GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Na ww nawe unaigizwa mjini kirahisi, miaka 10 ndio umri wa ACT, ni lini kulikuwa na hali ya wao kukataa kushiriki uchaguzi wakati walikuwa wachanga?
 
KUna uzi ulisema anapewa jimbo moja wapo so ni amefikia bei ni wakupuuza.
 
No Election No Election No Election No Election without Reform.
 
Hauwezi kuongelea ukandamizaji wa Zanzibar ukaiweka pembeni familia yake Babu na Baba yake hivyo damu za watu zinanena niwakumuhurumia


No reform No Election
Ndio mkuu umekumbishia vyema.
Mtu alie kulia kwenye watesi wetu hawezi kuwa na sisi labda tu kama ana tumika na ndio hiki sasa. Maji yamejutenga na unga
 
Does this not diminish her credibility as a principled activist, as she claims to be? Yes, she critiques the pillars of the state the Executive, the Judiciary, and the Legislature and she speaks out against individuals. But when it comes to Samia, she suddenly becomes emotional, sad, and sympathetic. Today it’s Samia, tomorrow, it could be a relative, a friend, or someone she has personal ties to and she would likely react with the same sentimentality, driven more by personal attachments than by principle.Yet when it’s Magufuli or Kiranga, her so called commitment to human rights becomes sharply defined, and her tone turns bitter at the slightest violation. This inconsistency exposes a troubling double standard. And when it comes to her stance on election participation, in the current political context of Tanzania, that position has become completely irrelevant. Over the past decade, electoral processes have been plagued by serious flaws. Even those who now oppose the current system once held the same position she defends, but times have changed, and these outdated stances need to evolve. One cannot cling to a misguided principle from the past when the circumstances demand reform.All of this points to one conclusion, she is not as principled as she portrays herself. Like many others, she is simply an opportunist, using the political platform for show, with no real substance behind the performance.
 
Unajua hawa wanawake Samiah Suluhu,Tulia Acksoni,Halima Mdee na Fatma karume wanalipeleka Taifa kubaya kama wanaume tutaendelea kuwa mabwege,machawa,na watu wasiojali mambo ya msingi.
Kweli na watu wanapojaribu kuzungumza mambo haha ya msingi, ghafla wengine huibua hoja za udini, jinsia, CHADEMA, au suala la Uzanzibari. Wakati huo huo taifa linazama na watu wanafanya mzaha. Hapa tunazungumzia maslahi ya nchi si ya chama, dini, wala jinsia.
 
We unaishi marekani na uko nyuma ya keyboard ni rahis kuongea unavyotaka kuna watu tokea mwaka 2020 wamefungwa kwa sababu tu walitimiza haki yao ya kikatiba ya kushiriki uchaguzi, wengine ni vilema, wengine wamekufa kosa lao ni kutimiza haki yao ya kikatiba yote haya zito hayaoni anaamua kushiriki uchaguzi alafu anaibukia huko anasema tukalinde kura serious nchi yeyote yenye mfumo mzuri wa uchaguzi wananchi hawana ulazima wa kwenda kulinda kura kitendo cha kuwaambia wananchi wakalinde kura basi huo mfumo wa uchaguzi una-mapungufu sasa kwanini ulikubal kushiriki hilo ndo swali wananchi wanalouliza

Alafu unashangaa nini na nawakati Wamarekani weusi wamekua aggressive sana kwa watu ambao wako kinyume na wao unakumbuka ice cube alipiga picha na trump Africa America walimjia juu vibaya mno kumbuka kupiga picha na trump sio kosa ila walimjia juu mpaka leo account yake instagram sidhani kama ipo mpaka kuna watu wanalalamika Africa America wamekuwa mazomb ya Democrats nakushangaa unashangaa ya fatma karume
 
Uko sahihi hao wote wako chini ya Rais Mstaafu anawaendesha vile anataka kwa maslahi yake na uzao wake.
 
Fatma amejuaje kuhusu hizo numbers, wakati hata daftari la wapiga kura idadi ni ya kupika? Hadi sasa sijasikia waliojiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi huu ni wangapi. Lakini najua walisema waliojiandikisha uchaguzi wa SM za mitaa ni 30m+, jambo ambalo halikuwa kweli hata kidogo.
 
Ss utamsikiliza mla unga mkuu?huyo ni wa kupuuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…