Nini kinachowavutia wanawake wawaonapo wanaume?

Nini kinachowavutia wanawake wawaonapo wanaume?

hakuna alie mkamilifu hata mmoja mengine tutaelekezana taratiibu lkn awe tayari kukubali kukosolewa,kujifunza,kukosoa na kunifundisha pia
Pearl, vipi kama sifa zote hizo hana isipokuwa ni mcha mungu wa ukweli!je,bado ana nafasi kwako?
 
hakuna alie mkamilifu hata mmoja mengine tutaelekezana taratiibu lkn awe tayari kukubali kukosolewa,kujifunza,kukosoa na kunifundisha pia

MUNGU akubariki Mum! unaongea vizuri sana!
 
hakuna alie mkamilifu hata mmoja mengine tutaelekezana taratiibu lkn awe tayari kukubali kukosolewa,kujifunza,kukosoa na kunifundisha pia

Kwa kweli unanishawishi niweze kutafuta wadhamini within 10 ili niweze kupita vizuri katika kura za maoni
 
hakuna alie mkamilifu hata mmoja mengine tutaelekezana taratiibu lkn awe tayari kukubali kukosolewa,kujifunza,kukosoa na kunifundisha pia
Maneno mazuri kabisa haya Pearl, kila mtu ana uchafu na usafi wake, ni suala la kusemezana lakini isiwe kwa msaada wa watu wa Marekani ila kwa msaada wa akili zetu na uweza wa Mungu pekee
 
Physical strength, muscles - Being muscular provides a sense of excitement and security in women. It also alludes to dominance which will seduce most women.This is what i can prove now.

Una uhakika wa kufanya mambo kwa muda mrefu siyo dakika 5 chali.
 
physical strength, muscles - being muscular provides a sense of excitement and security in women. It also alludes to dominance which will seduce most women.this is what i can prove now.

Una uhakika wa kufanya mambo kwa muda mrefu siyo dakika 5 chali.

try me
 
Wanaume wengi hawako makini katika kuchunguza sura au maumbile ya wakina dada, hii ni kutokana na ukweli kuwa wanaume wengi husukumwa kufanya juhudi za kumpata msichana/mwanamke ili kufanya tendo la ndoa (sura na maumbile ni vitu tu vinavyozidisha msukomo huo tu si vinginevyo). ndio maana kwa wanaume waliowengi mara baada ya kufanya tendo la ndoa hana muda wa kupoteza analala mbele. Mwanaume akishamaliza shida yake hawezi kuzungumzia lolote lihusulo mahusiano. Kwa wasichana wengi ambao wameingizwa gesti au geto watakubaliana na mimi kuwa mara tu mzee akimaliza shida yake anaoga anavaa nguo then ananyanyua, hakuna muda tena wa kuzungumza lolote, na utafiti mdogo ambao ninao ni kuwa asilimia kubwa ya wanaume wakishamaliza haja zao kwa wanawake hulala usingizi au huondoka zao, mambo ya kusema nakupenda, umeumbika hayana nafasi tena.!!!!!:crutch:
 
mm napenda mwanaume mtanashati,mkarim,mwenye maoenzi ya dhati,mrefu,mwili saiz ya kati,maji ya kunde,zaidi ya yoooote mcha Mungu.

mmh wengine wanaenda kanisani kama mazoea tu, hawana lolote ukimdate cha moto utakiona

mie napenda mwenye mapenzi ya kweli, kumcha mungu sana kwangu sio lazima
 
Physical strength, muscles - Being muscular provides a sense of excitement and security in women. It also alludes to dominance which will seduce most women.This is what i can prove now.

Una uhakika wa kufanya mambo kwa muda mrefu siyo dakika 5 chali.

mmh!Caroline Danzi umesahau kuwa bora dk 20 kuliko dk 5 za haja!
 
mmh wengine wanaenda kanisani kama mazoea tu, hawana lolote ukimdate cha moto utakiona

mie napenda mwenye mapenzi ya kweli, kumcha mungu sana kwangu sio lazima

cha moto utakiona?????!! una maana gani Katelero?
 
Wote wanaJF ambao ni wa KE/SHE/HER/MS/MISS/MRS/MADAME n.k watusaidie kupata jibu sahihi kwa swali hili NZURI
 
Wanaume wengi hawako makini katika kuchunguza sura au maumbile ya wakina dada, hii ni kutokana na ukweli kuwa wanaume wengi husukumwa kufanya juhudi za kumpata msichana/mwanamke ili kufanya tendo la ndoa (sura na maumbile ni vitu tu vinavyozidisha msukomo huo tu si vinginevyo). ndio maana kwa wanaume waliowengi mara baada ya kufanya tendo la ndoa hana muda wa kupoteza analala mbele. Mwanaume akishamaliza shida yake hawezi kuzungumzia lolote lihusulo mahusiano. Kwa wasichana wengi ambao wameingizwa gesti au geto watakubaliana na mimi kuwa mara tu mzee akimaliza shida yake anaoga anavaa nguo then ananyanyua, hakuna muda tena wa kuzungumza lolote, na utafiti mdogo ambao ninao ni kuwa asilimia kubwa ya wanaume wakishamaliza haja zao kwa wanawake hulala usingizi au huondoka zao, mambo ya kusema nakupenda, umeumbika hayana nafasi tena.!!!!!:crutch:

Haah!! Kweli?? :shocked:
 
Physical strength, muscles - Being muscular provides a sense of excitement and security in women. It also alludes to dominance which will seduce most women.This is what i can prove now.

Una uhakika wa kufanya mambo kwa muda mrefu siyo dakika 5 chali.


Kwa hiyo wewe what matters ni quantity na sio quality?:becky::becky::becky:
 
ah ah ah tuma tu CV utakutana na wagombea wenza wa kumwaga

RED; Aaaaaaaaaaaa.........aha..aha..aha...aha... nimecheka sana Pearl, ina maana hao wote uliwapa kadi za uanachama?
 
ah ah ah tuma tu CV utakutana na wagombea wenza wa kumwaga
Hivi si ulisema huna wala hutafuti???:confused2: Wacha na mi nijaribu bahati yangu....:A S 8:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom