Nini faida kwa mtu kuzaa watoto?

Nini faida kwa mtu kuzaa watoto?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
63,244
Reaction score
106,677
Kuna mjadala nimeuona Twitter watu wameulizwa hili swali na limekosa majibu ya maana kabisa!
Screenshot_20250902_070144_X.jpg
 
Kuna mjadala nimeuona Twitter watu wameulizwa hili swali na limekosa majibu ya maana kabisa!
View attachment 3462018

Faida ni Ku-provide katika nature na pia kuendeleza kizazi .

Kwa tajiri mtoto ni FAIDA ili aendeleze mali na kulinda legacy.

Ila kwa masikini mtoto ni Kama Assets anamzaa ili aje amsaidie kwa baadae.


Faida za Binadamu kuzaa kwa zama hizi zinaenda zinapungua sio kwa matajiri au masikini .

Mfano sasa hivi yapo mpaka makampuni na taasisi ambazo zinaweza kusimamia Mali zako , pesa pasipo kuhitaji watoto .

The same kwa masikini , leo ukiwa masikini na ukazaa mtoto ambaye hautampa Elimu bora, na kumkuza katika mazingira bora unaweza kuendeleza umasikini zaidi.

Faida za jumla -kuzaa ni tendo la asili na faida zake ni uwepo wa watu ili kuiendeleza dunia .
 
Faida ni Ku-provide katika nature na pia kuendeleza kizazi .

Kwa tajiri mtoto ni FAIDA ili aendeleze mali na kulinda legacy.

Ila kwa masikini mtoto ni Kama Assets anamzaa ili aje amsaidie kwa baadae.


Faida za Binadamu kuzaa kwa zama hizi zinaenda zinapungua sio kwa matajiri au masikini .

Mfano sasa hivi yapo mpaka makampuni na taasisi ambazo zinaweza kusimamia Mali zako , pesa pasipo kuhitaji watoto .

The same kwa masikini , leo ukiwa masikini na ukazaa mtoto ambaye hautampa Elimu bora, na kumkuza katika mazingira bora unaweza kuendeleza umasikini zaidi.

Faida za jumla -kuzaa ni tendo la asili na faida zake ni uwepo wa watu ili kuiendeleza dunia .
Kwani tajiri hawezi kutumia ndugu zake kuendeleza mali zake? Mbona pia kuna watoto wengi tu wa matajiri wameshindwa kuendeleza mali za wazazi wao.

Masikini hawazi itakuaje akizaa mtoto halafu na mtoto mwenyewe naye awe masikini?
 
Kwani tajiri hawezi kutumia ndugu zake kuendeleza mali zake? Mbona pia kuna watoto wengi tu wa matajiri wameshindwa kuendeleza mali za wazazi wao.

Masikini hawazi itakuaje akizaa mtoto halafu na mtoto mwenyewe naye awe masikini?
Inawezekana mkuu , Ila kuendeleza mali sio jambo rahisi.

Wenzetu Wahindi , wasomali, waarabu wao wamefanikiwa kwakuwa walishaandaliwa hivyo.

Ila hapa nimezungumzia watu weusi au huitwa wabantu .

Hawa kuendeleza Mali kwao huwa sio jambo rahisi., ikitokea baba amekufa basi Mali zinauzwa kwa kasi ya ajabu Sana .

Refer Mali za Mlema wa TLP jinsi ambavyo watoto wameuza Apartments zote DSM .

Kwa kulijua hilo watu amabao wameendelea wanatumia njia za kisasa zaidi kuzilinda Mali nje ya watoto wake .
 
Back
Top Bottom