Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,126
- 9,664
Mwamba msimu uliopita alifunga magoli mengi sana katika michuano yote mpaka tukambatiza jina la utani “JINI”
Msimu huu imekuwa tofauti, Haaland ana struggle kiasi kikubwa sana. Huwezi amini katika mechi nne zilizopita za mashindano yote hajafunga hata goli moja. Au ndio kusema anamkosa KDB kikosini ndio maana nae mambo hayaendi vizuri?
Msimu huu imekuwa tofauti, Haaland ana struggle kiasi kikubwa sana. Huwezi amini katika mechi nne zilizopita za mashindano yote hajafunga hata goli moja. Au ndio kusema anamkosa KDB kikosini ndio maana nae mambo hayaendi vizuri?
eti hawachezi pekeyao.! Hivi unajua athari ya kuwakosa playmaker wawili Kwa wakati mmoja?