1. Hii iende JFDoctor!Jamani naulizia eti ni zipi dalili za mimba ? Na zipo ngapi na ipi ni ya uhakika na kwa wakati gani utajua kama imenasa au bado haijatulia ???:israel:
Apana si unajua mambo nilinadi apa miaka mmoja uliopita !! Sa naitaji izo dalili na kama haitoshi stage by stage ata chakula itahitaji kula ,si unajua uku akuna ugali tuna english samolina !!!Mwiba, kwani umechakachua hivi hivi? Mie nazijua dalili za magonjwa ya zinaa, je unazihitaji na hizo?
Apana si unajua mambo nilinadi apa miaka mmoja uliopita !! Sa naitaji izo dalili na kama haitoshi stage by stage ata chakula itahitaji kula ,si unajua uku akuna ugali tuna english samolina !!!
Sasa hizo dalili naona ni mambo ya kawaida ,kula maembe ,chuchu ,kichefuchefu hizi zilikuwepo hata kabla sijafanya wasiwasi labda hiyo kupima kwani hakuna simple kupima tu ,kuna ulazima wa kwenda spitali,ivi uko vijijini wanajuaje ? Ata akuna ospitali ,mambo ya kienyeji .dalili
- kupoteza hedhi mwezi unaofuatia
- kula maembe
- chuchu kuuma
- kichefuchefu
- matiti kujaa
- sura inakuwa kama ya mtoto mdogo vile/ananawiri, etc
- Nenda ukapime baada ya mwezi mmoja; utakuta kitu na boksi!
ukiona panya wamezidi ndan kwenu ujue kimenasa
ukiona mende wanaruka ruka ujue tayar
ukiona bf anakubusu busu kila dk .....mahaba yamepamba mooooto ukue tayar
JAMAN IVI KWELI UJUI DALILI ZA MIMBAahhhh jaman au umu ndani kuna under 13?
dah kaz kwelikweli sa unadinyana tu pasipo kuelewa dalili za MATOKEO TENDO?
subiri ukue ili UFANYE TENDO KWA AMAN UKU UKILIJUA INN N OUT!
Jamani naulizia eti ni zipi dalili za mimba ? Na zipo ngapi na ipi ni ya uhakika na kwa wakati gani utajua kama imenasa au bado haijatulia ???:israel: