Red shadow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,411
- 1,990
- Thread starter
- #81
saizi wamelala yoooKwa kweli kupatana walikua viziuri sana, nashukuru niliweza pata vitu vingi bora kupitia huko na kwa bei rahisi sana.
saizi wamelala yoooKwa kweli kupatana walikua viziuri sana, nashukuru niliweza pata vitu vingi bora kupitia huko na kwa bei rahisi sana.
[emoji1787] [emoji1787][emoji1787]Matapeli walivamia app...
Walikua wanauza hadi vifaru vya jeshi bei laki moja na nusu...
Cc: Mahondaw
Mimi walivounganisha na zoom ndo nikaona imekua ya kindezi
Huenda wamiliki wa tovuti wamepata mchongo wenye maslahi mazuri zaidi.
Kusema matapeli ndio wameua tovuti si kweli maana njia za kuwadhibiti ni nyingi.
Ilikuwa ngumu sana kwa e commerce hasa hizi ambazo ni kila mtu anapost product yake kudumu. Maana ni rahisi kuvamiwa na watu ambao sio genuine.Matapeli walivamia app...
Walikua wanauza hadi vifaru vya jeshi bei laki moja na nusu...
Cc: Mahondaw
yaanHawakupaswa kuinunua zoom. Ona zimekufa zote sasa.
ni ya tz nayoIlikuwa ngumu sana kwa e commerce hasa hizi ambazo ni kila mtu anapost product yake kudumu. Maana ni rahisi kuvamiwa na watu ambao sio genuine.
Solution ya hii ni kuwa na payment platform ambayo inahuduma ya escrow. Mtu akilipa pesa iwe held mpaka delivery itakapofanyika.
Hii solution nimeiona kwa jamaa wanaitwa Payguard secure, i think they have the best. payment solutions kuzi rescue hizi digital marketing platforms.
Wana mobile app pamoja API inayoweza power payment ya hizi platforms.
payguard.co.tz
Yaan had nashindwa kuelewaHata kama, Zile website zilikuwa zinajiendesha zenyewe, maintainace ni kidogo sana. Ni uzembe wao wenyewe.
wala sidhan zilipotea kabla hata ya JijiUjio wa JIJI umewapoteza
Jiji wameleta ushindani sana kwenye platforms za kuuza na kununuawala sidhan zilipotea kabla hata ya Jiji
KumbeJiji wameleta ushindani sana kwenye platforms za kuuza na kununua
Kwanini mantainance ni ndogo?Hata kama, Zile website zilikuwa zinajiendesha zenyewe, maintainace ni kidogo sana. Ni uzembe wao wenyewe.
Yeah.. ni ya waswahili. I tried once hii huduma yao, the experience was superbni ya tz nayo
Ndio nadhan kwasasa ndio namba 1 kwa hapa tz.Kumbe
Hata siijuiNdio nadhan kwasasa ndio namba 1 kwa hapa tz.
Itafute jiji tanzania utajionea mpangilio mzuri wa bidhaa na bei zake.Hata siijui