Nini kinachelewesha kutoka kwa majibu ya usaili wa Sensa ikiwemo Dar?

amakyasya

JF-Expert Member
Jun 26, 2013
3,480
907
Wakuu kama mnavyofahamu kuwa usaili wa kazi ya sensa ya watu na makazi mwaka huu 2022 umefanyika nchi nzima wiki iliyopita hadi ijumaa tar 22 July 2022.

Kwa baadhi ya maeneo majibu yalikuwa yanabandikwa mara baada ya usaili kufanyika kwenye kata husika lakini maeneo mengi hadi sasa majibu bado kubandikwa wala kusambazwa mtandaoni.

ni Dar na baadhi ya mikoa mingine halmashauri nyingi tu.

Kwa kuzingatia kuwa semina inaanza ijumaa wiki hii tarehe 29 July 2022, Unadhani ni nini kinachelewesha kuchapisha na kusambaza majibu ya usaili huo hadi sasa?
 
Wakuu kama mnavyofahamu kuwa usaili wa kazi ya sensa ya watu na makazi mwaka huu 2022 umefanyika nchi nzima wiki iliyopita hadi ijumaa tar 22 July 2022.

Kwa baadhi ya maeneo majibu yalikuwa yanabandikwa mara baada ya usaili kufanyika kwenye kata husika lakini maeneo mengi hadi sasa majibu bado kubandikwa wala kusambazwa mtandaoni.

ni Dar na baadhi ya mikoa mingine halmashauri nyingi tu.

Kwa kuzingatia kuwa semina inaanza ijumaa wiki hii tarehe 29 July 2022, Unadhani ni nini kinachelewesha kuchapisha na kusambaza majibu ya usaili huo hadi sasa?
Kuwahamisha waliokosa nafasi za maudhui na kuwaweka kwenye nafasi za ukarani.
 
Majina Yatatoka Leo Ama Kesho
Usiwe Na Hofu
Wakati ndio tupo kwenye kikao tayari na mkuu
255656704050_status_eaa583ee54f4429580b6cbd84d0ae8c8.jpg
 
Back
Top Bottom