ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,013
- Thread starter
-
- #21
acha masihara bana unanitia hasira tu,huwa unaangalia mpira live,tv au kudownload???? anyway leo angalau kidogo tofauti na janaSASA MBONA MNALALAMIKA NYIE SISI MAMBO YETU NA HALOTEL BADO YAPO VIZUR NA SPEED ILE ILE AU MNAMAANISHA NN MBONA MM NAONA KAMA MWAONGEA UONGO NYIE ACHEN UNAFKI NYIE TIGO
Hawa wazushi kabisa, sitak hata kuwasikia.....Walianza kwa kasi kweli kwenye internet sasa hivi ni aibu hata kuzungumzia, customer care namba haipatikani, kwenye facebook ukilalamika hawajibu ila ukiwasifia admin anajibu fasta, utasikia asante kwa kuchagua halotel.
Please jamani embu rudisheni ile speed ya zamani au ni hujuma??
Yapata mwezi sasa internet iko vibayaKi ukweli internet speed ya halotel imepungua
halotel hata kama wakipungua nguvu kidogo kwa hapa kwetu Tz bado hatun mahali pa kukimbilia kupata internet iliyotulia kama halotelSASA MBONA MNALALAMIKA NYIE SISI MAMBO YETU NA HALOTEL BADO YAPO VIZUR NA SPEED ILE ILE AU MNAMAANISHA NN MBONA MM NAONA KAMA MWAONGEA UONGO NYIE ACHEN UNAFKI NYIE TIGO
Bitoz rudisha avatorNi kweli mazee
Siku hizi ht kuangalia video clip Instagram ni kwa kubahatisha
Ongea kwa ushahidi..weka hapa speedtest ya halotel tuamini maneno yako,binafsi kwa sasa nipo pwani..speed ime drop sana,otherwise usubir usiku sana ndio speed at least inakua poa.Hahaha jamaa wewe itakuwa sehemu ulipo inazengwe Halotel wako vizuri hasa ukanda wote wa pwani speed yao bado mwendo kasi sijaona mtandao wa kucompare na Halotel aisee,Tukitoa internet kwenye sms ndo hatareeee...
Mhhhhhhh kwenye ukweli usemwe kwani uongooooSASA MBONA MNALALAMIKA NYIE SISI MAMBO YETU NA HALOTEL BADO YAPO VIZUR NA SPEED ILE ILE AU MNAMAANISHA NN MBONA MM NAONA KAMA MWAONGEA UONGO NYIE ACHEN UNAFKI NYIE TIGO
That's ie true watejaa wamkuwa wengiOngea kwa ushahidi..weka hapa speedtest ya halotel tuamini maneno yako,binafsi kwa sasa nipo pwani..speed ime drop sana,otherwise usubir usiku sana ndio speed at least inakua poa.
Mdau wa ndani kabisa alinijuza wanalaunch kifaa kipya kwa ajili ya 4G LTE itachukua miezi miwili kurudi kwenye ubora wao au zaidiWalianza kwa kasi kweli kwenye internet sasa hivi ni aibu hata kuzungumzia, customer care namba haipatikani, kwenye facebook ukilalamika hawajibu ila ukiwasifia admin anajibu fasta, utasikia asante kwa kuchagua halotel.
Please jamani embu rudisheni ile speed ya zamani au ni hujuma??
kiukweli we ndo nimeona umeongea ukweli kuplay clip insta ni bahati ila kwa hawa wengine wanazungumza uongo youtube naangalia ata muvi bila kukwama kwama af mb za halotel zinakaa mda mrefu haziishi harakaNi kweli mazee
Siku hizi ht kuangalia video clip Instagram ni kwa kubahatisha