E Eudorite JF-Expert Member Dec 28, 2014 1,126 753 Oct 24, 2016 #81 nsekwa said: Sasa Shekilango ndipo unajivunia wakati halotel wako bomba nchi nzima? Click to expand... Hapo siongelei halotel. Tuliza mzuka.
nsekwa said: Sasa Shekilango ndipo unajivunia wakati halotel wako bomba nchi nzima? Click to expand... Hapo siongelei halotel. Tuliza mzuka.
Executor JF-Expert Member Sep 29, 2014 867 990 Nov 7, 2016 #82 Aiseeee nilikuwa nabisha kuhusu Halotel now nimelishuhudia,Halotel kwisha kazi wamezidiwa now yaani dahi kustream YouTube shida doh.
Aiseeee nilikuwa nabisha kuhusu Halotel now nimelishuhudia,Halotel kwisha kazi wamezidiwa now yaani dahi kustream YouTube shida doh.
R Rangoo Member Oct 13, 2012 99 114 Nov 7, 2016 #83 Ilisolokobwe said: hapo umeongea ukweli mtupu, leo tu nimewatumia ujumbe wa malalamiko kupitia jamii forums na facebook mesenger lakini hadi sasa wapo kimya hawakujibu chochote Click to expand... Nasikia Hawa jmaa huwa hawawalipi Wafanyakazi Wao muda mrefu
Ilisolokobwe said: hapo umeongea ukweli mtupu, leo tu nimewatumia ujumbe wa malalamiko kupitia jamii forums na facebook mesenger lakini hadi sasa wapo kimya hawakujibu chochote Click to expand... Nasikia Hawa jmaa huwa hawawalipi Wafanyakazi Wao muda mrefu
maji maref Member Nov 18, 2016 63 16 Nov 27, 2016 #84 jaman mazee ka hujasajil line yako kwny halo pesa mtu toka mtandao mwngne akikutumia ela unaeza enda onyesha mesej kwa wakala kisha ifae kutoka?
jaman mazee ka hujasajil line yako kwny halo pesa mtu toka mtandao mwngne akikutumia ela unaeza enda onyesha mesej kwa wakala kisha ifae kutoka?
Aurthur JF-Expert Member Feb 1, 2016 2,743 2,107 Nov 27, 2016 #85 Ukiona wanakua slow angalia bundle lako
itara JF-Expert Member Aug 10, 2013 2,238 1,564 Nov 27, 2016 #86 Mtoa mada alikuwa anataka kuwaongelea tigo
Idd Ninga JF-Expert Member Nov 18, 2012 5,136 4,298 Nov 28, 2016 #87 nyie mnaolalamika mpi sehemu gani,mbona sisi huku pande za Arusha mambo fresh tu. ngoja tusubiri labda zamu yetu bado..
nyie mnaolalamika mpi sehemu gani,mbona sisi huku pande za Arusha mambo fresh tu. ngoja tusubiri labda zamu yetu bado..