Wewe tu mkuu ndio unaona nyingi kwa sababu mwisho wa yote walio wengi wanatoa hizo mahari tena kwa moyo mmoja bila kuona hata maumivu.
Kama ni mweupe andaa ng'ombe 100Hata mimi najiandai kwenda kutoa mahar kwao na mbitiyaza sijui baba mbiti atanambia sh ngap

Sawa umeolewa kwa mahari kubwa then .......?? what? kwani thamani yako ipo kwenye mahari!!Kwanza;Wazazi baadhi ya wazazi wengi wamekuwa wakiongeza mambo ambayo hayana umuhimu sana,utakuta binti ametaja mahar yake ya kawaid tu lkn baada ya hapo kuna vitu hivyoooo vikiorodheshwa hapo kitu kinawezakufika kweny milion 4 na kuendelea that's too bad
Pili;Binti mwenyew kutaka ufahar,watu wajue kwamba ameolewa kwa pesa nyingi kana kwamba yeye ni mzur sana au ana kitu kinachofanya mahari yake ni kubwa
Japo siamini kama binti kuweka mahari kubwa huwa anafanya kwa ajili ya kumkomesha mwanaume Ila tu ni kama mashindano imekuwa baina ya familia,ndugu,majirani
Inapendeza zaid kukubaliana kwanza na mtarajiwa wako kiasi atakachoweza kukitoa then mtu ukifika kwa wazazi unasema tu jmn pesa yenu isizidi kias kadhaaaaaaaaa tofaut na hapo patachimbika
Mwanamke msimamo
Alaaaaaaaaahhhhhhhhhhmtoto wa kike anatumia gharama kubwa sana mpaka kuolewa. kwa mfano kibaiolojia mtoto wa kike atahitaji ela ya ziada kipindi cha kubalehe na mzazi makini lazima ataziweka hizo gharama kwenye mahari
haha
haha
haha
haha
haha 
Marahaba mdogo wangu ila una tabia mbaya ujue.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dada Shikamoo

Mkuu ni mweupe kinoma unaweza zan mzungu hayo mahips ndo usiseme, sasa kama watanambia ng'ombe mia wakati mimi home kuna ng'ombe wasiozid 90 sijui hata itakuwajeKama ni mweupe andaa ng'ombe 100
Najua sana niisamehe dada nisamehe sanaMarahaba mdogo wangu ila una tabia mbaya ujue.
Niambie na wewe mahari yako itakuja milioni ngapi.![]()