Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,186
- 56
Hoya hoya hoya hoya!?!?!?
Mwizi huyoooo ..... huyooooo.... jamani mwizi huyo........
Come on now!
Jana nilianzisha thread ya nini kifanyike dhidi ya mtu anayehusishwa na wizi wa karibu bilioni mia moja toka benki kuu kwa mujibu wa gazeti la This day.
Muda mfupi baada ya hiyo thread kutokea na watu wengi kuanza kuchangia, JF ilipotea hewani na kama muonavyo wengi imerudi bila ya hiyo thread. Kuna mengi sana kama Mwanakijiji alivyosema yameshakusanywa hapa na tayari kuanikwa JF katika wiki mbili zijazo dhidi ya huyu mtu hatari kabisa katika nchi yetu.
Thread ya Patel ilivyopotea na haya yote yaliyofuatia, kuna watu wamenipigia simu kuniambia kuwa niachane na habari za Patel maana ni mafia na atanifanyia kitu mbaya na kuimaliza JF kabisa. Sasa mimi nasema hivi, F.....ck you Patel. Kama wewe ndio ulimtuma Mushi na watoto wake kuja kuharibu JF ili habari zako zisisemwe hapa basi umechemsha big time.
Kumbuka kuwa kuna KLH News, Mwanahalisi, Thisday, Kulikoni, nk ambako utasemwa big tyme. Kama kweli unatumia intimidation ili kuficha wizi wa pesa ambazo zingetumika kujenga bwawa kubwa la maji hapo Dar na kupungunguza kero za maji ili kunyamazisha watu basi umechemsha. F.....ck you Patel.
Jamani nini kifanyike kwa huyu Patel? Kama wezi wa kariakoo huwa wanapigiwa kelele za mwizi mwiziiii na wanapewa kibano na kuchomwa moto ili wapoteee kabisa, kwa nini the same punishment isitumike dhidi ya Patel ambaye amekula pesa ya wizi huku akiacha watoto wachanga na mama wajawazito wakifa bila madawa hostpitali?
Mwizi mwizi mwizi Jiitu Patel huuyoooooo, choma moto huyooooo!
Mwizi huyoooo ..... huyooooo.... jamani mwizi huyo........
Come on now!
Jana nilianzisha thread ya nini kifanyike dhidi ya mtu anayehusishwa na wizi wa karibu bilioni mia moja toka benki kuu kwa mujibu wa gazeti la This day.
Muda mfupi baada ya hiyo thread kutokea na watu wengi kuanza kuchangia, JF ilipotea hewani na kama muonavyo wengi imerudi bila ya hiyo thread. Kuna mengi sana kama Mwanakijiji alivyosema yameshakusanywa hapa na tayari kuanikwa JF katika wiki mbili zijazo dhidi ya huyu mtu hatari kabisa katika nchi yetu.
Thread ya Patel ilivyopotea na haya yote yaliyofuatia, kuna watu wamenipigia simu kuniambia kuwa niachane na habari za Patel maana ni mafia na atanifanyia kitu mbaya na kuimaliza JF kabisa. Sasa mimi nasema hivi, F.....ck you Patel. Kama wewe ndio ulimtuma Mushi na watoto wake kuja kuharibu JF ili habari zako zisisemwe hapa basi umechemsha big time.
Kumbuka kuwa kuna KLH News, Mwanahalisi, Thisday, Kulikoni, nk ambako utasemwa big tyme. Kama kweli unatumia intimidation ili kuficha wizi wa pesa ambazo zingetumika kujenga bwawa kubwa la maji hapo Dar na kupungunguza kero za maji ili kunyamazisha watu basi umechemsha. F.....ck you Patel.
Jamani nini kifanyike kwa huyu Patel? Kama wezi wa kariakoo huwa wanapigiwa kelele za mwizi mwiziiii na wanapewa kibano na kuchomwa moto ili wapoteee kabisa, kwa nini the same punishment isitumike dhidi ya Patel ambaye amekula pesa ya wizi huku akiacha watoto wachanga na mama wajawazito wakifa bila madawa hostpitali?
Mwizi mwizi mwizi Jiitu Patel huuyoooooo, choma moto huyooooo!