Nini Kinachoendelea IMF na World Bank?

Majuzi tumeshuhudia Waziri wa Fedha Dr Mipango akisaini makubaliano ya Tanzania kupata mkopo mkubwa kutoka World Bank na muda huo huo IMF ikitoa taarifa mbaya kuhusu Tanzania.

Je, IMF imeanza kuhujumu serikali ya awamu ya tano kama ilivyoweza kuhujumu serikali ya awamu ya kwanza.

Siku zote IMF ni chombo kinachotumika dhidi ya mataifa ya dunia ya tatu yanayojaribu kujenga uchumi imara bila kuwa tegemezi.

Haiwezekani Leo World Bank watupe mkopo wa mabilioni halafu akatokea kichaa mwingine IMF kuponda uchumi wetu.

World Bank, IMF na WTO hao ni watoto wa baba mmoja na mama mmoja (wanaita utatu mtakatifu) hawatapishana kamwe.
 
IMF hawajasema kuwa shughuli za kiuchumi Tanzania zimesimama. Maisha yanaendelea Ila tu kasi ya kukua kwa uchumi imepungua.
Uchumi kudorora ni jambo linaloweza kutokea na kurekebishwa.

Hawa jamaa wa ccm wanachotaka ni kuendelea tu kutulisha matango pori miaka yote kwa kutuambia uchumi unakua kwa 7.8%! mara 7.9% huku hali ya maisha ya wananchi wengi yakiendea kudidimia.

Wao kusifiwa, kutukuzwa na kupongezwa hata kwenye vitu ambavyo ni wajibu wao kuvitekeleza; ndiyo jadi yao. Hawataki wakosolewe au kupingwa kwa jambo lolote lile! Kwani tatizo liko wapi uchumi kushuka na kuwa 4%? si suala la kujirekebisha tu na kuchukua hatua!!
 
Anaehujumu uchumi siyo IMF bali anaekataa kutoa takwimu za uchumi ili kila mtu ajue kinachoendelea!!Usifikiri sisi ni mazuzu kama wewe!!
IMF awawezi fanya makadirio ya uchumi wa nchi yoyote bila ya kutumia data za nchi husika

Wakipashana na serikari ni jinsi hesabu za trend zilivyopigwa inaweza kuwa awakufuata procedure za kimataifa kama

UN System of National Accounts
https://unstats.un.org/UNSD/nationalaccount/sna.asp

"IMF Government Finance Statistics Manual"
https://data.imf.org/?sk=a0867067-d23c-4ebc-ad23-d3b015045405

Special Data Dissemination Standard
https://www.imf.org/en/About/Factsheets/Sheets/2016/07/27/15/45/Standards-for-Data-Dissemination

Or any of their systems kwa ivyo na wao kwa kutumia data hizo hizo za serikari husika wanaweza fanya makadirio yao na kuja na majibu tofauti ya mwelekeo wa uchumi, lakini si eti watajianzia tu from nowhere na ndio sababu pengine ya kusema mfumo wetu wa kukusanya data ni questionable..
 
Najua wewe chizi hukwenda shule hiyo article huwezi kuielewa labda baba yako akurudishe shule
Wewe takataka ulieenda shule unatawalaiwa na takataka isiyojua hata kingereza na ina claim ina philosophy doctorate half professor

Matakataka ninyi
 
Majuzi tumeshuhudia Waziri wa Fedha Dr Mipango akisaini makubaliano ya Tanzania kupata mkopo mkubwa kutoka World Bank na muda huo huo IMF ikitoa taarifa mbaya kuhusu Tanzania.

Je, IMF imeanza kuhujumu serikali ya awamu ya tano kama ilivyoweza kuhujumu serikali ya awamu ya kwanza.

Siku zote IMF ni chombo kinachotumika dhidi ya mataifa ya dunia ya tatu yanayojaribu kujenga uchumi imara bila kuwa tegemezi.

Haiwezekani Leo World Bank watupe mkopo wa mabilioni halafu akatokea kichaa mwingine IMF kuponda uchumi wetu.
Wewe utakuwa ni mmoja wa wale mlioajiriwa kushangilia kichaa yule. Hali ya uchumi wetu hahitaji imf kutangaza bali sisi wenyewe tunaiona katika miaka mitatu ya uongozi huu wa kibabe. Uchumi haujemgwi kibabe bali unahitaji watu wenye akili timamu na wazalendo wa kweli
 
Acha kutuona mazuzu,yaani miaka yote wafuate procedure za kimataifa halafu waje kushindwa awamu ya tano?!unatuona watanzania wa mwaka 1947 eeehhh?
IMF awawezi fanya makadirio ya uchumi wa nchi yoyote bila ya kutumia data za nchi husika

Wakipashana na serikari ni jinsi hesabu za trend zilivyopigwa inaweza kuwa awakufuata procedure za kimataifa kama

UN System of National Accounts
https://unstats.un.org/UNSD/nationalaccount/sna.asp

"IMF Government Finance Statistics Manual"
https://data.imf.org/?sk=a0867067-d23c-4ebc-ad23-d3b015045405

Special Data Dissemination Standard
https://www.imf.org/en/About/Factsheets/Sheets/2016/07/27/15/45/Standards-for-Data-Dissemination

Or any of their systems kwa ivyo na wao kwa kutumia data hizo hizo za serikari husika wanaweza fanya makadirio yao na kuja na majibu tofauti ya mwelekeo wa uchumi, lakini si eti watajianzia tu from nowhere na ndio sababu pengine ya kusema mfumo wetu wa kukusanya data ni questionable..
 
Wanazificha kwa sababu zimejaa madudu kuhusu mwelekeo wa uchumi. Mbona IMF hawakuwahi kuwa blocked kuchapisha ripoti zao katika awamu nne zilizopita?

Sitetei IMF lakin unaposema nichombo kinachodidimiza uchumi unajidanganya sana. Ingekuwa hivyo leo hii nchi za uchumi wa kati na juu zilizopo africa zisingefika hapo. IMF pia wanatoa takwim kama twaweza.. wali ask ni data tu. Nyie data mnaficha kwann
 
Acha kutuona mazuzu,yaani miaka yote wafuate procedure za kimataifa halafu waje kushindwa awamu ya tano?!unatuona watanzania wa mwaka 1947 eeehhh?
Kwa mfano serikari inachukua hela za serikari za mitaa hili jambo jipya, wewe unadhani hiyo income kama aitakiwi kuwepo to what extent it will distort the future trend of government collections or how it distort the business environment?

Tozo za halmashauri ni kodi ambazo aziendani na uzalishaji you cant use them as the basis of economic activities

Makusanyo ya TRA pekee ndio kiashiria halisi ya biashara na mwenendo wa uchumi.

Sasa ukichanganya kodi za TRA na Serikari za mitaa si tayari unaweza distort ukuaji wa uchumi (I am not saying that is source of dispute) hila hizo frameworks awazitoi bure wao wanajua maswala ya uchumi na accounts na wanachoweka washafikiria mbali sana.

Na moja ya lalamiko lao kwa sasa ni unreliability ya data ie ni trend za serikari azi add up kwa upande wao how so, hapo sasa labda tusibiri ripoti.
 
Muandishi nguli anayeandikia gazeti la raia mwema Joseph Mihangwa hua anapenda kuyaita (WB na IMF) Mashirika Mumiani.

Haya mashirika hayajawahi kuziacha salama nchi za Africa.
 
Tatakata ni mtu asiye na akili kama wewe soma hiyo article

The IMF and the WORLD BANK: Puppets of the Neoliberal Onslaught

Today, September 26, thousands of activists are protesting in Prague, in the Czech Republic, against the policies and institutional structures of the International Monetary Fund (IMF) and the World Bank. These protests are the latest action in a growing movement that is highly critical of the neoliberal economic policies being imposed on people all over the world, including those in western countries. As Robert McChesney concisely describes it, neoliberalism “refers to the policies and processes whereby a relative handful of private interests are permitted to control as much as possible of social life in order to maximize their personal profit.” The major beneficiaries of neoliberalism are large trans-national corporations and wealthy investors. The implementation of neoliberal policies came into full force during the eighties under Thatcher and Reagan. Today, the principles of neoliberalism are widely held with near-religious fervor by most major political parties in the US and Britain and are gaining acceptance by those holding power elsewhere.
Although the proponents of neoliberalism extol the virtues of free markets, free trade, private enterprise and consumer choice, the effects of neoliberal policies is quite the opposite. In fact, these policies typically result in very protectionist markets dominated by a few trans-national corporations. Many sectors of the economy - ranging from food processing and distribution to the corporate media to aviation - are oligopolies and can be characterized as highly centralized command economies that are only a shade more competitive than the economy of the former Soviet Union. A major theme of neoliberal policies is deregulation and the removal of government interference in the economy. Consistently, such policies are applied in a one sided way, and always in a manner that benefits large trans-national corporations, the most influential entities in policy making. Hence, within neoliberalism as it is actually applied, capital is allowed to roam the world freely with very few restrictions, yet workers are to remain trapped within the borders of their countries. This serves trans-national corporations well, though for some, not well enough. According to Jack Welsh, CEO of GE, he and GE’s shareholders would be best served if factories were on barges so that when workers demand higher wages and better working conditions, the barges could easily be moved to a country with more compliant workers. Another component of neoliberalism is the dismantling of the welfare state. Again, in practice, this policy is applied to the majority of the population, who have to accept cut backs in unemployment benefits and health care, while large corporations continue to receive massive subsidies and tax breaks.
The effects of neoliberal policies on people everywhere has been devastating. During the last two to three decades, wealth disparity has increased many fold within countries as well as between countries. In the US, inflation adjusted median wages are lower today than they were in 1973 (when median wages reached their peak) while the wealth of the top 1% of society has soared. One out of every five children in the US lives in a state of poverty characterized by continual hunger, insecurity and lack of adequate health care. This, after almost ten years of a record breaking economic boom. For the poorest people in the world, the situation has become even more desperate. John Gershman and Alec Irwin state in “Dying for growth”:

100 countries have undergone grave economic decline over the past three decades. Per capita income in these 100 countries is now lower than it was 10, 15, 20 or in some cases even 30 years ago. In Africa, the average household consumes 20 percent less today than it did 25 years ago. Worldwide, more than 1 billion people saw their real incomes fall during the period 1980-1993. Meanwhile, according to the United Nations Development Program’s 1998 Human Development Report, the 15 richest people in the world enjoy combined assets that exceed the total annual gross domestic product of sub-Saharan Africa. At the end of the 1990’s, the wealth of the three richest individuals on earth surpassed the combined annual GDP of the 48 least developed countries.
The Thistle won’t waste ink on how the wealthy have fared since the mainstream corporate press does a very commendable job in this respect.
Neoliberalism has been a disaster for the environment as well. Despite the growing awareness in the late eighties that the rate of fossil fuel consumption at that time would cause global warming and many other forms of unpredictable and dangerous environmental changes, energy consumption has continued to increase at an alarming rate. This has been facilitated by neoliberal deregulation of environmental protections championed by corporate puppets such as Newt Gingrich and Tom Delay. In their continued quest for windfall profits, for example, corporations such as Ford and GM aggressively marketed (and continue to do so) highly polluting sports utility vehicles (SUVs) while ignoring cleaner and more efficient technologies. This was made possible by loop holes in environmental laws allowing SUVs to be sold that do not meet the emission standards imposed on passenger cars. Consumer Reports Magazine (Nov. pg. 54) noted in 1997, that “the growing popularity of SUVs, has helped make the 1997 automotive model year the least fuel-efficient in the last 16 years”. Due to the subservience of government to large corporations, these loop holes are still in place. Today, the qualitative predictions of a decade ago are starting to manifesting themselves. The average temperature of the world has risen over the last decade and for the first time, water has been observed on the polar caps.
One industry that has benefited significantly from neoliberal policies is the biotech industry, though not without potentially catastrophic costs for the majority of the population. While large biotech corporations such as Monsanto and Dupont are aiming for massive profits, the environment and our food supply is irreversibly being altered in the process, creating a situation where large portions of the population and all future generations are subjected to potentially severe and unpredictable health risks. As a way to promote the nascent biotech industry, the Bush administration in the early nineties adopted a policy which held that regulations should not be created in such a way as to be a burden on the industry. The Clinton administration has continued this policy, and today approximately 60% of our food is genetically modified. This transformation of our food supply has occurred with scant public knowledge or oversight. And although genes from viruses, bacteria or arctic fish with anti-freeze properties are inserted into crops, the federal regulatory agencies, with heavy industry influence, maintain that genetically modified foods are no different from crops obtained with traditional breeding techniques and therefore do not need to be approved (unless the transported genes are known to induce a human allergen). Studies investigating the long term health and environmental effects of genetically modified crops are not required by any federal agency and are rarely performed. In this atmosphere of deregulation and concentrated corporate control, it is only a matter of time before a serious biological catastrophe occurs.
Mkiwa mnayajua haya waziwazi kwa nini mnaingia mikataba ya ushirikiano nao.Miaka yote wamekuwepo wakitoa hela na ripoti za nchi washirika kama kawaida.Kwa nino awamu hii tuu?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
IMF hawajasema kuwa shughuli za kiuchumi Tanzania zimesimama. Maisha yanaendelea Ila tu kasi ya kukua kwa uchumi imepungua.
Uchumi kudorora ni jambo linaloweza kutokea na kurekebishwa.
Wewe una akili sana kuliko wachumi wote wanaosema hali itazidi kuwa mbaya?Nani aliwatuma kupunguza mzunguko wa pesa na kuua biashara pamoja na kuwaona matajiri kama maadui?Saddists wakubwa nyie!
 
Hv Huo ubavu wa
..siyo kweli.

..sap ilikuja miaka kadhaa baada ya kuwa tumejiunga imf na wb

..kwa msingi huo tunaweza kuondoka huko kama tulivyojiunga, na hakuna wa kutuzuia.

..tatizo letu ni UOGA.

..kama utakumbuka Raisi aliwahi kutoa amri kwamba hakuna kusomesha wasichana waliozaa. Alipokuja Makama wa Raisi wa WB tukasalimu amri na msimamo wetu kuhusu kusomesha waliopata mimba ukabadilika.

..Again, TZ ni nchi HURU hivyo uamuzi wa kuwa mwanachama au kujitoa imf na wb ni wetu.
Hv huo ubavu wa kujitoa wanaupata WAP?hyo bajet ya nchi mpaka mbuzi dume achangie ndo mambo yanakwenda
 
Duh...?na wewe mkuu upo kwenye kundi la ma illiterate ,kumbe uchumi ni mzuri,halafu sasa mkopo wa nini? Mbona IMF hawaihujumu Kenya wanawahujumu nyie tu Tanzania? mna nini cha ziada?
Majuzi tumeshuhudia Waziri wa Fedha Dr Mipango akisaini makubaliano ya Tanzania kupata mkopo mkubwa kutoka World Bank na muda huo huo IMF ikitoa taarifa mbaya kuhusu Tanzania.

Je, IMF imeanza kuhujumu serikali ya awamu ya tano kama ilivyoweza kuhujumu serikali ya awamu ya kwanza.

Siku zote IMF ni chombo kinachotumika dhidi ya mataifa ya dunia ya tatu yanayojaribu kujenga uchumi imara bila kuwa tegemezi.

Haiwezekani Leo World Bank watupe mkopo wa mabilioni halafu akatokea kichaa mwingine IMF kuponda uchumi wetu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom