Nini faida ya kuwa Mpagani?

Nini faida ya kuwa Mpagani?

Nitakujibu kwa ufupi tu wapagani wanaamini hakuna kinachoendelea baada ya kifo so hakuna malaika wala mbute yoyote huko.. kufa ni Kama kabla ya wewe kuzaliwa hukua chochote.
Na mnaamini kitu gani huwa kinawaua?
 
Na mnaamini kitu gani huwa kinawaua?
Uhai ukikosa condition zake basi unakufa maana yake ni Kuwa mwili hauwezi Tena kusurvive sababu ni kitu chochote kitakachoharibu mazingira ya uhai.
 
Wapagani hawajui kama malaika wapo
Ndio nawauliza wapagani maana wamedai wao hawaamuamini Mungu na wanatumia nguvu zao kwenye kila jambo.
Sasa kama ni hvyo na tunajua kwamba malaika wameumbwa na Mungu nilitegemea kuwe na njia yao tofauti ya kuwakwepa hawa malaika kwa kutumia akili yao binafsi.
 
Ndio nawauliza wapagani wanijibu maana wamechagua mifano michache kama ya ndoa,ibada wakaitolea ufafanuzi kujionesha wao wako tofauti kwenye kila kitu ila wakaficha baadhi ya mambo.
Kufa ni asili, dini sio asili
Kula ni asili, wakati dini sio

Watu wote tumezaliwa tukiwa ATHEISTS mpaka pale watu walipokuja kua indoctrinated and deluded ndio hapo tulipoanza kujitenga
 
Wapagani wengi wa JF kila linapotokea jambo baya linalomhusisha Kiongozi wa dini ama ya Kikristo au Kiislamu huwa wanaonesha kwamba wao wako salama kwa kuwa tu ni wapagani.

Faida ya kuwa mpagani tofauti na kuwa Mkristo ama Muislamu ni nini? Uzuri wa kuwa Mpagani uko kwenye nini?
Tuanzie hapa kwanza....mpagani ni nani na Muislam au Mkristu ni nani? Na ni nani aliye sahihi katika kumuabudu Mungu? Nijuavyo mimi na historia inavyosema HAKUNA dini iliyoundwa na Mwenyezi Mungu bali dini zote zimetungwa na binadamu ili wamjuwe Mungu kwa mtizamo wao. Waarab wamekuja na Muhammad, Wazungu Yesu, Wayahudi Abraham. Sisi waafrika ndiyo binadamu wa kwanza hapa duniani tuna abudu nini au nani mtume wetu? Kama mmesoma historia ya hizi 'Abrahamic religion' nilizotaja hapo juu, imani zao wamezitoa hapa Afrika na kuziboresha tu kisha wakaja na mtazamo wao kwa kuvutia kwao.
 
wakati unazaliwa ni nani aliamua uwe mpagani?
Kufa ni asili, dini sio asili
Kula ni asili, wakati dini sio

Watu wote tumezaliwa tukiwa ATHEISTS mpaka pale watu walipokuja kua indoctrinated and deluded ndio hapo tulipoanza kujitenga
 
kwani ushawahi kuona mwanzo usiokuwa na mwisho??

utake usitake kila kitu kina mwisho jombaaa
So even mungu kuna time itafika atakua kashafikia mwisho na kuanzia hapo hatokuwepo tena?
 
Back
Top Bottom