Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,999
- 4,591
Sawa mkuu, lakini kwa taarifa nilizo zipa kupitia yule njiwa mpeleka salamu, kwamba bwana harusi alipomfunua mwali akakuta sio yule aliyemtolea posa, bwana harusi akakasirika na kuanza vunya vunya chupa zote za vinyaji ikawalazimu waliokuwa kariku kutimua kila mtu kwake na harusi ikavunjika nadhani tukio hilo lilitokea tarehe 5/11/2015 kama sikosei.Sio tu harusi imefanyika tarehe 25 Oktoba 2015 lakini waume waliingia ndani na harusi ikajibu(kizinda kuraruliwa).Ndoa haikuvunjika isipokuwa mwari kakimbizwa kuikimbia fungate! Huko aliko tuna lala tukiamka nae!
Vigezo vilivyotumika ni vya Mirembe,Dodoma Makao Makuu ya CCM!
Masele kawaumbua leo bungeni, hio ndio story iliyopo, inayohit na jana ni Jenista kuzomewa na wabunge wa CCM.
Muda si mrefu UKAWA utatumika kuwamaliza CCM na Mamluki wao.