min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,231
- 167,178
Maghetoni unafanya nini bwasheeNiko magetoni
Maghetoni unafanya nini bwasheeNiko magetoni
Ndio now tumejijengea tamaduni izoAisee poleni sana.
Nitoke au?Maghetoni unafanya nini bwashee
Unauliza kutekwa bongo?Nitoke au?
wale LOLIONDO waliouzwa kwa mwarabu wa Dubai na bitozo na mjomba wake mwinyiKuna jamaa bodaboda Tu ila kwao loilondo amekuja dar 2009 hajawah kwenda kwao hata mawasiliano na watu wake Hana.Hio imekuaje ni fair kweli kutuachia wakati mgumu wa kutafuta ndugu zako ukipatwa majanga.Na mtu anajivunia kabisa kutokuwa na maelewano mazuri na watu wa kwake.
naunga mkono hojaIt depends na mahusiano yake na ndugu zake.
Kuna ndugu walio zaidi ya hamas.
Mbamizwa katumeniMimi mwenyewe ntaenda nyumbani nikisikia wamekufa
Unaikumbuka rasi ya Tumaini Jema ?Mbona wazungu akina David Livingstone, Vasco da gama na wengineo walitoka kwao na hawakuwa na matarajio ya kurejea makwao?
😂😂😂😂🤣🤣🤣Mbamizwa katumeni
Katumeni mmeza maziwa😂😂😂😂🤣🤣🤣
NimeshibaaKatumeni mmeza maziwa
Hahaha vipi unakuja ln Dsm?Nimeshibaa
Usisingizie hao ndugu, huyo jamaa ambaye haendi kwa ndugu zake ndiye zaidi ya hamas.It depends na mahusiano yake na ndugu zake.
Kuna ndugu walio zaidi ya hamas.
Ni ujinga tu wakati mwingine upunbavu unawasumbua watu wa hivyo, akipatwa na shida anaanza kusumbua marafiki badala ya ndugu zakeKuna jamaa bodaboda Tu ila kwao loilondo amekuja dar 2009 hajawah kwenda kwao hata mawasiliano na watu wake Hana.Hio imekuaje ni fair kweli kutuachia wakati mgumu wa kutafuta ndugu zako ukipatwa majanga.Na mtu anajivunia kabisa kutokuwa na maelewano mazuri na watu wa kwake.