZA MPESA TU. wezi wakubwa nyie. mke wangu tangu juzi kanitumia laki nane. niko ugenini Kahama. nina kiu ya bia hela mmeikalia kwenye makalio yenu
siku ya tatu sijakunywa castle lite wala kuchepuka. hapa gesti wameanza kunistukia maana nalala na kula kwa mkopo. Kahama papuchi ni qash qash .
Nadhani lilikuwa tatizo la nchi nzima au baadhi ya maeneo/miji!
Huduma imerejea majira ya saa sita leo jumapili!