Radio hii iliyokuwa ikisikika katika masafa ya 88.5 MHz sasa haipo hewani huko Arusha kwa zaidi ya wiki.
Pia hawapatikani kwenye namba zao za simu. Nani anajua kinachoendelea kuhusu radio hii ya bilionea Papaa King?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.