Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,369
- 2,105
Mimi nachukulia Ku bet ni kama kupiga ramli. Tofauti pekee iliyopo ni kwamba MTU anayebet anafanya hivyo kwa uhalali wakati huo huo mpiga ramli yeye amezuiwa na sheria kufanya hivyo.
Kwa kiswahili chepesi ni sawa na kusema MTU anaye bet in mvuta sigara aliyeruhusiwa na sheria wakati mpiga ramli ni mvuta bangi asiyeruhusiwa na sheria. Mwisho wa siku wote watadhurika.
Kilichonifanya niandike Uzi huu, ni kwasababu nimeona kama kuna kitu kisicho cha kawaida kwenye kubet.
Just Imagine, MTU anataka kuendesha familia kwa pesa za kubet. (In Coyo Voice)
Mtu yupo kanisani lakini anaperuzi mitandaoni kupata dondoo abet upande gani.
Wanafunzi wa vyuo hawaanzi FGD kabla ya kujadili namna ya kubet.
Mtu hajanunua Nguo Mpya mwezi wa sita sasa lakini kila wiki anabet.
What went wrong...what went what...?(In Teacher Mpamire Voice)
Sasa naomba wenye utashi tusaidiane maisha hapa. Je hiki ni kitu cha kawaida?
Mtu ana elfu 2000. Anaamua asile wali maini kwa mama Chausiku ili abet hivyo hushinda njaa. Ni roho gani iliyopo kwenye kubet kiasi kwamba hata njaa isn't there any psychological abnormalities for us to discuss?
Kwa kiswahili chepesi ni sawa na kusema MTU anaye bet in mvuta sigara aliyeruhusiwa na sheria wakati mpiga ramli ni mvuta bangi asiyeruhusiwa na sheria. Mwisho wa siku wote watadhurika.
Kilichonifanya niandike Uzi huu, ni kwasababu nimeona kama kuna kitu kisicho cha kawaida kwenye kubet.
Just Imagine, MTU anataka kuendesha familia kwa pesa za kubet. (In Coyo Voice)
Mtu yupo kanisani lakini anaperuzi mitandaoni kupata dondoo abet upande gani.
Wanafunzi wa vyuo hawaanzi FGD kabla ya kujadili namna ya kubet.
Mtu hajanunua Nguo Mpya mwezi wa sita sasa lakini kila wiki anabet.
What went wrong...what went what...?(In Teacher Mpamire Voice)
Sasa naomba wenye utashi tusaidiane maisha hapa. Je hiki ni kitu cha kawaida?
Mtu ana elfu 2000. Anaamua asile wali maini kwa mama Chausiku ili abet hivyo hushinda njaa. Ni roho gani iliyopo kwenye kubet kiasi kwamba hata njaa isn't there any psychological abnormalities for us to discuss?