Fibanochi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 475
- 1,015
Kuna kipindi katika maisha hutokea mtu ukafanya jambo ambapo likakufanya siku za usoni ujione shujaa ukikumbuka na kukupa faraja tele lakini katika haya maisha watu wanapita nyakati tofauti tofauti sana kipesa.
Kuna kipindi mtu unakuwa vizuri mfukoni na kufanya mambo kadha wa kadha ya maendeleo kununua unachotaka, starehe unazotaka na kuna kipindi mtu unapigika ile kupigika kweli kweli kiasi hata kukosa hela ya nauli lakini unapata faraja kwa kuona matunda ya assets au matendo mema uliyofanya kipindi uko vizuri kipesa na kujipongeza na angalau unapata nafauu ya katika moyo wako.
Mimi katika vitu vinanipa faraja ni kuwa miaka kadhaa nyuma Kuna mpendwa wangu wa karibu alikuwa katika hali ya kifo na uhai, kiasi kila mtu alikata tamaa, niliweza msaidia kuokoa maisha yake kwa kutoa akiba yangu ya pesa ya boom ili apate tiba, na Mungu mwema alitibiwa na akapona.
Kuna kipindi mtu unakuwa vizuri mfukoni na kufanya mambo kadha wa kadha ya maendeleo kununua unachotaka, starehe unazotaka na kuna kipindi mtu unapigika ile kupigika kweli kweli kiasi hata kukosa hela ya nauli lakini unapata faraja kwa kuona matunda ya assets au matendo mema uliyofanya kipindi uko vizuri kipesa na kujipongeza na angalau unapata nafauu ya katika moyo wako.
Mimi katika vitu vinanipa faraja ni kuwa miaka kadhaa nyuma Kuna mpendwa wangu wa karibu alikuwa katika hali ya kifo na uhai, kiasi kila mtu alikata tamaa, niliweza msaidia kuokoa maisha yake kwa kutoa akiba yangu ya pesa ya boom ili apate tiba, na Mungu mwema alitibiwa na akapona.