Nini kilitokea baina ya Nazareth Upete na Irene Kilango

Nini kilitokea baina ya Nazareth Upete na Irene Kilango

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,654
Reaction score
9,209
Hawa ni watangazaji wa bongo fm.Upete ukiachia uchambuzi ni mtangazaji mzuri sana wa mpira wa miguu yaani football.Irene ni mdada mchambuzi mwenye vyanzo vingi vya habari na mara nyingi safari nyingi za nje huenda yeye.

Sasa waligombana hadharani japo sijajua waligombania nini,mwenye klipu inayoonesha ugomvi wao hebu aitume hapa tuione
 
Hawa ni watangazaji wa bongo fm.Upete ukiachia uchambuzi ni mtangazaji mzuri sana wa mpira wa miguu yaani football.Irene ni mdada mchambuzi mwenye vyanzo vingi vya habari na mara nyingi safari nyingi za nje huenda yeye.

Sasa waligombana hadharani japo sijajua waligombania nini,mwenye klipu inayoonesha ugomvi wao hebu aitume hapa tuione
Huwez kujuwa pengine wanatombana
 
Dah ! Mdau mambo ya tbc waachie wenyewe.. wengine huku tbc tunasikilizaga kwa bahati mbaya tena umepita mahali ukakuta mtu amewasha hiyo steshen
 
Back
Top Bottom