Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

Bwana uber

Member
Joined
Jul 30, 2018
Posts
22
Reaction score
33
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.

Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua? tumezoea kuona watu wanaoenda kule ni watu wenye matatizo mazito.

Je, huyu mwenzetu nini kimempata?
 
Kama binadamu yeyote, Mwigulu hajakamilika bado,hivyo basi anahitaji msaada utokao kwa Mungu. Mungu hutumia njia hii ya maombi kutujibu mahitaji yetu. Tazama,kila mtu ana haja yake ndani ya moyo wake. Ikiwa ni hivyo,kwamba maombi ni njia ya mahitaji yetu,basi tusipoomba hatuwezi kupokea.

Labda tuangalie mfano mdogo wa kawaida kabisa;

Chukulia una watoto watatu nyumbani mwako,alafu mtoto wako mmoja akawa na uhitaji wa kununuliwa daftari la mazoezi la hesabati. Kisha;mtoto huyo akawa kimya akisubiri umnunulie pasipo yeye kukuomba anachokihitaji kutoka kwako. Swali,je utamnunulia hilo daftari pasipo kukuomba? Utajuaje kama daftari lake limeisha na anahitaji daftari jingine? Ukweli ni kwamba,hutaweza kumnunulia kwa sababu hajakuomba,na inawezekana usijue kama limeisha.

Isaya 1:18
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua,nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa naakionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua?tumezoea kuona watu wanaoenda kule niwatu wenye matatizo mazito.
Je huyu mwenzetu nini kimempata?
Yesu ni kwakila mtu wakila hari na alika
 
maiti zilizookotwa kwenye viroba coco na Mto ruvu " damu iliyo mwagika ya akwilina jumlisha na machozi yaliyo mwagika ya lisu .. vina muandama "... atamaliza madhabahu yote lakini hilo jinamizi halitomuacha salama

nadhani sasa yupo kwenye dimbwi la majuto na ndio ameanza kutambua kwamba kuna maisha ya kawaida tofauti na uongozi " vyeo na madaraka
 
Habarini wanajamvi

Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua,nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa naakionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili huduma ya mtumishi wa mungu.
Nilijiuliza maswali mengi lakini moja ni nikajiuliza huyu mtu nini kimempata hadi ameenda kwa Tb Joshua?tumezoea kuona watu wanaoenda kule niwatu wenye matatizo mazito.
Je huyu mwenzetu nini kimempata?

His ' Mission ' wasn't accomplished. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Kama binadamu yeyote, Mwigulu hajakamilika bado,hivyo basi anahitaji msaada utokao kwa Mungu. Mungu hutumia njia hii ya maombi kutujibu mahitaji yetu. Tazama,kila mtu ana haja yake ndani ya moyo wake. Ikiwa ni hivyo,kwamba maombi ni njia ya mahitaji yetu,basi tusipoomba hatuwezi kupokea.

Labda tuangalie mfano mdogo wa kawaida kabisa;

Chukulia una watoto watatu nyumbani mwako,alafu mtoto wako mmoja akawa na uhitaji wa kununuliwa daftari la mazoezi la hesabati. Kisha;mtoto huyo akawa kimya akisubiri umnunulie pasipo yeye kukuomba anachokihitaji kutoka kwako. Swali,je utamnunulia hilo daftari pasipo kukuomba? Utajuaje kama daftari lake limeisha na anahitaji daftari jingine? Ukweli ni kwamba,hutaweza kumnunulia kwa sababu hajakuomba,na inawezekana usijue kama limeisha.

Isaya 1:18
Acha urongo biblia inasema nalikujua tangu ukiwa tumboni mwa mama yako.hata uombe vipi kama Mungu hajapanga haitokuwa
 
Back
Top Bottom