Ngahekapahi
JF-Expert Member
- May 8, 2012
- 553
- 371
Poleni na majukumu wana Mmu,
Naombeni kujuzwa zaidi, mwanaume anapofanya maamuzi ya kuvunja uaminifu kwa mwenza wake ni kweli huyo mwanamke anakua/lazima na mapungufu au anafanya tu ili mradi kafanya?
Na ni mbinu gani za kufanya /ku handle hii hali endapo umegundua mwenza/mume/mzaz mwenzio(serious rtnshp) ana cheat.
Ushauri tafadhali
Hivi kwani "muingiliano" ukishindikana ndo Hamna options nyingine, wanabaki kuangaliana tu??.
KIPINDI CHA TAREHE/ UJAUZITO
Mume anapozoea kupata mara kwa mara wakati mwingine siku inaangukia tarehe za mke uvumilivu unaweza kumshinda kusubiri siku 4/5 ni nyingi akiwa yupo peak anahitaji..pia kipindi cha ujauzito ni miezi mingi kutokana na ushauri wa daktari mpk baada ya kujifungua, pia mume hajiskii huru kufanya na mke wake mjamzito kwa kuogopa kumuumiza mtoto au kuharibu kizazi..muda ni mrefu mume anacheat kufidia
Mwanaume anacheat kwa sababu zifuatazo:
1.Hakupendi
2.Hujipendi (mfano wewe kuwa mchafu e.t.c)
3.Wewe kuwa mbovu kitandani,kama vile kutokujua style mbalimbali e.t.c
4.Mwanaume kuoa bahati mbaya
5.Wanaume in nature tuna tamaa,ni biological nature
6.Mimi naweza kukupenda wewe kwa sababu una sura nzuri lakini kumbe huna tako kesho nikimwona mwenye tako naanza kumpenda
7.Mwisho but not least,ni vigumu sana mtu kupenda kula aina moja ya mboga deile!
MmmhMwanaume ha cheat Ila ni nature tu. Men are polygamist by nature. In short mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja maisha yake yote. Hata ungekuwa ni mwanamke mzuri namna gani,upo perfect kiasi gani,na umekamilika Kila idara,mwamaume uliye Naye atatoka tu. Ukweli ni huo tu dada zangu, tukiacha unafiki pembeni na kuzungumza ukweli, basi ukweli ndio Huu hapa. Mwanamke pekee ambaye mwanaume atakuwa Naye mmoja,ni MAMA yake mzazi tu ,baaasi. So ni vizuri wanawake mkakubaliana na ukweli Huu.
Na katika hili muelewe kuwa mwanaume anapotoka nje si kwamba hakupendi,la hasha.
Tuoneeni huruma hata kdgoMwanaume ha cheat Ila ni nature tu. Men are polygamist by nature. In short mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja maisha yake yote. Hata ungekuwa ni mwanamke mzuri namna gani,upo perfect kiasi gani,na umekamilika Kila idara,mwamaume uliye Naye atatoka tu. Ukweli ni huo tu dada zangu, tukiacha unafiki pembeni na kuzungumza ukweli, basi ukweli ndio Huu hapa. Mwanamke pekee ambaye mwanaume atakuwa Naye mmoja,ni MAMA yake mzazi tu ,baaasi. So ni vizuri wanawake mkakubaliana na ukweli Huu.
Na katika hili muelewe kuwa mwanaume anapotoka nje si kwamba hakupendi,la hasha.
mawasiliano nyumbani yakianza kuwa mabovu, nyumba chafu, nyumba imejaa ndugu wa mke wa kwake hutaki waje. Kuna mtu aliniambia ukiwa kwenye ndoa usikubali kulala na ugomvi, ongeeni mpate suluhu, na mwisho malizieni kwa tendo.
Teh me naomba niongee ukweli shubiri. Seems like wanawake wengi wameshakubaliana kuwa mwanaume lazima acheat (luckily I ain't one of them). Wanaotakiwa kuukubali ukweli huu sasa hivi ni ndugu zetu wanaume. Binadamu wote hatujaumbiwa kuridhika, ni vile tu inafika stage mtu unasema "Mungu hii ni ndoa yangu, ni zawadi yangu, nitaifurahia na kuitunza no matter what, Mungu unisaidie" full stop. Otherwise huwa nacheka kwa huruma mnapodhani Kuwa kucheat ni nature yenu, while you expect your wives to be faithful, were women born faithful NATURALLY? Hell no... Wanawake wanacheat vizuri tu, kasoro ni kwamba wao wanafanya kisirisiri, coz kwa jamii yetu mwanamke kucheat ni taboo eti. Ila uzuri Mkemia mkuu hana siri teh tehMwanaume ha cheat Ila ni nature tu. Men are polygamist by nature. In short mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja maisha yake yote. Hata ungekuwa ni mwanamke mzuri namna gani,upo perfect kiasi gani,na umekamilika Kila idara,mwamaume uliye Naye atatoka tu. Ukweli ni huo tu dada zangu, tukiacha unafiki pembeni na kuzungumza ukweli, basi ukweli ndio Huu hapa. Mwanamke pekee ambaye mwanaume atakuwa Naye mmoja,ni MAMA yake mzazi tu ,baaasi. So ni vizuri wanawake mkakubaliana na ukweli Huu.
Na katika hili muelewe kuwa mwanaume anapotoka nje si kwamba hakupendi,la hasha.
Hiyo ni hulka ya wanaume wameumbwa hivyo hata
iweje hata uwe unampa kila siku atatoka tu, hata ulale umembeba usiku kucha haisaidii.
Galllll you are back. Sasa mtu eti kisa nyumba chafu ndo anaenda kucheat. Huko anapoenda kucheat anabeba na nyumba ikasafishwe au?Mtu badala ya kusolve matatizo ili asicheat anaCheat ili kusolve matatizo. DISGUSTING.
Eti kucheat kisa nyumba uchafu 😀 dah kweli wajinga ndio waliwao. Eti fanya maombi arudi. how about yeye ndo afunge na kusali nirudi??
wala watoto si hoja. huyo mwanume mbona hafikirii hao watoto? an unhappy mommy doesn't make happy kids.
kuna wanaume wamekaa tu wakisubiri mwanamke ndo atengeneze mahusiano. yani huyo mwanamke ni mtumbuizaji wake, show ikioboa, NEXT! DISGUSTING. who goes out with these types of men?
View attachment 387883 View attachment 387894
Kuna sababu kadhaa zinazoweza kuchangia mwanaume kuoa mwanamke ambae hampendi kama vile pressure ya umri kukimbia,influnce kutoka kwa ndugu,kuvutiwa na pesa zake,tamaa ya macho,mwanaume mwoga kutongoza sasa ikitokea kutongozwa na mwanamke hata kama hampendi basi inabidi akubali haraka haraka e.t.c!Mkuu nathani naomba nikusahihshe. Kusema kuwa hampendi sasa kwanin bado yupo hapo?
Mimi nathani inatokea tu kuwa kuna haja ya kujaribu chakula cha hotelini kidogo.
But very unfortunately victims wakubwa WA kulalamika in nyie. Kwa wanaume sisi tumeshakubali huo in dhaifu wetu. So Kama na nyie huo in udhaifu wenu ham a shida. Lakini walalamishi wakubwa WA hili in nyie. Lakini pia tambua hawezi shindana na mwanaume. The more mwanamke unapojihusisha na wanaume wengi, unachoka mapema. Na utachija tu,lakini mwanaume bado atabaki super. Kijamii mwanamke utaitwa Malaya.Teh me naomba niongee ukweli shubiri. Seems like wanawake wengi wameshakubaliana kuwa mwanaume lazima acheat (luckily I ain't one of them). Wanaotakiwa kuukubali ukweli huu sasa hivi ni ndugu zetu wanaume. Binadamu wote hatujaumbiwa kuridhika, ni vile tu inafika stage mtu unasema "Mungu hii ni ndoa yangu, ni zawadi yangu, nitaifurahia na kuitunza no matter what, Mungu unisaidie" full stop. Otherwise huwa nacheka kwa huruma mnapodhani Kuwa kucheat ni nature yenu, while you expect your wives to be faithful, were women born faithful NATURALLY? Hell no... Wanawake wanacheat vizuri tu, kasoro ni kwamba wao wanafanya kisirisiri, coz kwa jamii yetu mwanamke kucheat ni taboo eti. Ila uzuri Mkemia mkuu hana siri teh teh
Kama unaona kucheat sio dhambi ni haki yenu according to nature, basi usione ajabu mkeo akicheat coz dhambi haina jinsia. Hata sisi hatujaumbiwa kuridhika, hata kama tutaolewa na malaika. Tunakutana na majaribu mengi mno kutoka kwa wanaume wa nje, bora hata nyie ambao mnajitafutia majaribu, yani sisi matongozo kedekede afu mazitooo khaa. Mkishakuwa honest to yourselves, kama ambao baadhi ya wake zenu wanawakumbusha mtumie kinga huko nje, na nyie wakumbusheni wake zenu wakatumie kinga. Maana apart from magonjwa hakuna kitu kinachomuuma mwanaume kama kulea watoto wasio wako unknowingly[emoji22] [emoji22]. Ingekuwa wanawake hawacheat, ile 49% ( nahisi aliipunguza tu) ya mkemia mkuu isingekuwepo kabisa. You wanna be on the safe side, kuweni na hofu ya Mungu, kuweni waaminifu kwa viapo mlivyoapa kwa Mungu na kwa wenzi wenu. Sio guarantee ya Kuwa hamtoanguka, but hata ukianguka utajutia, utaumia na kuugua na kunyanyuka upya kwa nguvu simply because hutaki kuishi kwa kumkosea Mungu. Ni mawazo yangu tu ya asubuhi teh
Gelofriend Evelyn Salt upo kweli teh
Hahaha unfortunately tunaishi kwa kipimo cha jamii ( me kipimo changu kikubwa ni Ten Commandments basi). Ndo maana wanawake wanalalamika coz jamii haitaki kukubali kuwa na wao wanaweza kucheat pia ndo maana wanafanya Kimya Kimya. Ubaya ni kwamba wengi wenu hata hamjui kuwa mnalea watoto wasio wenu, while you are busy calling wanawake wengine malaya, inawezekana umemuacha malaya nyumbani kwako. Kama kukongoroka, tunakongoroka wote mbona na sijawahi ona mwanamke amekufa kwa kuitwa malaya tehBut very unfortunately victims wakubwa WA kulalamika in nyie. Kwa wanaume sisi tumeshakubali huo in dhaifu wetu. So Kama na nyie huo in udhaifu wenu ham a shida. Lakini walalamishi wakubwa WA hili in nyie. Lakini pia tambua hawezi shindana na mwanaume. The more mwanamke unapojihusisha na wanaume wengi, unachoka mapema. Na utachija tu,lakini mwanaume bado atabaki super. Kijamii mwanamke utaitwa Malaya.
bad enough wake zao wanacheat kupita maelezo sema tu tunasiri kubwa khaaa... na nyumba tunajenga kwa pesa zao hizo hizoTeh me naomba niongee ukweli shubiri. Seems like wanawake wengi wameshakubaliana kuwa mwanaume lazima acheat (luckily I ain't one of them). Wanaotakiwa kuukubali ukweli huu sasa hivi ni ndugu zetu wanaume. Binadamu wote hatujaumbiwa kuridhika, ni vile tu inafika stage mtu unasema "Mungu hii ni ndoa yangu, ni zawadi yangu, nitaifurahia na kuitunza no matter what, Mungu unisaidie" full stop. Otherwise huwa nacheka kwa huruma mnapodhani Kuwa kucheat ni nature yenu, while you expect your wives to be faithful, were women born faithful NATURALLY? Hell no... Wanawake wanacheat vizuri tu, kasoro ni kwamba wao wanafanya kisirisiri, coz kwa jamii yetu mwanamke kucheat ni taboo eti. Ila uzuri Mkemia mkuu hana siri teh teh
Kama unaona kucheat sio dhambi ni haki yenu according to nature, basi usione ajabu mkeo akicheat coz dhambi haina jinsia. Na kama nyie kucheat ni sawa je mnacheat na nani? sio na wanawake hao hao mnaotaka wawe waaminifu ama? Hata sisi hatujaumbiwa kuridhika, hata kama tutaolewa na malaika. Tunakutana na majaribu mengi mno kutoka kwa wanaume wa nje, bora hata nyie ambao mnajitafutia majaribu, yani sisi matongozo kedekede afu mazitooo khaa. Mkishakuwa honest to yourselves, kama ambao baadhi ya wake zenu wanawakumbusha mtumie kinga huko nje, na nyie wakumbusheni wake zenu wakatumie kinga. Maana apart from magonjwa hakuna kitu kinachomuuma mwanaume kama kulea watoto wasio wako unknowingly[emoji22] [emoji22]. Ingekuwa wanawake hawacheat, ile 49% ( nahisi aliipunguza tu) ya mkemia mkuu isingekuwepo kabisa. You wanna be on the safe side, kuweni na hofu ya Mungu, kuweni waaminifu kwa viapo mlivyoapa kwa Mungu na kwa wenzi wenu. Sio guarantee ya Kuwa hamtoanguka, but hata ukianguka utajutia, utaumia na kuugua na kunyanyuka upya kwa nguvu simply because hutaki kuishi kwa kumkosea Mungu. Ni mawazo yangu tu ya asubuhi teh
Gelofriend Evelyn Salt upo kweli teh
Hahaha unfortunately tunaishi kwa kipimo cha jamii ( me kipimo changu ni Ten Commandments basi). Ndo maana wanawake wanalalamika coz jamii haitaki kukubali kuwa na wao wanaweza kucheat pia ndo maana wanafanya Kimya Kimya. Ubaya ni kwamba wengi wenu hata hamjui kuwa mnalea watoto wasio wenu, while you are busy calling wanawake wengine malaya, inawezekana umemuacha malaya nyumbani kwako. Kama kukongoroka, tunakongoroka wote mbona teh[/QUOTE
Hahaha wewe usipitishe dumu la petrol kwenye mafutabad enough wake zao wanacheat kupita maelezo sema tu tunasiri kubwa khaaa... na nyumba tunajenga kwa pesa zao hizo hizo