Nini kilisababisha Kufa kwa “Kupatana”

Nini kilisababisha Kufa kwa “Kupatana”

Kwanini mantainance ni ndogo?

Hosting management, Malipo ya domain name. Na walikua wanamtumia host mzuri tu. Kwanza ilikuwa na adsense, Alafu watu walikuwa wanalipia kuweka premium ads.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hosting management, Malipo ya domain name. Na walikua wanamtumia host mzuri tu. Kwanza ilikuwa na adsense, Alafu watu walikuwa wanalipia kuweka premium ads.
Oh, ok. Sasa kwanini hazifunguliwi na vijana kama haxina gharama kubwa kuziendesha? Huwa nadhani zinahitaji pesa ya kutosha.
 
Oh, ok. Sasa kwanini hazifunguliwi na vijana kama haxina gharama kubwa kuziendesha? Huwa nadhani zinahitaji pesa ya kutosha.

images-6.jpeg


Ingekuwa ni hivyo basi hata alieanzisha amazon angeachana nayo tangu mwanzo alivyoanza sababu ya gharama! Mtu anayefungua website hategemei faida ndani ya muda mfupi. Kanuni ya kwanza ni patience.
 
Ngozi nyeusi kwenye uaminifu ni changamoto kwelikweli.

Niliagiza vitu kutoka kwa sellers wanne tofauti wanaopatikana majimbo tofauti nchini Marekani kupitia Amazon.com halafu nikawapa kazi Stackry wakaipokea,consolidate, re-pack na kunitumia.

Nikaipata kama nilivyoiona kwenye picha,najua haikupotea Posta Tz sababu haikuwa vitu wanavyovipenda wale jamaa.
 
Back
Top Bottom