Makosa mengi yaliyopo Leo hasa yamesababisha na Vyama, mfano, Nje ya Chama, ni lini umewahi kumuona Mh Mdee akipelekwa mahakamani?
Nje ya Chama, ni lini Mh Mbowe amewahi kushinda mahakamani Kwa makosa yake?
Nje ya Chama wote ni watu Wema kuliko Bashite, na Kwa maana hiyo utambue wazi kabisa urafiki wa mtu na mtu haijalishi anatokea Chama gani
Nje ya Vyama, Sisi sote tunapendana tena sio kidogo
Lakini ndani ya Chama, shetani anakaa huko, mawazo ya kuvunja mageti ya magereza ni ndani ya Chama,
Ndani ya Chama uzalendo hamna
Ni hayo mkuu
Ulivyofikiri ndivyo na mimi nimefikiri.Wanajaribu kuonyesha kuwa Magu hana chuki na upinzani.DAMAGE REPAIR ....YA UBAYA WANAOWAFANYIA WAPINZANIA KWA UJUMLA WAO ....
Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
Africa hawajui kinachoitwa upinzani. Africa wanajua kiongozi ni mfalme na hapaswi kukosolewa. Hii dhana inawasumbua sana viongozi (watawala) wetu.Huwa natamani sana kuona hizi sura zenye upendo na furaha zikiwa katika nyuso za viongozi wetu bila kujali itikadi za vyama vyao..huu Ndio u Tanzania wetu tunapaswa kujivunia kwa Hilo lakini matokeo yake imekuwa ni kinyume chake na watu wamejenga uadui mkubwa sana na kuwaziana mambo mabaya na kukomoana kisa tu wamepishana mitazamo. Mungu atunusuru katika hili
Acha upumbav,watu wanateseka kwa kutekeleza wajibu wao kisa tu ni wapinzani,nvhi hii ukiwa mpinzani ni sawa Corona na unapaswa kutokomezwa kwa namna yoyote ile!Au hukusikia JPm akimwagiza spika awatoe nje hao wabunge ili yeye akawashugjulikie huko uraiani?Kwa hizo picha ni wazi JPM alikuwa hajawa Rais!
"Nearly an old man can withstand adversity but if you want to test the man's character,give hime power"
Abrahm lincoln!
Kumbukumbu ya nini!!? Wengine tumepotea. Tunaomba msaada....!!?Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
Hii hawezi kuwa ni damage control?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
Wapo wabunge wanatofautiana vyama na wenziwao, pia wapo waume na wake zao wanatofautiana dini na maisha yanaendelea.Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
Hii hawezi kuwa ni damage control?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
Unakaribia kwenye ukweli wenyewe.Wamekubali yaishe chadema wamewashika pabaya
Ni picha moja tu isiyoweza kuwekwa hapo hata kama ipo.Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
Hii hawezi kuwa ni damage control?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
Mnatumia hii misemo ya watu vibaya na kupotosha maana yake.Hiyo michango mngenipa hata mie kuliko vile.
Siasa haina uadui wa kudumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
ujinga huo wala hatuna.LABDA WAMESHAUNGA JUHUDI, TUNAPANGWA KISAIKOLOJIA
Maendeleo hayana vyama!
umoja huo kwa CHADEMA ni USALITILabda anamaanisha umoja kati ya chama cha Upinzani na CCM