DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,418
Lete UshahidiAlifufuka mkuu, kama ilivyotabiriwa![]()
Lete UshahidiAlifufuka mkuu, kama ilivyotabiriwa![]()
Ha haa bwana eee mi sijuiLete Ushahidi
Yaani kwa hilo jina lako, lazima iwe unatishiwa kuwa kuna moto mkali wa jehanum. Badili jina pia.Hakuna wa kunitishia kuna moto wa milele wala zaka za kanisa. Mimi na Mungu wangu.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Sasa sisi wengine sio wapagani, labda tusubiri wajeWapagani wengi wa JF kila linapotokea jambo baya linalomhusisha Kiongozi wa dini ama ya Kikristo au Kiislamu huwa wanaonesha kwamba wao wako salama kwa kuwa tu ni wapagani.
Faida ya kuwa mpagani tofauti na kuwa Mkristo ama Muislamu ni nini? Uzuri wa kuwa Mpagani uko kwenye nini?