Nini Kinachoendelea IMF na World Bank?

Nini Kinachoendelea IMF na World Bank?

Majuzi tumeshuhudia Waziri wa Fedha Dr Mipango akisaini makubaliano ya Tanzania kupata mkopo mkubwa kutoka World Bank na muda huo huo IMF ikitoa taarifa mbaya kuhusu Tanzania.

Je, IMF imeanza kuhujumu serikali ya awamu ya tano kama ilivyoweza kuhujumu serikali ya awamu ya kwanza?

Siku zote IMF ni chombo kinachotumika dhidi ya mataifa ya dunia ya tatu yanayojaribu kujenga uchumi imara bila kuwa tegemezi.

Haiwezekani Leo World Bank watupe mkopo wa mabilioni halafu akatokea kichaa mwingine IMF kuponda uchumi wetu.
Hivi serikali hii ya awamu ya tano inajenga uchumi imara na usio tegemezi,? kwa hiyo mikopo au? I think wanaccm mnaishi Tanzania ya tofauti na sisi otherwise tutakuwa tunaishi na wendawazimu
 
Tatakata ni mtu asiye na akili kama wewe soma hiyo article

The IMF and the WORLD BANK: Puppets of the Neoliberal Onslaught

Today, September 26, thousands of activists are protesting in Prague, in the Czech Republic, against the policies and institutional structures of the International Monetary Fund (IMF) and the World Bank. These protests are the latest action in a growing movement that is highly critical of the neoliberal economic policies being imposed on people all over the world, including those in western countries. As Robert McChesney concisely describes it, neoliberalism “refers to the policies and processes whereby a relative handful of private interests are permitted to control as much as possible of social life in order to maximize their personal profit.” The major beneficiaries of neoliberalism are large trans-national corporations and wealthy investors. The implementation of neoliberal policies came into full force during the eighties under Thatcher and Reagan. Today, the principles of neoliberalism are widely held with near-religious fervor by most major political parties in the US and Britain and are gaining acceptance by those holding power elsewhere.
Although the proponents of neoliberalism extol the virtues of free markets, free trade, private enterprise and consumer choice, the effects of neoliberal policies is quite the opposite. In fact, these policies typically result in very protectionist markets dominated by a few trans-national corporations. Many sectors of the economy - ranging from food processing and distribution to the corporate media to aviation - are oligopolies and can be characterized as highly centralized command economies that are only a shade more competitive than the economy of the former Soviet Union. A major theme of neoliberal policies is deregulation and the removal of government interference in the economy. Consistently, such policies are applied in a one sided way, and always in a manner that benefits large trans-national corporations, the most influential entities in policy making. Hence, within neoliberalism as it is actually applied, capital is allowed to roam the world freely with very few restrictions, yet workers are to remain trapped within the borders of their countries. This serves trans-national corporations well, though for some, not well enough. According to Jack Welsh, CEO of GE, he and GE’s shareholders would be best served if factories were on barges so that when workers demand higher wages and better working conditions, the barges could easily be moved to a country with more compliant workers. Another component of neoliberalism is the dismantling of the welfare state. Again, in practice, this policy is applied to the majority of the population, who have to accept cut backs in unemployment benefits and health care, while large corporations continue to receive massive subsidies and tax breaks.
The effects of neoliberal policies on people everywhere has been devastating. During the last two to three decades, wealth disparity has increased many fold within countries as well as between countries. In the US, inflation adjusted median wages are lower today than they were in 1973 (when median wages reached their peak) while the wealth of the top 1% of society has soared. One out of every five children in the US lives in a state of poverty characterized by continual hunger, insecurity and lack of adequate health care. This, after almost ten years of a record breaking economic boom. For the poorest people in the world, the situation has become even more desperate. John Gershman and Alec Irwin state in “Dying for growth”:

100 countries have undergone grave economic decline over the past three decades. Per capita income in these 100 countries is now lower than it was 10, 15, 20 or in some cases even 30 years ago. In Africa, the average household consumes 20 percent less today than it did 25 years ago. Worldwide, more than 1 billion people saw their real incomes fall during the period 1980-1993. Meanwhile, according to the United Nations Development Program’s 1998 Human Development Report, the 15 richest people in the world enjoy combined assets that exceed the total annual gross domestic product of sub-Saharan Africa. At the end of the 1990’s, the wealth of the three richest individuals on earth surpassed the combined annual GDP of the 48 least developed countries.
The Thistle won’t waste ink on how the wealthy have fared since the mainstream corporate press does a very commendable job in this respect.
Neoliberalism has been a disaster for the environment as well. Despite the growing awareness in the late eighties that the rate of fossil fuel consumption at that time would cause global warming and many other forms of unpredictable and dangerous environmental changes, energy consumption has continued to increase at an alarming rate. This has been facilitated by neoliberal deregulation of environmental protections championed by corporate puppets such as Newt Gingrich and Tom Delay. In their continued quest for windfall profits, for example, corporations such as Ford and GM aggressively marketed (and continue to do so) highly polluting sports utility vehicles (SUVs) while ignoring cleaner and more efficient technologies. This was made possible by loop holes in environmental laws allowing SUVs to be sold that do not meet the emission standards imposed on passenger cars. Consumer Reports Magazine (Nov. pg. 54) noted in 1997, that “the growing popularity of SUVs, has helped make the 1997 automotive model year the least fuel-efficient in the last 16 years”. Due to the subservience of government to large corporations, these loop holes are still in place. Today, the qualitative predictions of a decade ago are starting to manifesting themselves. The average temperature of the world has risen over the last decade and for the first time, water has been observed on the polar caps.
One industry that has benefited significantly from neoliberal policies is the biotech industry, though not without potentially catastrophic costs for the majority of the population. While large biotech corporations such as Monsanto and Dupont are aiming for massive profits, the environment and our food supply is irreversibly being altered in the process, creating a situation where large portions of the population and all future generations are subjected to potentially severe and unpredictable health risks. As a way to promote the nascent biotech industry, the Bush administration in the early nineties adopted a policy which held that regulations should not be created in such a way as to be a burden on the industry. The Clinton administration has continued this policy, and today approximately 60% of our food is genetically modified. This transformation of our food supply has occurred with scant public knowledge or oversight. And although genes from viruses, bacteria or arctic fish with anti-freeze properties are inserted into crops, the federal regulatory agencies, with heavy industry influence, maintain that genetically modified foods are no different from crops obtained with traditional breeding techniques and therefore do not need to be approved (unless the transported genes are known to induce a human allergen). Studies investigating the long term health and environmental effects of genetically modified crops are not required by any federal agency and are rarely performed. In this atmosphere of deregulation and concentrated corporate control, it is only a matter of time before a serious biological catastrophe occurs.
Hujielewi wewe, post yako ya kwanza imeiweka ktk namna inayoonyesha IMF na WB zinafanya kazi kwa kujitegemea alafu unaweka kithibitisho ambacho heading tu inamaanisha wote ni ma puppets
 
Unajua jamaa yangu huwa kuna mahala napata taabu sana kujadili maada kama hizi.

Unaweza kuwakwepa IMF na World bank kama toka uhuru unakopa kwao na bado wanakudai na bado unahitaji misaada yao na misaada ya wanachama wao, ukipata maafa kama mafuriko, njaa, milipuko ya magonjwa nk unahitaji misaada toka kwao. Madeni yakikuzidi unaenda kuomba wakusamehe madeni, miradi kibao ya kijamii unahitaji waje wakusaidie, bajeti yako zaidi ya 40% inatoka kwao... Hao IMF na World bank ukumbuke ni moja ya organs za UN na watoa michango mikubwa huko na hela zao ndio tunawaita wadau wetu waendeleo..

Njia pekee ya kuwakwepa IMF na World bank ni kujitegemea kwa kila kitu na kutoomba msaada kwao na kwa wanachama wao au wanaombatana nao. Tukipata Maafa yoyote tujiokoe na kujisaidia wenyewe na resources zetu, madawa either tununue kwa hela zetu au tutengeneze wenyewe.. IMF na World bank sidhani kama watakufuata fuata kama wewe unajitegemea na huwafuati fuati..
 
Majuzi tumeshuhudia Waziri wa Fedha Dr Mipango akisaini makubaliano ya Tanzania kupata mkopo mkubwa kutoka World Bank na muda huo huo IMF ikitoa taarifa mbaya kuhusu Tanzania.

Je, IMF imeanza kuhujumu serikali ya awamu ya tano kama ilivyoweza kuhujumu serikali ya awamu ya kwanza?

Siku zote IMF ni chombo kinachotumika dhidi ya mataifa ya dunia ya tatu yanayojaribu kujenga uchumi imara bila kuwa tegemezi.

Haiwezekani Leo World Bank watupe mkopo wa mabilioni halafu akatokea kichaa mwingine IMF kuponda uchumi wetu.
Wala shida si IMF Wala WB,Wala hizo blabla zenu na articles uchwara,Tatizo ni awamu ya tano,kila tukio linawekwa live au kutolewa press release na ikulu tena likiwa na uongo mwiiiingiii? eti rais kupigia simu na chancellor wa ujerumani nayo ni issue kwa awamu hii? Du kweli tumepatwa
 
Mwingine anakufadhili mwingine anakuppnda
Rafiki kwa comment zote hizi umeshindwa kuelewa?

Labda umeelewa ila ni ngumu kuukubali ukweli na kama hujaelewa basi mkuu utakua na kichwa kigumu sana ktk kudadavua na kuelewa mambo.
 
Nchi ishakwenda mrama hii hakuna jpya kwa bwana yule
..imf wanakuja kutukagua kwasababu sisi ni wanachama wao.

..sasa inavyoelekea hatupendi kukaguliwa ndiyo maana nikasema suluhisho ni kujitoa.

..kuhusu masuala ya misaada ya kibajeti au mikopo tunatakiwa tutafute mbinu mpya maana wafadhili[ EU] na washirika [ WB, IMF]tulionao sasa hivi hawaendani na kasi ya Raisi Magufuli.
 
Najua wewe chizi hukwenda shule hiyo article huwezi kuielewa labda baba yako akurudishe shule

Ni hivi, serekali yetu inapika data za uchumi ili kutaka kuhadaa umma kama rais wetu anafanya vizuri. Ukweli huo uko wazi. Hizo hela unaposema waziri Mpango amesaini world Bank alisema anazipata lini? Hao World Bank si ndio walizuia $300m ili kurekebisha sheria yetu kuhusu mabinti wa shule waliopata mimba? Hapa jukwaani sio huko vijijini mnakodanganya wakulima.
 
Huyo baba yako jiwe mwenyewe hana la kufanya zaidi ya kufyata mkia kwa IMF.
Uchumi wa dunia hii upo monitoring na IMF sisi watanzania hatuna la kubisha zaidi ya kujitumbukiza kwenye economic crisis
 
Msiwafuate Kama mna uwezo, mnaenda kuomba harafu unaleta jeuri, ukiomba ni lazima ukubali masharti ya uliyemwomba. Ombaomba unapanga eti nipeni hela za noti, pumbv, Ombaomba kubali masharti
 
  • Thanks
Reactions: BAK
IMF and World Bank Group are two sides of the same coin. The former is European; and the latter is American.
 
Weka namba sim kabisa mkubwa
Miaka ya nyuma niliwai soma kitabu cha Mwaharakati wa Guyana ambaye hata miaka ya 70 aliwai fundisha chuo Kikuu cha Dsm. Kwenye kitabu hicho cha How Europe under developed Africa kwa tafsiri yangu ni:Jinsi Ulaya inavyoifukarisha Africa..

Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.

Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.

Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.

Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.

Alex Fredrick
Dar es salaam
 
Huyo magufuri ni jizi mkubwa.. wizara nyeti zote zipo chini yake na hataki kukaguliwa... Bonge la jambazi hastahili ata kuchekewa
 
Natamani niandike juu ya hili!! Wengi wanafata mikumbo ya wanasiasa tu! Nasubiri waongee alafu nitaandika!
 
Miaka ya nyuma niliwai soma kitabu cha Mwaharakati wa Guyana ambaye hata miaka ya 70 aliwai fundisha chuo Kikuu cha Dsm. Kwenye kitabu hicho cha How Europe under developed Africa kwa tafsiri yangu ni:Jinsi Ulaya inavyoifukarisha Africa..

Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.

Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.

Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.

Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.

Alex Fredrick
Dar es salaam
Sasa imf hutaki lakini China mnawapa bure kabisa ikiwemo gas na mafuta !!

Hakuna kitu hapo mkuu
 
Miaka ya nyuma niliwai soma kitabu cha Mwaharakati wa Guyana ambaye hata miaka ya 70 aliwai fundisha chuo Kikuu cha Dsm. Kwenye kitabu hicho cha How Europe under developed Africa kwa tafsiri yangu ni:Jinsi Ulaya inavyoifukarisha Africa..

Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.

Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.

Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.

Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.

Alex Fredrick
Dar es salaam
Wewe huna akili kabisa
 
IMF wametoa taarifa yao kwa mujibu wa taratibu, Serikali nayo ijibu basi....
Tatizo liko wapi? Ulitoka watoe mikopo kwa statistics za uongo?
 
Back
Top Bottom