Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
ETM na Gaijin sheria zimabadli kabisa maana ya utu, narudia tena si kila sheria au haki ni utu, kinacho tutofautisha na wanyama ndio utu wetu, utu anaostahiki mtu wa usa ndio anastahiki mtanzania, kuna baadhi ya watu wanageuza matakwa yao binafsi(kama ushoga)kuwa eti haki za msingi na ni utu
Kumhukumu kifo na kumuua mhalifu aliyeua ni unyama au ubinaadamu?