...yeah nasikia kipindi chake maiti ziliokotwa sana pembezoni mwa mito,bahari etcmaiti zilizookotwa kwenye viroba coco na Mto ruvu " damu iliyo mwagika ya akwilina jumlisha na machozi yaliyo mwagika ya lisu .. vina muandama "... atamaliza madhabahu yote lakini hilo jinamizi halitomuacha salama
nadhani sasa yupo kwenye dimbwi la majuto na ndio ameanza kutambua kwamba kuna maisha ya kawaida tofauti na uongozi " vyeo na madaraka
u atawatanguliakwahiyo yesu yupo nigeria
Nikikumbuka huyu jamaa alivyozunguka na Yule kijana aliyemwagiwa tindikali kwenye uchaguzi kutafuta umaarufu huwa nakereka sana hata kumuona tu huyu Dr aliyefeli in every ministry aliyopewa.Habarini wanajamvi
Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua,nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa naakionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua?tumezoea kuona watu wanaoenda kule niwatu wenye matatizo mazito.
Je huyu mwenzetu nini kimempata?
Anajiongopea ... damu za watu wengi sana na roho zao zina mlilia ... bado mke wa azory gwanda " ndugu wa ben saa 8 mioyo yao inafukuta kwa uchungu wakupotezwa kwa vipenzi vyao .. so sidhani kama hiyo karma itamuacha kiurahisi namna hiyo...yeah nasikia kipindi chake maiti ziliokotwa sana pembezoni mwa mito,bahari etc
....inawezekana anajua nini kilifanyika kaamua kwenda kunyutrolizi karma mkuu
jLaana ya Abdul Nondo inamsimbua
labdaLaana ya Abdul Nondo inamsimbua
Mkuu vp ushaacha kaz ya udereva kwa muhindi??ameenda kutubu maana roho yake itakua imeanza kumuhukumu kwa ushenz alioufanya kwa raia wema, pole sana mwigulu Mungu akurehem
okTB.Joshua huyuhuyu wa kuwatabiria Wanasiasa maarufu 4 kutoka Tanzania kuwa watakuwa marais 2015?
Tena kila mtu alimtabiria kwa wakati wake.
Mmoja kati yao akapata.
Mungu hafanyi bahati nasibu, hana mikunjo.
Yule ni msanii tu ila watu wanamkubali mpaka hawaambiwi kitu.
Mwishoe mtahoji kwanini watu wanaenda chooni!! Yaani kumuona Emanuel Tv basi unahisi anashida? Kweli watanzania tunashida.Habarini wanajamvi
Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua,nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa naakionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua?tumezoea kuona watu wanaoenda kule niwatu wenye matatizo mazito.
Je huyu mwenzetu nini kimempata?
Haaaaaahaaaaaa"Nondo alijiteka akapiga na pafume kabisa"
rekebisha "habari" Tb Joshua "siyo mtumishi wa MUNGU"Habarini wanajamvi
Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua,nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa naakionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua?tumezoea kuona watu wanaoenda kule niwatu wenye matatizo mazito.
Je huyu mwenzetu nini kimempata?
okrekebisha "habari" Tb Joshua "siyo mtumishi wa MUNGU"
kivipimung
u atawatangulia