Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Nshakusamehe mdogo wangu usijali. Nasubiri kwa hamu ujue.Najua sana niisamehe dada nisamehe sana
Hhahaahah utashudia mwenyew tu subir
Nshakusamehe mdogo wangu usijali. Nasubiri kwa hamu ujue.Najua sana niisamehe dada nisamehe sana
Hhahaahah utashudia mwenyew tu subir
Tulia tuliNshakusamehe mdogo wangu usijali. Nasubiri kwa hamu ujue.
Nshatulia mdogo wangu. Unadhani mtanga mie nina haraka basi.Tulia tuli
mambo mazur hayahitaj haraka
Nshatulia mdogo wangu. Unadhani mtanga mie nina haraka basi.
Njoo kule basi tusalimiane mdogo wangu mana kitambo kidogo
Acha ww nani kakwambia kuwa kuna mke mbaya? Kila mwanaume anavigezo vyake kwa kila mwanamke ni mzuri machoni mwa mwanume ampendae sharti tu awe ametimiza vigezo stahiki, kwa hiyo mzuri kwako anaweza akawa mbaya kwangu, lakini mzuri kwangu akawa mbaya kwangu pia.Mke akiwa mzuri mkuu, huwezi kupata kitu kizuri kwa bei chee
Bacyclerbacy ni wife material kwa sifa nilizosikia, Kama ni kweli Naomba ruksa nimstiri mdogo wako.Nshakusamehe mdogo wangu usijali. Nasubiri kwa hamu ujue.
Kwanza;Wazazi baadhi ya wazazi wengi wamekuwa wakiongeza mambo ambayo hayana umuhimu sana,utakuta binti ametaja mahar yake ya kawaid tu lkn baada ya hapo kuna vitu hivyoooo vikiorodheshwa hapo kitu kinawezakufika kweny milion 4 na kuendelea that's too bad
Pili;Binti mwenyew kutaka ufahar,watu wajue kwamba ameolewa kwa pesa nyingi kana kwamba yeye ni mzur sana au ana kitu kinachofanya mahari yake ni kubwa
Japo siamini kama binti kuweka mahari kubwa huwa anafanya kwa ajili ya kumkomesha mwanaume Ila tu ni kama mashindano imekuwa baina ya familia,ndugu,majirani
Inapendeza zaid kukubaliana kwanza na mtarajiwa wako kiasi atakachoweza kukitoa then mtu ukifika kwa wazazi unasema tu jmn pesa yenu isizidi kias kadhaaaaaaaaa tofaut na hapo patachimbika
Mwanamke msimamo
Ndo hapohapo vinaongezewa hadi mahar inaonekana kuuuubwa kumbe hapo mahari ni 2000 tuMbna umesahau kuhusu Mkaja wa mama na baba, hv vitu sjui vinatolewa wapi
Utamuacha tu wengne waoeMkuu ni mweupe kinoma unaweza zan mzungu hayo mahips ndo usiseme, sasa kama watanambia ng'ombe mia wakati mimi home kuna ng'ombe wasiozid 90 sijui hata itakuwaje
Zaidi ya laki 8 sitoiMahari juu ya milioni 1.5 sitoi.
Hilo ni jukumu la mzazi kumgharamia mtoto wakemtoto wa kike anatumia gharama kubwa sana mpaka kuolewa. kwa mfano kibaiolojia mtoto wa kike atahitaji ela ya ziada kipindi cha kubalehe na mzazi makini lazima ataziweka hizo gharama kwenye mahari
Karibu sana.Bacyclerbacy ni wife material kwa sifa nilizosikia, Kama ni kweli Naomba ruksa nimstiri mdogo wako.
Maumivu yapo dadaakeWewe tu mkuu ndio unaona nyingi kwa sababu mwisho wa yote walio wengi wanatoa hizo mahari tena kwa moyo mmoja bila kuona hata maumivu.
Kanambia hatonichaji pesa nyingi ya mahariMarahaba mdogo wangu ila una tabia mbaya ujue.
Niambie na wewe mahari yako itakuja milioni ngapi.
Bro hebu tulia kwanza keshawahiwa huyo siamini na wewe dadaake emmyta unaafiki habari hiziBacyclerbacy ni wife material kwa sifa nilizosikia, Kama ni kweli Naomba ruksa nimstiri mdogo wako.
hahana hakijaharibika kitu though naona washindani wanaongezeka,Yote khery InShaAllahNimeshangaa sana ujue maana hadi mwenyewe kaona lol.