Ungekuwa unajua kufikiri usingeuliza hili swali.Na vipi ikifika siku ya kufa utatumia akili yako kupambana na malaika mtoa roho?
Acha kudangany nafsi yako,dini haimpeleki mtu mbinguni na kaa ujue ktk baadhi ya hz hz dini zenu mnamkufuru Mungu kw ibada zenu na miongozo yenufaida ni moja tu
hutopanga foleni siku ya mwisho
moja kwa moja motoni
Ungekuwa unajua kufikiri usingeuliza hili swali.
Mkuu hivi kweli upo serious unauliza swali la namna hii na kwenye komenti yangu nimeshaandika ni swala la kufikiri tu!wewe ndio ulishindwa kufikiri baadhi ya mambo ndio maana nimekupiga hilo swali.
Maana kwa hoja zako ulizotoa ni kwamba wapagani wanataka kujitofautisha na waumini wengine wa kiislam/kikristo lakini kuna vitu fulani umeshindwa kuvitafakari kwa mfano ishu ya kifo,nilitegemea pia uonyeshe utofauti kati ya kifo cha muislam,mkristo na mpagani maana ulidai mambo mengi wapagani mnatumia nguvu yenu binafsi
Kwamba kuna style fulani ya vifo ambayo hufa waumini wa dini fulani ili kujitofautisha na dini nyingine?wewe ndio ulishindwa kufikiri baadhi ya mambo ndio maana nimekupiga hilo swali.
Maana kwa hoja zako ulizotoa ni kwamba wapagani wanataka kujitofautisha na waumini wengine wa kiislam/kikristo lakini kuna vitu fulani umeshindwa kuvitafakari kwa mfano ishu ya kifo,nilitegemea pia uonyeshe utofauti kati ya kifo cha muislam,mkristo na mpagani maana ulidai mambo mengi wapagani mnatumia nguvu yenu binafsi
Unamjua mpagani? Acha matusi kijana kisa kukaririshwaWapagani wengi wa JF kila linapotokea jambo baya linalomhusisha Kiongozi wa dini ama ya Kikristo au Kiislamu huwa wanaonesha kwamba wao wako salama kwa kuwa tu ni wapagani.
Faida ya kuwa mpagani tofauti na kuwa Mkristo ama Muislamu ni nini? Uzuri wa kuwa Mpagani uko kwenye nini?
Ndio nawauliza wapagani wanijibu maana wamechagua mifano michache kama ya ndoa,ibada wakaitolea ufafanuzi kujionesha wao wako tofauti kwenye kila kitu ila wakaficha baadhi ya mambo.Kwamba kuna style fulani ya vifo ambayo hufa waumini wa dini fulani ili kujitofautisha na dini nyingine?
Daàahhhh nimejifunza kitu hapa.Thread start May 7th 2019
First comment 35 minutes ago!
Na vipi ikifika siku ya kufa utatumia akili yako kupambana na malaika mtoa roho?
Mkuu hivi kweli upo serious unauliza swali la namna hii na kwenye komenti yangu nimeshaandika ni swala la kufikiri tu!
Mkuu hebu Kuwa serious..![]()
Ndio nawauliza wapagani maana wamedai wao hawaamuamini Mungu na wanatumia nguvu zao kwenye kila jambo.Unapambanaje na malaika mtoa roho?
Siku ya mwisho?!!!😲😲wewe umesikia wapi?faida ni moja tu
hutopanga foleni siku ya mwisho
moja kwa moja motoni
Watu walishakuwa brainwashed mpaka basi,,mi huwa nawaangalia tu,naishia kuwahurumia sana...Unahakika uo moto upo!? So unataka niambia aliyekufa zama za nuhu mpaka leo anasubiri mwisho wadunia ufike ili ajue atima yake kama ni mbinguni au motoni?..
Nitakujibu kwa ufupi tu wapagani wanaamini hakuna kinachoendelea baada ya kifo so hakuna malaika wala mbute yoyote huko.. kufa ni Kama kabla ya wewe kuzaliwa hukua chochote.Usijizungushe ili ukwepe kujibu swali.
Kwenye comment yako umeelezea baadhi ya mambo kama ndoa na kuonesha mfumo wenu ni wa tofauti na binadamu wengine lakini kuna vitu kama kifo hujaelezea.
kwani ushawahi kuona mwanzo usiokuwa na mwisho??Siku ya mwisho?!!!😲😲wewe umesikia wapi?
ndo maana ni kasema "Faida"Acha kudangany nafsi yako,dini haimpeleki mtu mbinguni na kaa ujue ktk baadhi ya hz hz dini zenu mnamkufuru Mungu kw ibada zenu na miongozo yenu
DINI SIYO MUNGU NA WALA MUNGU SIYO DINI
Sasa mwisho wa mwisho ni nini,kama kila kitu kinamwisho?kwani ushawahi kuona mwanzo usiokuwa na mwisho??
utake usitake kila kitu kina mwisho jombaaa