sorry ni lesotho!!tumuombee mabaya!asishindeKwani Cape Verde si ana point 4 sisi tuna point 5...mechi ya mwisho Cape verde akishinda anakuwa na 7 na sisi tukishinda tutakuwa na 8.
Wadau, hivi tufanyaje ili twende Cameroon? Je tukiifunga Uganda na Lesotho wakaifunga Cape Verde idadi sawa ya magoli nani ana advantage? Tuanze kujadili namna ya ku move forward badala ya kulalamika. Ahsanteni.
Yaani amunike amepigwa noti na wacape verde ili atu hujumu alafu adi mida hii bado hajatimuliwa, walahi waganda watatufunga 6! Kama amunike ataendelea kuwa kocha wetu! Aloooo tunafanya maksiraha, yaaani huyu zake ni bakoraa tuuu
Binafsi naona hatuna haja ya kwenda cos bado hatujajiandaa tumeshtukia tu nafasi hii hapa,tutaenda kutia aibu tuWadau, hivi tufanyaje ili twende Cameroon? Je tukiifunga Uganda na Lesotho wakaifunga Cape Verde idadi sawa ya magoli nani ana advantage? Tuanze kujadili namna ya ku move forward badala ya kulalamika. Ahsanteni.