Hivi inakuaje mpaka binti wa miaka ishirini kisa ndoa/au umezaa watoto wawili watatu unakuwa kama bibi wa miaka hamsini...ndio majukumu au nini hii.....
Maana kuna binti hapa mtaani kwetu alikuwa sister du sio wa nchi hii...mrembo haswaa....sasa huyu binti now amezaa watoto wawili lakini hali yake kimwili inahuzunisha hajijali tena wala kujithamini kama zamani ....akiamka na kanga aliyovaa asubuhi atashinda nayo mpaka jioni na anaona kawaida sana....sasa najiuliza kilichombadilisha hasa majukumu mengi,ndio amezaa amezeeka au ndiobmaisha magumu mpaka mtu unashindwa kujipenda mwenyewe..kwakweli nimeshindwa kabisa kupata jibu.
Maana kuna binti hapa mtaani kwetu alikuwa sister du sio wa nchi hii...mrembo haswaa....sasa huyu binti now amezaa watoto wawili lakini hali yake kimwili inahuzunisha hajijali tena wala kujithamini kama zamani ....akiamka na kanga aliyovaa asubuhi atashinda nayo mpaka jioni na anaona kawaida sana....sasa najiuliza kilichombadilisha hasa majukumu mengi,ndio amezaa amezeeka au ndiobmaisha magumu mpaka mtu unashindwa kujipenda mwenyewe..kwakweli nimeshindwa kabisa kupata jibu.