Nini kilichomtokea diamond nigeria??

Nini kilichomtokea diamond nigeria??

Mimi bana sijawahi kuoa kwahiyo wale ambao wamepata kuoa/kuolewa wanisaidi yafuatayo:
  • Nani huwa anatoa kadi za mwaliko? Ni Bwana/Bibi Harusi peke yao au kunakuwa na watu wengine ambao pia wanakasimishwa kazi ya kutoa kadi za mwaliko?
  • Kama ni Bwana Harusi peke yake, sawa! Lakini ikiwa Bibi harusi nae anaweza kutoa kadi, je ina maana analazimika kutoa kadi kwa wale tu ambao Bwana Harusi anawafahamu au?
  • Au kama kunakuwa na mtu/watu wengine ambao nao wanapewa mamlaka ya kutoa kadi, je, ni lazima watoe kadi kwa watu ambao wanafahamika moja kwa moja na Bwana Harusi?
  • Kama sivyo ndivyo, je, ikiwa Diamond alipewa kadi ya mwaliko na mtu ambae si one of P-Squres, nini basi kinashangaza kwa one or all of P-Squares akisema kwamba hamfahamu Diamond.
  • Ina maana wote ambao walihudhuria P-Squares waliwafahamu personally kwa majina na sura?
  • What's the main point? Diamond kuhudhuria harusi ya P's au P-Squares kumfahamu Diamond?
  • Kama issue ni kuhudhuria, I can understand kv ni kama Diamond ametonesha kwamba alihudhuria lakini kama issue ni kufahamika na P's; does it matter anything? Hili leo hii P's kuwa hawamfahamu Diamond, Diamond mwenyewe anapungukiwa na nini?
Mkuu wabongo tunachojua ni kuponda tuuuuu
Nabii hakubalikagi kwao
 
Mimi bana sijawahi kuoa kwahiyo wale ambao wamepata kuoa/kuolewa wanisaidi yafuatayo:
  • Nani huwa anatoa kadi za mwaliko? Ni Bwana/Bibi Harusi peke yao au kunakuwa na watu wengine ambao pia wanakasimishwa kazi ya kutoa kadi za mwaliko?
  • Kama ni Bwana Harusi peke yake, sawa! Lakini ikiwa Bibi harusi nae anaweza kutoa kadi, je ina maana analazimika kutoa kadi kwa wale tu ambao Bwana Harusi anawafahamu au?
  • Au kama kunakuwa na mtu/watu wengine ambao nao wanapewa mamlaka ya kutoa kadi, je, ni lazima watoe kadi kwa watu ambao wanafahamika moja kwa moja na Bwana Harusi?
  • Kama sivyo ndivyo, je, ikiwa Diamond alipewa kadi ya mwaliko na mtu ambae si one of P-Squres, nini basi kinashangaza kwa one or all of P-Squares akisema kwamba hamfahamu Diamond.
  • Ina maana wote ambao walihudhuria P-Squares waliwafahamu personally kwa majina na sura?
  • What's the main point? Diamond kuhudhuria harusi ya P's au P-Squares kumfahamu Diamond?
  • Kama issue ni kuhudhuria, I can understand kv ni kama Diamond ametonesha kwamba alihudhuria lakini kama issue ni kufahamika na P's; does it matter anything? Hili leo hii P's kuwa hawamfahamu Diamond, Diamond mwenyewe anapungukiwa na nini?

unachosema ni sahihi.sio lazima ps amfahamu diamond
 
wabongo chuki binafsi zinawasumbua mnaacha kufanya yenu mnamjadili mtu ambaye huwezi hata kumfikia kivyovyote.Wastage of tym fanyeni yenu
 
Back
Top Bottom