Hii hoja yako haina mashiko. Na usitutoe kwenye reli. Adui mkubwa kwenye hii nchi ni CCM na genge lake la wahuni! Na siyo Waislam au Wakristo.Nini kimetokea mpaka taifa likapoteza marais watatu wenye asili ya ukristo je tunahitaji fungua kesi ya wazi kujibu hili swali gumu?
Wewe umeishiwa hoja wewe mpumbavuNini kimetokea mpaka taifa likapoteza marais watatu wenye asili ya ukristo je tunahitaji fungua kesi ya wazi kujibu hili swali gumu?
Wanasiasa.qa pwani ni wanafiki sana. Wanaliangamiza TaifaNini kimetokea mpaka taifa likapoteza marais watatu wenye asili ya ukristo je tunahitaji fungua kesi ya wazi kujibu hili swali gumu?
Afadhali umeona mkuu sisi tuna deal na Ishu za kitaifa yeye analeta udiniHii hoja yako haina mashiko. Na usitutoe kwenye reli. Adui mkubwa kwenye hii nchi ni CCM na genge lake la wahuni! Na siyo Waislam au Wakristo.
Majibu yatakayopatikana yatarudisha uhai wao ?Nini kimetokea mpaka taifa likapoteza marais watatu wenye asili ya ukristo je tunahitaji fungua kesi ya wazi kujibu hili swali gumu?
Anajua anachofanya ndo maana nimemuita mpumbavuHoja ya kijinga , hapa kwa style hii ccm itaendelea kujipigia inavyotaka
Wana roho mbaya ndio maana wanakufa mapema.Nini kimetokea mpaka taifa likapoteza marais watatu wenye asili ya ukristo je tunahitaji fungua kesi ya wazi kujibu hili swali gumu?
mpumbavu weweMzee Mwinyi alikuwa ni muislam , na Rais aliyebaki hai ambaye hayuko madarakani ni mmoja tu Mh Jakaya. Sioni kama kuna hoja ya msingi hapa. Halafu fanya utafiti watu wa pwani wanaishi muda mrefu sana kuliko watu wa Bara. Angalia mzee wa pwani anaweza kuwa mtaani anapambana kuuza hata kahawa lakini mchukue mzee wa bara mwenye umri sawa na huyo wa pwani, wa Bara utakuta tayari kazeeka anahudumiwa na watoto. Huo ni mtazamo wangu.