Sasa ni taharuki kwa wanafunzi wa shule za msingi wakiwa shule waonapo wageni au magari yakiingia shuleni basi huanza taharuki na kukimbia ovyo.
Taharuki hiyo imesababishwa na wazazi wanaowambia watoto wao kuwa serikali inataka kuwachoma chanjo ya Corona kitu ambacho si sahihi.
Wazazi hao wamewambia kuwa wakiona viashiria vya chanjo wakimbie shule hali ambayo imesababisha watoto kuzua taharuki na kukimbia waonapo wageni au gari linaingia shuleni.
Kufuatia hali hiyo ambayo wanafunzi wamepoteza utulivu shuleni hasa kipindi hiki tunaitaka serikali itoe tamko kuhusu hali hiyo au nini kifanyike?
Pia, soma:
- #COVID19 - Geita: Wanafunzi wakimbia hovyo wakiogopa chanjo, Kaimu Mkurugenzi ataka waelimishwe chanjo ni hiari
Taharuki hiyo imesababishwa na wazazi wanaowambia watoto wao kuwa serikali inataka kuwachoma chanjo ya Corona kitu ambacho si sahihi.
Wazazi hao wamewambia kuwa wakiona viashiria vya chanjo wakimbie shule hali ambayo imesababisha watoto kuzua taharuki na kukimbia waonapo wageni au gari linaingia shuleni.
Kufuatia hali hiyo ambayo wanafunzi wamepoteza utulivu shuleni hasa kipindi hiki tunaitaka serikali itoe tamko kuhusu hali hiyo au nini kifanyike?
Pia, soma:
- #COVID19 - Geita: Wanafunzi wakimbia hovyo wakiogopa chanjo, Kaimu Mkurugenzi ataka waelimishwe chanjo ni hiari