Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,333
- 17,873
Nasubiria Kaizer anipe masharti ya INFIDELITY yaliyopo kwenye katiba
Mojawapo ni kwamba ukienda gesti hakikisha unaingia kwanza na kutoka wa kwanza, marufuku kuongizana na infidelatee,,,,upo hapo?
Nasubiria Kaizer anipe masharti ya INFIDELITY yaliyopo kwenye katiba
Mojawapo ni kwamba ukienda gesti hakikisha unaingia kwanza na kutoka wa kwanza, marufuku kuongizana na infidelatee,,,,upo hapo?
Naandika kwenye kitabu kusudi ni memorize vizuri
Binafsi mwanamme atanivutia kwa mara ya kwanza kama;
Muonekano;
-atakua smart, mwenye kujijali, msafi, nk
-ana umbo la kuvutia,
-awe mrefu wastani
-mwenye kifua, naweza lala kama kwenye mto
kifikra;
nikiongea naye napenda kusikia maongezi ya hekima, anayeonekana kujali, mtafutaji, asiyekua na tabia ya show-off/bishoo.
Kifehda;
hata asipokua na hela kwa wakati huo, kama anaonekana mtafutaji, hamna shida.