Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
Kweli kabisa mkuu huku nilikotembelea Leo ilikuwa ngome ya cuf ila sasa vijana wote wameamua kuingia ccm maana chadema inawavuruga na ukawa fake.CHADEMA walishamaliza kazi ya kviua vyama vya NCCR na CUF sasa wawang'ang'anie wa nini tena?