Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,174
- 39,936
Kwa nini umeachwa?
Kuachwa ni udhaifu mkubwa sana kwenye mahusiano.
Kuachwa kunamaanisha hauko 'fit' kwenye baadhi ya maeneo.
Ndio maana zamani, vijana walikuwa wanapelekwa jando / unyago kabla ya kuingia kwenye mahusiano.
Lengo kuu lilikuwa ni kuwafunda kila upande ujue wajibu wake katika mahusiano.
Vijana wakiume walikuwa wakifundwa kivyao, na wakike ni hivyo hivyo.
Lakini nyakati hizi, watu wanaachwa achwa hovyo tu; na wengine wanaona sifa kuachwa achwa.
Je, ni nini kifanyike ili hii tabia ya kuachwa achwa iishe?
Kuachwa ni udhaifu mkubwa sana kwenye mahusiano.
Kuachwa kunamaanisha hauko 'fit' kwenye baadhi ya maeneo.
Ndio maana zamani, vijana walikuwa wanapelekwa jando / unyago kabla ya kuingia kwenye mahusiano.
Lengo kuu lilikuwa ni kuwafunda kila upande ujue wajibu wake katika mahusiano.
Vijana wakiume walikuwa wakifundwa kivyao, na wakike ni hivyo hivyo.
Lakini nyakati hizi, watu wanaachwa achwa hovyo tu; na wengine wanaona sifa kuachwa achwa.
Je, ni nini kifanyike ili hii tabia ya kuachwa achwa iishe?