Mzee wa Malengo
Member
- Jul 29, 2022
- 21
- 42
Leo nimekaa na kutafakari sana kuhusiana na suala hili hasa ikichangiwa na baadhi ya video na clip nilizowahi kuona huko nyuma
1. Misri wameanzisha miradi ya kilimo cha umwagiliaji kwenye majangwa yao hivyo wanatarajia mwaka 2025 kuwa miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa ngano duniani
2. Shajrah UAE nimeona wameanzisha kilimo kwenye jangwa zaidi ya hecta 400,000 ili waweze kuzalisha chakula ambacho hakina viwatilifu( no additives) vyovyote vile kwaajili ya UAE na Dubai
Niliona clip mmoja wa wakulima wakubwa S.A akizilalamikia mbegu za GMO kwamba zinaenda kuaharibu mbegu za asili kutoweza kutumika tena kuzalisha kwasababu zitakuwa zimeharibiwa na mbegu za GMO through cross pollination hivyo kuwafanya wakulima kuwa dependent wa makampuni ya uzalishaji mbegu.
1. Je, sisi kama Watanzania tumejipanga vipi na mabadiliko haya makubwa maana 80% ya sisi ni wakulima
2. Sisi ni nchi ambayo kwa kiasi kikubwa tunategemewa kwenye chakula na nchi jirani kama Kongo, Kenya, sudan lakini mpaka leo hii tumeshindwa kuongeza uzalishaji, kudhibiti mfumuko wa bei kwenye nafaka, tumebaki kulalamika tu wakati tuna maeneo mengi yanafaa kwa kilimo.
3. Kipi tufanye tuweze hasa kuzalisha na kulisha hizi nchi jirani na kujipatia pato zaidi?
1. Misri wameanzisha miradi ya kilimo cha umwagiliaji kwenye majangwa yao hivyo wanatarajia mwaka 2025 kuwa miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa ngano duniani
2. Shajrah UAE nimeona wameanzisha kilimo kwenye jangwa zaidi ya hecta 400,000 ili waweze kuzalisha chakula ambacho hakina viwatilifu( no additives) vyovyote vile kwaajili ya UAE na Dubai
Niliona clip mmoja wa wakulima wakubwa S.A akizilalamikia mbegu za GMO kwamba zinaenda kuaharibu mbegu za asili kutoweza kutumika tena kuzalisha kwasababu zitakuwa zimeharibiwa na mbegu za GMO through cross pollination hivyo kuwafanya wakulima kuwa dependent wa makampuni ya uzalishaji mbegu.
1. Je, sisi kama Watanzania tumejipanga vipi na mabadiliko haya makubwa maana 80% ya sisi ni wakulima
2. Sisi ni nchi ambayo kwa kiasi kikubwa tunategemewa kwenye chakula na nchi jirani kama Kongo, Kenya, sudan lakini mpaka leo hii tumeshindwa kuongeza uzalishaji, kudhibiti mfumuko wa bei kwenye nafaka, tumebaki kulalamika tu wakati tuna maeneo mengi yanafaa kwa kilimo.
3. Kipi tufanye tuweze hasa kuzalisha na kulisha hizi nchi jirani na kujipatia pato zaidi?