KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,793
- 86,547
Mbona hujawataja agnostic..? Hawa hawajui kuhusu Kuna Mungu au hayupo..😂kuna tofauti kati ya mpagani,non religious na Atheist...mkristo anamuona muislam ni mpagani.
Muhammad aliwaona wale waarabu wanaoabudu mawe na kuzunguka kaaba ni wapagani.
Inshort mpagani ni mtu anayeabudu kitu nje ya Mungu wa kweli...Kwa wengine wahindu ni wapagani na mamiungu yao...
Mpagani anaweza kuwa na dini ya kipagani.
Lakini Atheist Haamini uwepo wa mungu na Hana dini
Lakini pia kuna non religous theists ambao hawana dini ila wanaamini uwepo wa Mungu
Mkuu unaposema Mungu wa kweli kila mtu atasema Kuwa anachokiabudu ni Mungu wa kweli! Hata waislamu huwaita walionje na dini yao Kuwa makafiri! So haijalishi upo wapi lkn ukiwa nje na uabuduji wa kiislamu Basi wewe ni kafiri!. Ninavyofahamu Mpagani hana dini na Wala haabudu Kama ingelikuwa Wana dini Basi wapagani wote wangekuwa na sheria za kufuata juu ya dini yao ya kuabudu na pia kuwaheshimisha zaidi wangeitwa kwa jina la kile wanachokiabudu walau.. Mkuu kwangu uelewa wangu umeishia hapo.

