Nini kinachowavutia wanawake wawaonapo wanaume?

Binafsi mwanamme atanivutia kwa mara ya kwanza kama;

Muonekano;
-atakua smart, mwenye kujijali, msafi, nk
-ana umbo la kuvutia,
-awe mrefu wastani
-mwenye kifua, naweza lala kama kwenye mto

kifikra;
nikiongea naye napenda kusikia maongezi ya hekima, anayeonekana kujali, mtafutaji, asiyekua na tabia ya show-off/bishoo.

Kifehda;
hata asipokua na hela kwa wakati huo, kama anaonekana mtafutaji, hamna shida.

kitufe cha like kama sikoni hivi! Ngoja nikisake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom